Wizara husika imchunguze Pastor Dominick (kiboko ya wachawi)

Wizara husika imchunguze Pastor Dominick (kiboko ya wachawi)

Naomba kuwasilisha hoja/ mjadala juu ya huyu kiboko ya Wachawi, Serikali inapaswa kumchunguza kupitia wizara husika kabla hatujafika hatua ya Mackenzie wa Kenya, wanaanzaga taratibu baadae yatakua makubwa.

1. Mahubiri yake na maombi ni chonganishi(ni kama ramli), anagombanisha ndugu bila ushahidi.

2. Simu zake za wagonjwa ni za mchongo wanapangwa (staged miracles).

3. Mamlaka husika zichunguze miamala ya account zake kuna element za utakatishaji fedha (MUHIMU SANA)

4. Radio times 100.5 kama wanaweza wasijali pesa za kurushia matangazo wasikilize kinachofanyika kisha waamue kuendelea kutangaza ama wanawe mikono kama pilato kwa kukwepa hatia ya siku za usoni.
muache apige hela aisee
mradi watu hawalazimishwi
 
Thanks sana Burrell ,watu wanatapeliwa kijinga sana ,sijui kwanini wanashindwa kuona USANII wa wazi wazi wa hao MATAPELI kupitia Dini.

Jamaa amejitajirisha sana kwa kuwaibia watu,kwasasa anatoa misaada kuficha WIZI wake ,ametoa DIFENDA tatu kwa kituo cha Polisi kwa ajili ya patrol ,kwasasa anatoa misaada ya kijamii kwenye taasisi mbali mbali ,anagawa fedha elfu 10 kumi sehemu anazopita.
King Kong III wanatumia nguvu za giza kuwapumbaza waumini wao, ndio maana waumini hawashtuki!

Ukishakuwa muumini wa madhabahu ya pastor "feki" kama huyu kutoka ni vigumu.
 
King Kong III wanatumia nguvu za giza kuwapumbaza waumini wao, ndio maana waumini hawashtuki!

Ukishakuwa muumini wa madhabahu ya pastor "feki" kama huyu kutoka ni vigumu.

Sure ,nakubaliana na wewe ndiyo maana kila mara anasisitiza njoo kanisani njoo kanisani fika buza kwa lulenge mwambie boda boda akulete ,kumbe anajua ukifika tu anakuchapa na mapepo ya kuwa MSUKULE.....Kwa akili ya kawaida ya darasa la 3 unajua kabisa anachofanya ni USANII ila kwakuwa anatumia nguvu za giza ngumu kweli kutoka.
 
Naomba kuwasilisha hoja/ mjadala juu ya huyu kiboko ya Wachawi, Serikali inapaswa kumchunguza kupitia wizara husika kabla hatujafika hatua ya Mackenzie wa Kenya, wanaanzaga taratibu baadae yatakua makubwa.

1. Mahubiri yake na maombi ni chonganishi(ni kama ramli), anagombanisha ndugu bila ushahidi.

2. Simu zake za wagonjwa ni za mchongo wanapangwa (staged miracles).

3. Mamlaka husika zichunguze miamala ya account zake kuna element za utakatishaji fedha (MUHIMU SANA)

4. Radio times 100.5 kama wanaweza wasijali pesa za kurushia matangazo wasikilize kinachofanyika kisha waamue kuendelea kutangaza ama wanawe mikono kama pilato kwa kukwepa hatia ya siku za usoni.
Kwenda kumuona tu bila 500,000 huwezi muona!! Ni bonge la tapeli, na serikali ina mchekea tu kwani mpiga ramli
 
Naomba kuwasilisha hoja/ mjadala juu ya huyu kiboko ya Wachawi, Serikali inapaswa kumchunguza kupitia wizara husika kabla hatujafika hatua ya Mackenzie wa Kenya, wanaanzaga taratibu baadae yatakua makubwa.

