Wizara ya Afya Tanzania
Official Account
- Oct 1, 2020
- 58
- 127
- Thread starter
-
- #61
Salaam Ntwale.Kwanini NHIF wanaendelea kuondoa baadhi ya DAWA? Shida ni nini ?
Salaam Musa.HABARI natumaini mnaendelea na kazi vyema nilikuwa naomba kuuliza kuhusu AFYA najua imegawanyika katika vitengo vingi ili ikamilike neno afya kama maabara, famasi, udaktari n.k sasa swal langu katika kutoa ajira serikalini kwanini uoande mmoja tyuu ndo huwa unaoata nafasi kubwa kuliko sehemu nyingne (UDAKTARI) kwa mtazamo wangu naona kama hiii inafanya kada zingne kuwa na vijana wengi mtaani hawana ajira na pia kuacha kukosa ajira tyuu wafanyakazi wengne wanazidiwa kazi mfano unaenda kupima maabara unakuta na foleni kubwa ukiangalia ndani ya hiyo maabara kuna mtu mmoja tuuu mfano wa pili unaenda katika dirisha la kuchukulia dawa unakuta kuna muhudumu mmoja tyuuu na nje kuna foleni zaid ya wagonjwa 15 wanasubili huoni hii ni kuwazidishia majukumu watu wengne
OMBI LANGU
Naomba wizara ya afya muangalie utoaji wa ajira kwa kada zote zinazohusu afya kama mnavyotoa ajira kwa madaktari
mfano hai
mimi nimemaliza diploma ya famasi yan phrm.technician na nina leseni yangu lkn hadi leo sijasikia chochote kuhusu ombi la ajira kuhsu kada ya famasi
naomba kuwasilishaaa
Salaam Marxlups.Naomba kufahamu jambo moja;
Mgonjwa akienda kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na kadi ya bima ya afya anatozwa gharama za kupimwa typhoid, akiwaambia mimi nina bima wanamwambia hawaruhusiwi kutibu kwa bima kwakuwa wao siyo hospitali inayoruhusiwa kutoa huduma hiyo.
Swali:
- Kwanini Wizara inaruhusu vituo binafsi kupima typhoid wakati wao siyo hospitali?
- Kwanini Typhoid inapimwa kwenye vituo hivyo kwa dakika chache wakati inasemekeana sampuli ya typhoid inatakiwa ikae kwa saa 24?
- Wizara ya Afya inalitambua suala la vituo vya afya kupima typhoid wakati sheria haiwaruhusu?
- Kwanini wagonjwa hunyimwa huduma ya baadhi ya dawa kwa kisingizio cha kwamba maduka hayo hayaruhusiwi kutoa dawa hizo wakati dawa hizohizo unazipata iwapo utatoa cash katika duka hilohilo?
Salaam Oswald.Hizi Bima za afya mziangalie upya zina shidackidogo,ukienda hoapitali unaambiwa,pima baada ya hapo,ugonjwavukishajulikana ,unaambiwa dawavhakuna .Ukanunue hasa hospitalivya Makole-Dodoma,wachunguzeni kwa ninibhawana dawa,?Serikali yote ipo hapa na wizara ni dharau,makusudi,kiburi,uzembe,nadhani kuna tatizo.!
Salaam tena Oswald.Salaam Oswald.
Tunashukuru, tumelipokea tutafuatilia na NHIF watalifanyia kazi kujua changamoto au tatizo ni nini.
Aksante sana.
Haya mzee baba utoe ushirikiano sasaSalaam tena Oswald.
Tafadhali, naomba kujua wakati unaenda kupata huduma Kituo cha Afya Makole ulitumia kadi ipi, tunalifuatilia.
