Wizara ya Elimu acheni kuwa madalali wa Scholarship za Ubalozi

Wizara ya Elimu acheni kuwa madalali wa Scholarship za Ubalozi

Angalizo nzuri.

Ni vyema ubalozi wenyewe kutangaza kuhusu ufadhili wa masomo nje ya nchi kwa umma ili kuepuka madhila na utapeli. Baadhi ya njia za kufanya hivyo zinaweza kujumuisha:

1. Kuandaa tovuti rasmi ya ubalozi inayotolea maelezo kamili kuhusu ufadhili unaotolewa, pamepuatia tarehe za maombi, vigezo vya usahihi, na namna ya kuwasilisha maombi.

2. Kufanya matangazo ya umma kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ya ubalozi, ili kuhakikisha habari zinasambazwa kwa watu wanaohitaji.

3. Kushirikiana na taasisi za elimu na mashirika mengine ya jamii ili kusambaza taarifa kuhusu fursa hizi za ufadhili.

4. Kutoa miongozo na ushauri kwa watu binafsi wanaoomba ufadhili ili kuepuka madhila na kuongeza uwazi.

Lengo kuu ni kuhakikisha kwamba taarifa za ufadhili zinapatikana kwa uwazi na wazi kwa wale wanaohitaji, ili kuwezesha mchakato wa maombi kuwa wa haki na wa uwazi.
MAUA yako mkuu
 
Nothing impossible

Waafrica hatujanyooka mkuu believe that . we afraid fair competition.
Kinachotufanya waafrika wengi tuwe hivyo ni ile hali ya kwamba Je akirudi kutoka ughaibuni, kazi yangu si ataichukua?! Ngoja abaki hapa hapa
 
Labda baba yake afanye uzalendo tu ila kama dogo yupo TIS hapo unadhani hata Feza atasoma kweli huyu?!


Kweli mkuu .

Pia mkuu Mimi nina ndoto za kwenda nje Kusoma na kufanya MAISHA .

Ila sijajua natoka vipi hivyo natamani kuwa na closed na watu wenye ndoto za kwenda au ambao wapo tayari nje hivyo Kama UPO nje au unajua chochote kuhusu kutoka niachie hata Email yako .


Then Nina cheti cha kufundisha wageni lugha ya kiswahili nahitaji kuwapata hawa wageni mkuu .
 
Kweli mkuu .

Pia mkuu Mimi nina ndoto za kwenda nje Kusoma na kufanya MAISHA .

Ila sijajua natoka vipi hivyo natamani kuwa na closed na watu wenye ndoto za kwenda au ambao wapo tayari nje hivyo Kama UPO nje au unajua chochote kuhusu kutoka niachie hata Email yako .


Then Nina cheti cha kufundisha wageni lugha ya kiswahili nahitaji kuwapata hawa wageni mkuu .
Hakuna tatizo Mkuu!
 
Ninaposema kuwa hawa jamaa ni wahuni sidhani kama mnanielewa?! Wameweka tangazo tarehe 2 Agosti na deadline ni tarehe 8 Agosti aisee ni majanga.
Naombeni maadmin waweke hii:
Sambazeni kwa wadogo zenu wapate nafasi.
 

Attachments

Tuna rundo la ma housgirl na boy wanataka wabaikie kudanga tu nchini ndio furaha yako.
Mdada kupata passport under 30 bongo akatambike na hata akipata airport atoboi, labda akaondoe South Africa au Nairobi tena kwa michongo,wakati kazi kibao uarabuni ulaya.
Sijui kwann mtu mweusi hana chuki na roho mbaya sana kuona mwingine atafanikiwa?
 
Back
Top Bottom