Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,753
- 10,747
Mutumia jaga la Covid 19 kama fursa ya kupata kipato ni wendawazimuKama anauwezo wa kwenda nje halafu anaona $100 big deal then akae nyumbani tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mutumia jaga la Covid 19 kama fursa ya kupata kipato ni wendawazimuKama anauwezo wa kwenda nje halafu anaona $100 big deal then akae nyumbani tuu
Tatizo hawajui kuwa wanaopimwa COVID ni wageni wakati wakirudi makwao (mifukoni lazima wawe na foreign currency) au waTanzania ambao wanataka kusafiri (Watakuwa wamechenji pesa yao)Kwani huko unakoends utatumia tsh bwashee?!
Hajalia ila ameshtushwa tuSasa analialia nini?!
Amestushwa na dola 100 kwani tiketi ya Uzunguni ni bei gani?Hajalia ila ameshtushwa tu
Sawa uzunguni. Na wanaoendesha malori kwenda kenya wanatumia hizo dola?Amestushwa na dola 100 kwani tiketi ya Uzunguni ni bei gani?
Mleta mada amezungumzia uzunguni!Sawa uzunguni. Na wanaoendesha malori kwenda kenya wanatumia hizo dola?
Mtu anaenda kuosha macho huyo dollar 100 bado ni kidogo hata wazungu wanapokuja kuosha macho huku wanalipa zaidi ya gharama za kawaidaKijana wangu anatamani kwenda kuosha macho huko kwa wazungu kidogo kupanua CV yake, amefika Dar kufuatilia cheti Cha covid 19 anaambiwa kupima ni dola mia moja sawa na laki mbili na nusu kwa mtu mmoja...
Soma tena mada yakeMleta mada amezungumzia uzunguni!
Kwani gharama za kawaida kupima covid bei ganiMutumia jaga la Covid 19 kama fursa ya kupata kipato ni wendawazimu
B M
Europeans have travel companies like Intrepid, Tui, Condor, etc that arrange packages for their own with charter flights to boot. A lot of the tourists that come are blue collar workers in Europe - not rich folks. The travel companies allow clients to pay in installments over several months making their tour experience easy to plan and affordable. The hotels they visit (mostly mzungu owned) have partnerships with the travel companies and have guaranteed occupancy by European visitors. The Afrikan diaspora could do the same if equally organized. An easy place to start is by establishing partnerships,e.g. with local tour operators and hotels owned by locals - or invest in local travel companies and hotels then attract diasporans there for their vacation
Ahaaaa 5 Tena 🤣🤣🤣🤣🤣Kijana wangu anatamani kwenda kuosha macho huko kwa wazungu kidogo kupanua CV yake, amefika Dar kufuatilia cheti Cha covid 19 anaambiwa kupima ni dola mia moja sawa na laki mbili na nusu kwa mtu mmoja....
Kama hataki kutoa 100 USD apishe wenye Nazo. Nauliza hivyo vyeti vya COVID vipoje? Wajanja hawawez kuvifanyia makalatee??
Mkuu hizi gharama umepewa na kijana wako au umefika pale maabara ukiambatana na kijana wako kuulizaKijana wangu anatamani kwenda kuosha macho huko kwa wazungu kidogo kupanua CV yake, amefika Dar kufuatilia cheti Cha covid 19 anaambiwa kupima ni dola mia moja sawa na laki mbili na nusu kwa mtu mmoja.
Naomba kujua Kama hizi gharama zilizopitishwa toka zamani au ni mpya? Kama gharama ni kubwa kiasi hiki na watu wanatakiwa kusafiri nje pale tu wanapokuwa na covid certificate, je madreva na Watanzania wa kipato Cha chini wanaofanya shughuli zao kwa kuvuka mipaka wataziweza hizi gharama?
Mwenye kuelewa hizi gharama vizuri kwa Tanzania na nje ya Tanzania atusaidie kulinganisha.
Tujadili madhara ya kuwa na gharama kubwa kupima covid 19 na uwezo wa Watanzania kumudu gharama hizi
Tafadhali Beatrice Kamugisha soma
Wizara ya Afya: Wasafiri watapimwa covid19 kwa dola 100
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto imetoa muongozo mpya wa upimaji kwa wanaosafiri kwenda nje ya nchi kutokana na kuongezeka kwa idadi ya wanaoambukizwa #COVID19 na kuwepo kwa vimelea vipya kwa baadhi ya nchi Wizara imetangaza kupanda kwa gharama za upimaji wakisema kuwa...www.jamiiforums.com
Mkuu hizi gharama umepewa na kijana wako au umefika pale maabara ukiambatana na kijana wako kuuliza
Gharama ni sh 40,000/= kwa locals( watanzania)
Kwa wageni ni 150USD
Mimi nimepima hata mwezi haujaisha
Maabara ipo jirani kabisa na Majengo ya TMDA ,Yaani TFDA (ya zamani)Samahani naomba kujuzwa.Kwa Dar unakipatia wapi hiko cheti cha Covid?Nahitaji haraka
Asante sanaMaabara ipo jirani kabisa na Majengo ya TMDA ,Yaani TFDA (ya zamani)