Wizara ya Elimu ipitie upya Mtaala wa Masomo ya Sayansi wa A-Level

Wizara ya Elimu ipitie upya Mtaala wa Masomo ya Sayansi wa A-Level

Mr Pixel3a

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2021
Posts
5,710
Reaction score
8,579
Wanafunzi wengi wa Advance wamejikuta kwenye hali ngumu hususani kwenye masomo ya Mathematics, Physics, Chemistry na Biology

Kwanza, Mambo ya kujifunza ni mengi sana (materials) bila kupima uwezo wa ubongo wa mwanafunzi ivo kupelekea kufeli

Pili,Uchache ama ufinyu wa mda, miaka miwili kwa mwanafunzi wa PCB, PCB ni ngumu kumfanya aelewe kila kitu na inapelekea wengi kukariri tu masomo kama form one.

Tatu, Kukosekana kwa vitabu vyenye kukamilika (contents) zote zitakazoweza kumsaidia mwanafunzi kuelewa Jambo kiundani mfano vitabu vya TIE (physics, Chemistry, Mathematics and Biology) havijitoshelezi.

Hivyo Wadau wa Elimu kwa kushirikiana na Wizara haina budi kutatua tatizo hili. Maana itazalisha wataalamu nyanja za juu wasio na ubora unaohitajika.

Nakaribisha maoni na proposal zipi zifanyike kusolve hili suala
 
Wanafunzi wengi wa Advance wamejikuta kwenye hali ngumu hususani kwenye masomo ya Mathematics, Physics, Chemistry na Biology

Kwanza, Mambo ya kujifunza ni mengi sana (materials) bila kupima uwezo wa ubongo wa mwanafunzi ivo kupelekea kufeli

Pili,Uchache ama ufinyu wa mda, miaka miwili kwa mwanafunzi wa PCB, PCB ni ngumu kumfanya aelewe kila kitu na inapelekea wengi kukariri tu masomo kama form one.

Tatu, Kukosekana kwa vitabu vyenye kukamilika (contents) zote zitakazoweza kumsaidia mwanafunzi kuelewa Jambo kiundani mfano vitabu vya TIE (physics, Chemistry, Mathematics and Biology) havijitoshelezi.

Hivyo Wadau wa Elimu kwa kushirikiana na Wizara haina budi kutatua tatizo hili. Maana itazalisha wataalamu nyanja za juu wasio na ubora unaohitajika.

Nakaribisha maoni na proposal zipi zifanyike kusolve hili suala
Pamoja na hayo mazingira kuna watu wamesoma shule za kata, akaenda advance sehemu ambazo walimu wa masomo hayo hakuna na bado wakafaulu vizuri tu. hayo maoni yako sioni kama yana tija. ishu ni kuboresha miundo mbinu na maslahi kwa walimu wa hayo masomo lakini nje ya hapo yatakuwa yaleyale
 
Pamoja na hayo mazingira kuna watu wamesoma shule za kata, akaenda advance sehemu ambazo walimu wa masomo hayo hakuna na bado wakafaulu vizuri tu. hayo maoni yako sioni kama yana tija. ishu ni kuboresha miundo mbinu na maslahi kwa walimu wa hayo masomo lakini nje ya hapo yatakuwa yaleyale
Suala la walimu karibu kila advance school wapo wa kutosha kiongozi
 
Cha kusikitisha ni kuwa wizara haina muongozo wala vitabu vilivyotungwa kuzingatia mitaala ya elimu ya Advanced level.

Kwenye physics haijulikani ni kitabu gani mwanafunzi atumie, Chand's vya muhindi au vya mzungu.
 
Cha kusikitisha ni kuwa wizara haina muongozo wala vitabu vilivyotungwa kuzingatia mitaala ya elimu ya Advanced level.

Kwenye physics haijulikani ni kitabu gani mwanafunzi atumie, Chand's vya muhindi au vya mzungu.
Mfano mwingine tu chemistry kila topic (TIE) wametoa kitabu chake na bado contents hazijapangwa vizuri lazma mwanafunzi atafute Chand ya chemistry
 
Suala la walimu karibu kila advance school wapo wa kutosha kiongozi
Pole sn, inaonekana umesoma shule za mjini. serikali isingewapa kipaumbele walimu wa sayansi na especially wa advance kama wangekuwepo wa kutosha. Angalia rate ya walimu wanaoajiriwa wengi ni wa masomo gani?
 
