Wizara ya Elimu acheni kuwa madalali wa Scholarship za Ubalozi

Wizara ya Elimu acheni kuwa madalali wa Scholarship za Ubalozi

...... continued


Hii ya stipendium hungaricum scholarships bana niliandaa fresh sanaa documents na motivational letter safi kupita maelezo mpaka leo nimeziprint izi motivational letter nimebandika tu geto...sasa kweny hii scholarship bana nltaman course ya vehicle engineering chuo kilikua n debrecen na sczechen istivan university..lakin kabla ya kukurupuka hii unatuma maomb wizaran then wao ndo wanakuchagua ko nkasema kwasabab na namb zao wameweka ngoja niwachek ao wa wizara ya elimu ambaye ndo sending partner nikamtumia sms kibao kumuomba n course gan wanahitaj kwa mwaka huu ili niziombe izo izo kozi nisitoke nje yao kumbe skuwazaga kuna mamb ya kujuana hahaha yule jamaa naishia kuona status zake na dp yake na kunibluutik tu ad leoo ko nikatuma maomb yangu ila mwez wa tatu nkatumiwa na sms kweny email we regret to say that your sending partner wangu hajanichagua au kunipitisha na further process ....nikapata kajoto na usingz nikaaachana nayoo....

Nex time ntaelezea ya brunei ,finland na china kwa turkey na Indonesia kwa bachelor wanataka uwe na miaka isizid 21 wakat mm tyr nina 22 October naingia 23....bas bana nikaachana nayo ila ngj nielezeee future plan ata kwa vijana wenzangu tufokas umo......... To be continued..........
Mkuu!

Hapa kwa Hungary hakuna kujuana hata kidogo,acha kusema uongo.

Hizo scholarships za Hungary una-apply kozi unayotaka sio wanayotaka wizara,then maombi unatuma chuo ila watu wa wizara wana-recommend tu au kuacha ku-recommend jina lako.

Wewe ulitaka mtu wa wizara akuambie ni kozi gani watapitisha mwaka huu kweli?

Haya mimi ninahafamu watu saba wameenda Hungary mwaka huu,na walikuwa hawajuani na watu wa wizara hadi walipokubaliwa na kupata admission letter ndio wa wizara wakawatafuta tena kwa ajili ya kutaarifiwa tu kuwa wamepata au hawajapata taarifa ya admission zao na scholarships.

Nadhani tukikosa hizo scholarship tujitahidi kuwa wakweli tu sio kubuni mambo.

Wewe hukuwa recommended sio kwa kuwa watu wa wizara hawakujui,ila huenda kuna vitu vilipungua.

Tukubali kukosea mkuu,nakuambia kuna mambo ulikosea lazima.

Wizara wana makosa yao ila mengine tunazidisha kama hili la issues za Hungary,huu ni uongo.

Kuna zile za China,kama huna sifa hata usiombe,ni aibu nchi ku-recommend watu wenye study plan mbovu,kuna mmoja nimeona mwaka huu anahangaika hadi leo kupata chuo,alipotuma study plan nilijua hapati chuo yule.
 
Hiyo ndo Afrika,likiwepo likurutumbi limoja tu likaona hizo nafasi,
Atapeleka ndugu yake hata toka kijijini akajaze nafasi na kuacha wenye vigezo
 
Hizo pesa za kuwasomesha wanafunzi zinzotolewa na serikali husika za huko Ughaibuni sio pesa zenu, kwanini mnaweka ngumu hivyo watu kupata ambao mnataka nyie, sio sahihi. Pia alizunguzia suala la kujuana na kubebana sana. Binafsi nashangaa sana kuona nafasi ya kwenda kusoma nje kwa watanzania wanaoweka vikwazi ni watanzania, sijui tuna roho gani?
Niliposoma hapa imeniuma kinoma
 
Ungekuwa kweny sakat la kuapply ungenielewa namaanisha nn ? Unajua wanatoaga nafas za watu wa ngap kwa kila ngazi ?

