Mtu yoyote anayetoka nchi exposed na corona anapaswa kuwa karantini hata kamma haumwi,, remember odion ighalo in man u
Sent using Jamii Forums mobile app
Tume survive Ebola, Nzige....nina imani hata hili litapita.
Jmn si wamewafanyia uchunguzi wakagundulika hawana. Tatizo liko wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jizaz kraisti.Nchi hii wajinga ni wengi sana na ndio maana watawala wanatutawala kirahisi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtanzania ukigundulika na huo ugonjwa walai madaktari wanakuzika ukiwa hai useendelee kuueneza
Siku moja tu , tayar wamekuja na majibu mepesi namna hiyo,
Hii inaonyesha ni jinsi gani hawa viongozi ambavyo hawapo smart kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kantini?
Corona unaweza kumpima mtu usiione kwenye vipimo mpaka umpime tena wakati mwingine.
Hao hawakupaswa waachwe wandelee na shughuli zao, hao walipaswa wawe monitored closely huku wakiwa wamewekwa kwenye karantini maalum.
Kitendo cha kuwaachia waingie mtaani wanaweza kusambaza virusi kama wanavyo
Cdm kila kitu siasa? Unafikiri wizara ya afya wapuuzi kama unavyowachukulia? Nchi haiwezi kuendeshwa kwa mihemko
Ujue hii nchi inaendeshwa Kiswahili swahili sana! Nchi za wenzetu mwenye kuonyesha dalili anakuwa in isolation angalau kwa siku 14. Huku kwetu eti vipimo vimepelekwa Dar leo kesho mtu anaruhusiwa kwenda na mambo yake.
Hivi huyu waziri wa afya taaluma yake ni mambo ya afya au? Maana unaweza kukuta ni fundi mchundo alafu anapewa wizara nyeti namna hiyo.
Kwanini wizara hizi nyeti walau wasiwe wanapewa watu wenye taaluma husika?Ni mtaalamu wa sheria kama sijakosea...