Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amesema kama wataamua kuwachukulia hatua watumishi wanaojihusisha na wizi wa dawa watawafunga watumishi wote.
Amesema hayo alipokuwa katika hospitali ya Mount Meru ambapo amesema kiwango cha dawa kinachoingia sio sawa na kinachonunuliwa.
Wakati anazungumza na watumishi wa Hospitali ya Mount Meru aliwauliza kama alete ushahidi wa dawa kuibwa Hospitalini hapo ambapo walimuomba asilete ushahidi kwa wakati huu.
Amesema watumishi hao wanaharibu taswira ya watumishi wote wa sekta ya afya kuonekana ni wezi wa dawa na kuwaonya kuwa watumishi hao watafungwa kwa wizi wa dawa.
Amesema hayo alipokuwa katika hospitali ya Mount Meru ambapo amesema kiwango cha dawa kinachoingia sio sawa na kinachonunuliwa.
Wakati anazungumza na watumishi wa Hospitali ya Mount Meru aliwauliza kama alete ushahidi wa dawa kuibwa Hospitalini hapo ambapo walimuomba asilete ushahidi kwa wakati huu.
Amesema watumishi hao wanaharibu taswira ya watumishi wote wa sekta ya afya kuonekana ni wezi wa dawa na kuwaonya kuwa watumishi hao watafungwa kwa wizi wa dawa.