Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida kuwafikia walengwa sio rahis.Tuanzishe
Tuanzishe jukwaa la dini mjadala mwengine kuhusu uislamu ntakua na mengi,Hapa ilikua ni tahadhari tu kabla ya hatari
Ha a Muda mrefu huyu serikali italala nae mbeleKwa wakristo acha tu wapigwe hakuna serikali kuingilia kati, ukiwasanua hawakawii kukuambia wewe ni Kobazi unawaonea wivu manabii wao, acha wapigwe hswaa,kama yule dogo anajiita IPM, ni muislam pure ila nae anajifanya nabii apige ela za wakristo
Tuna kazi ya kupaza sauti mkuu,HII SRIKALI IPO MAKINI KWA MASLAHI YKE TU, UKIISEMA VIBAYA MTANDAONI WQTAKUTAFITA KWA MAMILIONI WAKUMALIZE YAANI WAPO MAKINI KULINDA VIBARUA VYAO KULIKO MAMBO YA KISHENZI YANAYOTOKEA KWA RAIA
1.JAMAA CHA KWANZA AMEJICHUBUA HADI VIDOLE ANAFICHA NA GLOVES KUFICHA SUGU ZA MKOROGO
2.MAOMBI YKE NI WACHAWI NA WANAOLOGA TU UTASEMA MGANGA
3.NDEVU KAPAKA RANGI NA NYWELE KAPIGA WEY
4.KAZI YAKE NI KUKWANBIA MAMA YAKO ANAKULOGA JAMAA NI MSANII NA TAPELI KABISA
5.INSTAGRAM YAKE AKIWEKA POST UTAONA INA LIKES 10,000+ KUMBE LIKES ZENYEWE ANANUNUA UKIAANGALIA WALIOLIKES UTONA NI ROBOTS ACCOUNTS
Serekari haina dini hawawezi kuingilia uhuru wa mtu kufanya ibadaSerikali inapaswa kumchunguza
Waache kuamini haraka kila wanachosikia au kuambiwa wafanye uchunguzi .Changanya na zaKO
Lakini wanaoliwa yawezekana hawajaambiwa/jua kua wanaliwa.Wanatakiwa kuambiwa
Wale wapo kwenye payrolljela inamuhusu
shida kuna kituo kawapa gari la doria