Cha pili n unaomba kupitia chuo lakn application sio kwamba zinafika ad chuo ndugu yangu wanapopokea maombi commitee yao ndo inakuja kupitisha application zenu ikiwa sendng pattern wame wapendekeza nyinyi kama
waombaji mlio kizi vigezo ambapo kweny hivo vigezo kila mwaka wana kozi zao ambayo wanaamua kupendekeza watu waliochagua izo wakasome....nikupe siri tu kwa za china n the same wanajia wao mwaka huu kulikua na uhaba wa hiki ndo tunapeleka watu wa hiv ndo wanapewa vipaumbele then wengn znazobak mnapewa kwa uchache the same ata kwa mofcomlakn kusema kwamb unaomba chuon moja kwa moja big no maomb hayafik ad uchaguliwe na sendng patener wako na ndio mana ukituma maomb majibu ya ishu zote unapewa na stipendium hungaricum commitee ukishapita kwao wanapeleka chuon direct na ndo inakua ushapata na kama interview unasbr kupitia apoo
Wahoji vzr usiishie kupewa majibu juu juu kama story

Iyoo kuhusu lawama acha tuwape hakuna cha kuwaone wala nn n ishu znafanyika kwel ....ndo mana nikakwambia unajua zinaachiliwagwa nafas ngap?

Lakn pia n neema ya mtu kama umepangiwa na majira saa na siku ikifka unapata tuu
Kuhusiana na motivational letter kwang n kitu cha kawaida japo kuwa nimedisco most of nlowaacha research zao kama watu watu nimewaandkia mm kila kitu na kuwatafunia A to Z kwa ela sio bure na zmepitishwa yan kwa sijui study plan ,statement of purpose, motivational letter n vitu vdg mana kabla kuandk napitiaga mjin utube kuona wamefany vp wenzang na kuona naboreshaje
Paragraph ya kwanza tu,nikusaidie mimi naijua hiyo Hungaricum scholarship vema tu,hivyo usiseme mimi sio muhanga,nimekaa hungary 6years kupitia hizo scholarship na zote zimepita wizarani nikiwa simjui yoyote pale.

Tuwe wakweli mkuu.

Cha pili,ni kweli hautumi chuo moja kwa moja ila unakuwa kwenye database yao wanasuburi sending partner ambaye ni wizara,aki-recommend ndio wao wanatuma maombi vyuo ulivyoomba.

Kuhusu kusema watu wa wizara wana watu wao,nakuambia hapana.

Nina mdogo kadhaa nawajua wako Hungary mwaka huu,wameondoma septemba hii,na wanasema hawakujuana na mtu yoyote wa wizara kabla.

Mengine sijui mkuu.
 
Ungekuwa kweny sakat la kuapply ungenielewa namaanisha nn ? Unajua wanatoaga nafas za watu wa ngap kwa kila ngazi ?

Cha pili n unaomba kupitia chuo lakn application sio kwamba zinafika ad chuo ndugu yangu wanapopokea maombi commitee yao ndo inakuja kupitisha application zenu ikiwa sendng pattern wame wapendekeza nyinyi kama
waombaji mlio kizi vigezo ambapo kweny hivo vigezo kila mwaka wana kozi zao ambayo wanaamua kupendekeza watu waliochagua izo wakasome....nikupe siri tu kwa za china n the same wanajia wao mwaka huu kulikua na uhaba wa hiki ndo tunapeleka watu wa hiv ndo wanapewa vipaumbele then wengn znazobak mnapewa kwa uchache the same ata kwa mofcomlakn kusema kwamb unaomba chuon moja kwa moja big no maomb hayafik ad uchaguliwe na sendng patener wako na ndio mana ukituma maomb majibu ya ishu zote unapewa na stipendium hungaricum commitee ukishapita kwao wanapeleka chuon direct na ndo inakua ushapata na kama interview unasbr kupitia apoo
Wahoji vzr usiishie kupewa majibu juu juu kama story

Iyoo kuhusu lawama acha tuwape hakuna cha kuwaone wala nn n ishu znafanyika kwel ....ndo mana nikakwambia unajua zinaachiliwagwa nafas ngap?

