Wizara ya Elimu acheni kuwa madalali wa Scholarship za Ubalozi

Mfano Israel hata nchi za ulaya zinataka sana wafanyakazi wa mashambani hii deal SUA wameibana hadi usome pale badala ya kuwapa vijana hata wasiowanachuo maadamu tu ni wakulima waende wakafanye shamba darasa huko
 
Sijui sasa hali ikoje ila miaka ile nipo high school watu walikua wanaenda balozini wenyewe kuulizia scholarships na walipewa instructions. Pia mnaweza pitia websites za balozi husika au kutuma emails. Balozi za nje huwa zinajibu tena in a timely manner tofauti na bongo mtu kujibu email yako anaona kama anapoteza muda wake, contacts info kwenye taasisi zote za bongo ni mapambo tu hamna anayejibu.
 
Mfano Israel hata nchi za ulaya zinataka sana wafanyakazi wa mashambani hii deal SUA wameibana hadi usome pale badala ya kuwapa vijana hata wasiowanachuo maadamu tu ni wakulima waende wakafanye shamba darasa huko
nenda katafute passport uone watakavyokuzungusha balaa
 
Tatizo mfumo ndo umeoza!
 
Inabidi ucheze nje ya mfumo. Ukifuata mifumo ya bongo utasubiri sana. Nenda mwenyewe balozini, ingia kwenye sites zao, tafuta scholarships online etc.
Tafuta watu wa ubalozi wawe rafiki zako! Jenga mahusiano nao
 
Kuna kipindi nilikuwa naomba sana scholarship za Hungary aisee wale jamaa pale wizarani mungu anawaona vigezo kibao wakati Hungary wenyewe hawakuwa na mambo mengi wala.
Pole ni mfumo tu! Hapo unakuta Educational Officer anapewa maelekezo kuwa zikija fomu kutoka kina fulani ziweke huku na zingine ziweke hapa.
 
halafu utasikia watz wakarimu sana.
ukarimu wa kinafiki. watz ni wana roho mbaya kama oil chafu. ukarimu wa kinafikifiki ukimzidi lazima akuchukie.
Oil chafu haijafikia viwango vya roho zetu hata mzigo wa toilet haujafikia vigezo kuna watu walisomeshwa na kulipwa mishahara kwa kodi zetu lakini wanachokifanya ni kukwamisha jambo lolote jema kwa mtz wa kawaida na mambo wanayoweza kwa ufasaha ni ulozi na kula au kuliwa mbususu
 
Mungu atusaidie sana
 
Nikweli swala ulilozungumzia .kumekuwa na ubinafsi sana.
KAMA KUNA MTU ANATAMANI KUSOMA NJE YA NCHI KWA GHARAMA NAFUU ANICHEKI NITAMUELEKEZA UTARATIBU WOTE KUTEGEMEANA NA NCHI ANAYO TAMANI KWENDA.
Huo utaratibu uweke hapa. Otherwise nawe ni walewale.
 
Huo utaratibu uweke hapa. Otherwise nawe ni walewale.
Utaratibu huwa unaeleweka Mkuu.
Kitu kikubwa ni kuwa na passport, motivation letters pamoja na vyeti vyako original sio transcripts.. Ukiona mambo mengine ambayo hayana msingi ujue dalali ameingia.
 
halafu utasikia watz wakarimu sana.
ukarimu wa kinafiki. watz ni wana roho mbaya kama oil chafu. ukarimu wa kinafikifiki ukimzidi lazima akuchukie.
Watanzania/wabongo hawana ukarimu wowote ule labda kwa raia wa kigeni na pengewe huwa ni tunajikomba komba tu hasa tukiona mgeni huyo anatoka kwenye yale mataifa yaliyoendelea.....

Ila sisi kwa sisi tunachukiana na kudharauliana sana, tuna roho mbaya sana, wabogo tuna baniana sana....yaani ukiona mbongo amemsaidia mbongo mwenzie na hawajuani basi ujue kuna ama rushwa imetembea hapo au kuna mtu nyuma amemshurutisha....
 
Naunga mkono hoja
 
umepigilia sumari la mwisho.
 
Watz ukarimu wao kwa wageni lakini sio watz wenzao. Mtz atamthamini mgeni wewe mtz mwenzake atakuona kama takataka. Sijui nani alituroga watz!!
Hii ni kasumba moja ya kipumbavu sana sijui nani mwanzilishi wake.

Yaani mbongo anamuona mgeni ni mtu wa thamani sana wakati huo akimdharau na kumchukulia poa mbongo mwenzie, ukienda pale Airport ndio utaona huu ujinga wazi wazi....!!

Ukienda nchi zingine za hapa hapa Afrika tu hakuna huu ujinga, hata hapo zambia tu wanathaminiana sana wao kwa wao hawana tabia ya kujipendekeza pendekeza kwa foreigners
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…