Mr independent
New Member
- Dec 24, 2020
- 2
- 1
Hiki kitu bado kipo tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupima malaria ni shs. 1,000/=, ila Covid19 ni 230,000/=, kweli hii biashara ndio maana imetangazwa kwa gharama kubwa sana kwenye vyombo vya habari, duuWizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto imetoa muongozo mpya wa upimaji kwa wanaosafiri kwenda nje ya nchi kutokana na kuongezeka kwa idadi ya wanaoambukizwa #COVID19 na kuwepo kwa vimelea vipya kwa baadhi ya nchi
Wizara imetangaza kupanda kwa gharama za upimaji wakisema kuwa zimechangiwa na ongezeko la wasafiri wanaokwenda nje ya nchi na mabadiliko ya teknolojia ya upimaji ambapo baadhi ya vipimo vimeongezeka
Muongozo unataka msafiri aelimishwe siku tano kabla ya siku ya Safari. Aidha vyeti vya kielektroniki vya COVID19 vitatolewa kwa waliothibitika kutokuwa na maambukizi na vitadumu kwa siku 14 au kutegemea na nchi ambayo msafiri anakwenda
Majibu yatatolewa ndani ya saa 48 kabla ya safari kwa watu wa nje ya Dar na ndani ya saa 24 kwa walioko mkoa wa Dar. Gharama za Vipimo ni USD 100 sawa na Takriban Tsh 230,000 ambapo malipo yatalipwa katika akaunti ya Serikali
View attachment 1670245
View attachment 1670246
Ni Bilioni 7 kila mwezi, hata huko Matekani hii ni biashara kubwa sana hasa kwa waliopata tends za VaccinesWanajua bila certificate huvuki boda. Piga picha watu 1000 kila siku kwa siku 30
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
AFYA YAKO FURSA YETU.Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto imetoa muongozo mpya wa upimaji kwa wanaosafiri kwenda nje ya nchi kutokana na kuongezeka kwa idadi ya wanaoambukizwa #COVID19 na kuwepo kwa vimelea vipya kwa baadhi ya nchi
Wizara imetangaza kupanda kwa gharama za upimaji wakisema kuwa zimechangiwa na ongezeko la wasafiri wanaokwenda nje ya nchi na mabadiliko ya teknolojia ya upimaji ambapo baadhi ya vipimo vimeongezeka
Muongozo unataka msafiri aelimishwe siku tano kabla ya siku ya Safari. Aidha vyeti vya kielektroniki vya COVID19 vitatolewa kwa waliothibitika kutokuwa na maambukizi na vitadumu kwa siku 14 au kutegemea na nchi ambayo msafiri anakwenda
Majibu yatatolewa ndani ya saa 48 kabla ya safari kwa watu wa nje ya Dar na ndani ya saa 24 kwa walioko mkoa wa Dar. Gharama za Vipimo ni USD 100 sawa na Takriban Tsh 230,000 ambapo malipo yatalipwa katika akaunti ya Serikali
View attachment 1670245
View attachment 1670246
Yalitabiriwa mapema hayaKusema ukweli pesa inatafutwa kwa nguvu mno for the past few months, kwa sasa oxygen tu ndio haijapandishwa kodi.
Sasa kama dola 100 ya Covid 19 inamshinda huko kwa wazungu anaenda kuosha macho au kuoshwa macho?Kijana wangu anatamani kwenda kuosha macho huko kwa wazungu kidogo kupanua CV yake, amefika Dar kufuatilia cheti Cha covid 19 anaambiwa kupima ni dola mia moja sawa na laki mbili na nusu kwa mtu mmoja....
Kwani huko unakoends utatumia tsh bwashee?!Swali la msingi la kujiuliza ni kwann wizara ya serikali inatumia USD na sio Tsh?
Wizara ya Afya Tanzania
Wapi amedai kashindwa?🤔Sasa kama dola 100 ya Covid 19 inamshinda huko kwa wazungu anaenda kuosha macho au kuoshwa macho?
Soma mada uelewe acha mapepe.Kwani huko unakoends utatumia tsh bwashee?!
Sasa analialia nini?!Wapi amedai kashindwa?🤔