Wizara husika imchunguze Pastor Dominick (kiboko ya wachawi)

Wizara husika imchunguze Pastor Dominick (kiboko ya wachawi)

Tuanzishe

Tuanzishe jukwaa la dini mjadala mwengine kuhusu uislamu ntakua na mengi,Hapa ilikua ni tahadhari tu kabla ya hatari
Shida kuwafikia walengwa sio rahis.
Pengine hata kumiliki simu wameambiwa ni dhambi!
 
Times wataona na serikali imeona, mimi nimetimiza lengo
 
Kwa wakristo acha tu wapigwe hakuna serikali kuingilia kati, ukiwasanua hawakawii kukuambia wewe ni Kobazi unawaonea wivu manabii wao, acha wapigwe hswaa,kama yule dogo anajiita IPM, ni muislam pure ila nae anajifanya nabii apige ela za wakristo
Ha a Muda mrefu huyu serikali italala nae mbele
Tupo hapa
 
HII SRIKALI IPO MAKINI KWA MASLAHI YKE TU, UKIISEMA VIBAYA MTANDAONI WQTAKUTAFITA KWA MAMILIONI WAKUMALIZE YAANI WAPO MAKINI KULINDA VIBARUA VYAO KULIKO MAMBO YA KISHENZI YANAYOTOKEA KWA RAIA

1.JAMAA CHA KWANZA AMEJICHUBUA HADI VIDOLE ANAFICHA NA GLOVES KUFICHA SUGU ZA MKOROGO

2.MAOMBI YKE NI WACHAWI NA WANAOLOGA TU UTASEMA MGANGA

3.NDEVU KAPAKA RANGI NA NYWELE KAPIGA WEY

4.KAZI YAKE NI KUKWANBIA MAMA YAKO ANAKULOGA JAMAA NI MSANII NA TAPELI KABISA

5.INSTAGRAM YAKE AKIWEKA POST UTAONA INA LIKES 10,000+ KUMBE LIKES ZENYEWE ANANUNUA UKIAANGALIA WALIOLIKES UTONA NI ROBOTS ACCOUNTS
Tuna kazi ya kupaza sauti mkuu,
 
EFM kila siku usiku mahubiri yake na maombi yake ni kufufua wafu 🤣🤣🤣🤣. Jana kafufua mtoto aliyekufa siku tatu zilizopita
 
EFM kila siku usiku mahubiri yake na maombi yake ni kufufua wafu 🤣🤣🤣🤣. Jana kafufua mtoto aliyekufa siku tatu zilizopita
Hii si sahihi kabisa ccTCRA
 
Back
Top Bottom