Lakn pia n neema ya mtu kama umepangiwa na majira saa na siku ikifka unapata tuu
Kuhusiana na motivational letter kwang n kitu cha kawaida japo kuwa nimedisco most of nlowaacha research zao kama watu watu nimewaandkia mm kila kitu na kuwatafunia A to Z kwa ela sio bure na zmepitishwa yan kwa sijui study plan ,statement of purpose, motivational letter n vitu vdg mana kabla kuandk napitiaga mjin utube kuona wamefany vp wenzang na kuona naboreshaje
Last paragraph,kaa utulie ujifunze.
 
Nikweli swala ulilozungumzia .kumekuwa na ubinafsi sana.
KAMA KUNA MTU ANATAMANI KUSOMA NJE YA NCHI KWA GHARAMA NAFUU ANICHEKI NITAMUELEKEZA UTARATIBU WOTE KUTEGEMEANA NA NCHI ANAYO TAMANI KWENDA.
tangazo la biashara kwanini usielekeze hapahapa ili kilamtu ajaribu bahati yake
 
tangazo la biadhara kwanini usielekeze hapahapa ili kilamtu ajaribu bahati yake
Ni kweli kila kitu kiwe wazi ili tuwasaidie wengine wanaotamani kwenda nje kupata elimu! Hili jukwaa lina madini sana
 
Nikaja kuingia rasmi mtandao wa tiktok though weng wanautumia vbaya kujionesha onesha kama wamepitea mara ma vyakula enewei its non of our business sasa bana tikitok n kutam kuliko unavohis kwa mm cjui kama kuna mtandao wa kijamii unauzid tiktok ....ila kule ukiwafollow wa kina diamonds bas utaona video za ke na zinazowahusu watu wake ivo yan ukimfollow na akina giggy n the same .....

Sasa kuna watu kama akina jaydeen,black mamba, yatima ulaya ,zinja,fursa with maria curlie,ebm,carrier connect,maisha ya ulaya ,clara mduma, na wengn wengn weng tu apa cwapgii promo mkawafollow au laah no ila wanatoaga information nying sana tiktok why kwa vile n rahs kurekod tiktok mana unarekod clip fup fup vya dkk na kupost au ukaamua kwend live uku unapga mishe zakoo ukoo ndo nikaona wabongo weng nao wakijarbu kutoa information kazaaa na madin matamu sanaaa


Nikakutana na programu nying sana za kwenda ma mbele na hasa german ndo easy kwa wabongo kwenda ila mchawi n lugha yao ila wana program nyng mfano....
Ausbildung
Au pair
Na volunter program kibao za kidin kutungoa kutoka tz direct na kukupeleka ad german bure ambazo baaz nliomba na majibu n November nasbr majibu mana lugha wao wanakusomesha wenyw
Lakn pia Au pair kiurahs pa kupitia n Netherlands au uholanzi mana hawahitaj chet cha lugha ila tu uwe na chet cha kutokua na ndoa og rita ambayo n 200k na cha kuzaliwa na uvi certifie embassy yao ambapo utaanza mambo ya njee then kwao kwa chet kimoja n 135 k then ukapambane na agency zao walizoziorozesha kweny embassy website kutafta familia

Pia kuna marekani hii ni pana maana hakuna agency inayopga kaz kwa east africa kwa sabab ya visa refusal nying kwa balozi zetu hii kuna jamaa mmoja alipata aupair n mtanzania yy aliomba apa bongo agency iko south akaifata na akasepea uko ukoo amenishaur vitu vng sanaaa na na expect mamb yoye yakigoma anivute kwa visitng mana aliniarika kwao ebana ameshusha vitu jamaa af n age tu kama mm ...af kuna mtu anasema marekan kugumu hamna maisha wala hela ila haruf nchi bado amebaki kwa ugum wa maishaa daaah



Kwa leo niishie apaa nex time ntaongeza vyngn nisikie na vyengn toka kwen wadau

Kama ndugu Damaso una lakuongeze tupia apoo ila kwa new Zeealand leo kesh naitaman sana pamoja na Australia
Mkuu hizo za German volunteer kupitia kanisani naomba jina lao..
 
Mkuu hizo za German volunteer kupitia kanisani naomba jina lao..
Inaitwa UEM(united evangelical mission) zipo tofaut tofaut kasome utaona inayokufaa n ipii japo ishapita ila jiandae mana znakujaga tena
South to north volunteer
North to south volunteer
 
Back
Top Bottom