Pamoja mkuuAsante sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja mkuuAsante sana
January 09, 2021
Zanzibar, Tanzania
Chartered Airlines 6 kubwa zatua leo Abeid Amani Karume International Airport Zanzibar
Watalii toka nchi za uchumi wa kati kama Russia, Ukraine n.k leo washuka kwa mamia Zanzibar na ndege maalum za kukodi zenye uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 300 kila moja za mashirika ya UTair https://www.utair.ru/en/ , Sky AirLine, Royal Flight Royal flights , Azur https://www.azurair.ru/en n.k yakitua kutoka Ukraine, Russia
Source : KTV TZ ONLINE
Mkuu hizi gharama umepewa na kijana wako au umefika pale maabara ukiambatana na kijana wako kuuliza
Gharama ni sh 40,000/= kwa locals( watanzania)
Kwa wageni ni 50USD (115,000tsh)
Mimi nimepima hata mwezi haujaisha