Kinga ipo na inafanya kazi kwa nguvu sana kupita kitengo cha Environmental health Sciences.Wizara ya afya ijikite zaidi kwenye kinga kwa njia ya kuelimisha jamii kwa kuitumia idara ya maendeleo ya jamii. Badala ya kujikita kwenye tiba na kuitenga idara ya maendeleo ya jamii. Hii itasaidia kupunguza msongamano wa watu wanaougua magonjwa ya kijinga kwenye zahanati zetu.
Nhif nana zingine pia sio hizo tuu kama ni muhusika nenda kapime uone kama utapewa dawa sio majungu ndo ukweliHaya mzee baba utoe ushirikiano sasa
Oswald Daudi Mwakibete
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Unapoint lakini nadhani hujaiweka kwenye usahihi,nadhani bima hapo hazina matatizo ila pia nadhani ungeuliza inatokeaje kuwa na bima halafu unaambiwa dawa hakuna?tatizo hapo litakua ni dawa wala sio bima na hilo tatzo sio kwako tu ni kwa sehemu kubwa hasa zinapotumika bima za iCHF ndio mambo hayo hutokea.Hizi Bima za afya mziangalie upya zina shidackidogo,ukienda hoapitali unaambiwa,pima baada ya hapo,ugonjwavukishajulikana ,unaambiwa dawavhakuna .Ukanunue hasa hospitalivya Makole-Dodoma,wachunguzeni kwa ninibhawana dawa,?Serikali yote ipo hapa na wizara ni dharau,makusudi,kiburi,uzembe,nadhani kuna tatizo.!
Nhif nana zingine pia sio hizo tuu kama ni muhusika nenda kapime uone kama utapewa dawa sio majungu ndo ukweli
Niko sawa mkuu,maana kila nikienda na hiyo bima naambiwa hakuna dawa,lakini nikiwa na pesa bila bima sipati shida,hivyo hisia zangu lazima ziniaminishe kwamba shida ni Bima!au wewe ungelionaje hilo?Unapoint lakini nadhani hujaiweka kwenye usahihi,nadhani bima hapo hazina matatizo ila pia nadhani ungeuliza inatokeaje kuwa na bima halafu unaambiwa dawa hakuna?tatizo hapo litakua ni dawa wala sio bima na hilo tatzo sio kwako tu ni kwa sehemu kubwa hasa zinapotumika bima za iCHF ndio mambo hayo hutokea.
Na mimi nina swali hilo hilo. Ni dhahiri corona sasa imekuwa kitega uchumi.Kupima Corona shs ngapi kwa sasa?
Niko sawa mkuu,maana kila nikienda na hiyo bima naambiwa hakuna dawa,lakini nikiwa na pesa bila bima sipati shida,hivyo hisia zangu lazima ziniaminishe kwamba shida ni Bima!au wewe ungelionaje hilo?
Umenufumbua macho!Mbaya zaidi wanasiasa wanatuhamasisha tuwaambie na wengine!Utafanyeje promotion ambayo huwezi kuitetea?Hapo chief umeongea point husika,yaan ukiwa na bima no services lakini pt user fee services available hapo directly tunatupia lawama kwenye bima,labda nikufafanulie kidogo,unajua hizi bima zote zinakua na kelele kwa sababu zifuatazo;watoa huduma wanatoa huduma hzo but malipo yao stahiki hayatolewi kwa wakati na isitoshe kunavikwazo vingi sana, sambamba na yote hayo unakuta kituo hakipokei dawa za kutosha na unaambiwa dawa hzo ziwerelvolved sasa unarevolve nn wakati unachotoa sio sawa na unacholipwa,nadhan hlo ni tatzo linalisababisha kuwepo ugumu.nadhan wizara inahaja ya kuliangalia suala hli la bima na kuondoa vikwazo vingi vilivyopo ili kulipa vituo vinavyofanya claims za NHIF NA ICHF ili huduma ziendelee kuwa nzuri.
Let bygon be bygonUmenufumbua macho!Mbaya zaidi wanasiasa wanatuhamasisha tuwaambie na wengine!Utafanyeje promotion ambayo huwezi kuitetea?