1. Mahubiri yake na maombi ni chonganishi(ni kama ramli), anagombanisha ndugu bila ushahidi.

2. Simu zake za wagonjwa ni za mchongo wanapangwa (staged miracles).

3. Mamlaka husika zichunguze miamala ya account zake kuna element za utakatishaji fedha (MUHIMU SANA)

4. Radio times 100.5 kama wanaweza wasijali pesa za kurushia matangazo wasikilize kinachofanyika kisha waamue kuendelea kutangaza ama wanawe mikono kama pilato kwa kukwepa hatia ya siku za usoni.
Wache wapigwe akili ziwakae sawa
 
Mkuu Kuna kiashilia gani kilichokupa wasiwasi Hadi unahisi Pastor Dominick anatakatisha fedha ?
 
Hasa "ramli " ni chonganishi. Siku mtu akitoka na shoka na kummaliza mbaya wake (fake) ndio serikali itapiga kelele.
 
Thanks sana Burrell ,watu wanatapeliwa kijinga sana ,sijui kwanini wanashindwa kuona USANII wa wazi wazi wa hao MATAPELI kupitia Dini.

Jamaa amejitajirisha sana kwa kuwaibia watu,kwasasa anatoa misaada kuficha WIZI wake ,ametoa DIFENDA tatu kwa kituo cha Polisi kwa ajili ya patrol ,kwasasa anatoa misaada ya kijamii kwenye taasisi mbali mbali ,anagawa fedha elfu 10 kumi sehemu anazopita.
Defender tatu azitoe wapi gari yake tu hata defender moja haifiki

USSR
 
Unaandika kama hujielewi vile unajua tofauti ya kanisa na hospital

USSR
wewe ndio hujielewi mkuu. Hiyo itabaki kuwa hivyo ukipeleka huko shida ako ukandwe hadi useme na usiposema utasema tu.
 
Naomba kuwasilisha hoja/ mjadala juu ya huyu kiboko ya Wachawi, Serikali inapaswa kumchunguza kupitia wizara husika kabla hatujafika hatua ya Mackenzie wa Kenya, wanaanzaga taratibu baadae yatakua makubwa.

1. Mahubiri yake na maombi ni chonganishi(ni kama ramli), anagombanisha ndugu bila ushahidi.

2. Simu zake za wagonjwa ni za mchongo wanapangwa (staged miracles).

3. Mamlaka husika zichunguze miamala ya account zake kuna element za utakatishaji fedha (MUHIMU SANA)

4. Radio times 100.5 kama wanaweza wasijali pesa za kurushia matangazo wasikilize kinachofanyika kisha waamue kuendelea kutangaza ama wanawe mikono kama pilato kwa kukwepa hatia ya siku za usoni.
ukichunguza kwa makini kuhusu utendaji kazi wa serikali yetu hii ni wa staili hiyohiyo ya huyo nabii kiboko ya wachawi ni uchonganishi unafki na uwongo.. sasa katika mazingira kama hayo hawataweza sanasana wanamuona ni mtoto mdogo tu anajitafuta kiridhiki chake huko uswahilini..!
 
Naomba kuwasilisha hoja/ mjadala juu ya huyu kiboko ya Wachawi, Serikali inapaswa kumchunguza kupitia wizara husika kabla hatujafika hatua ya Mackenzie wa Kenya, wanaanzaga taratibu baadae yatakua makubwa.

1. Mahubiri yake na maombi ni chonganishi(ni kama ramli), anagombanisha ndugu bila ushahidi.

2. Simu zake za wagonjwa ni za mchongo wanapangwa (staged miracles).

3. Mamlaka husika zichunguze miamala ya account zake kuna element za utakatishaji fedha (MUHIMU SANA)

4. Radio times 100.5 kama wanaweza wasijali pesa za kurushia matangazo wasikilize kinachofanyika kisha waamue kuendelea kutangaza ama wanawe mikono kama pilato kwa kukwepa hatia ya siku za usoni.
Na mzinzi wa wake za watu
 
Back
Top Bottom