Pole sn, inaonekana umesoma shule za mjini. serikali isingewapa kipaumbele walimu wa sayansi na especially wa advance kama wangekuwepo wa kutosha. Angalia rate ya walimu wanaoajiriwa wengi ni wa masomo gani?
Mkuu mm nna experience ,unajua Maana ya shule kuwa na advance ,walimu wapo ila nao ni wavivu kutokana na syllabus ndio .Mana anaachiwa mwanafunzi apambane
 
Tatu, Kukosekana kwa vitabu vyenye kukamilika (contents) zote zitakazoweza kumsaidia mwanafunzi kuelewa Jambo kiundani mfano vitabu vya TIE (physics, Chemistry, Mathematics and Biology) havijitoshelezi.

Hivyo Wadau wa Elimu kwa kushirikiana na Wizara haina budi kutatua tatizo hili. Maana itazalisha wataalamu nyanja za juu wasio na ubora unaohitajika.
Hayo masomo yanataka vitendo kwa wingi sana kuepuka athari za nadharia ndiyo tutafanikiwa, habari ya kukariri kwenye sayansi haitalivusha taifa kwenda ulimwengu wa digitali
 
walimu wapo ila nao ni wavivu kutokana na syllabus ndio .Mana anaachiwa mwanafunzi apambane
Wengi wanakimbizana na biashara zao na semina maana wanasiasa hawana muda na kuboresha mazingira yao ya kazi
 
Mfano mwingine tu chemistry kila topic (TIE) wametoa kitabu chake na bado contents hazijapangwa vizuri lazma mwanafunzi atafute Chand ya chemistry
Topics ni nyingi sana na ni ngumu kwa mwanafunzi kuelewa vizuri. Huwa sometimes nawaza niliwezaje kuzisoma topics zote katika kipindi kifupi kama kile.

Physical measurements (Errors & dimensions)
Mechanics
Fluid dynamics
Heat
Wave motion
Current electricity
Electrostatics
Electromagnetism
Electronics
Atomic physics
Environmental physics

Kila topic hapo ina subtopics ambazo unaweza ukatunga kitabu.

Rip Muddy physics,
Mgote
Mtiiga

Enzi hizo tuition mchikichini na Mwenge ITV.
 
Topics ni nyingi sana na ni ngumu kwa mwanafunzi kuelewa vizuri. Huwa sometimes nawaza niliwezaje kuzisoma topics zote katika kipindi kifupi kama kile.

Physical measurements (Errors & dimensions)
Mechanics
Fluid dynamics
Heat
Wave motion
Current electricity
Electrostatics
Electromagnetism
Electronics
Atomic physics
Environmental physics

Kila topic hapo ina subtopics ambazo unaweza ukatunga kitabu.

Rip Muddy physics,
Mgote
Mtiiga

Enzi hizo tuition mchikichini na Mwenge ITV.
Sasa unakuta topic Kam Heat na atomic ,unasoma tuu na huwezi imaliza ,mitihani ni lazma ucancell topic zingine kuokoa ubongo manake apo tunapoteza kitu muhimu
 
Wengi wanakimbizana na biashara zao na semina maana wanasiasa hawana muda na kuboresha mazingira yao ya kazi
Na apo ni mwanafunz inabidi aanze kutumia njia mkato kufikia grade
 
Bado hujapiga practicals.....dah elimu ya advance kwa masomo ya sayansi si masikhara. Ilikuwa ni mwendo wa kukimbizana na muda tu.Ukiambiwa uende assembly asubuhi unaona kama wanakuchelewesha tu.
Na kikanununi tu physics pekee inatakiwa mwanafunz afundishwe na afanye yey mwenyew practical si chini ya 50 ,umeme,Heat , oscillation (wave)
 
Wanafunzi wengi wa Advance wamejikuta kwenye hali ngumu hususani kwenye masomo ya Mathematics, Physics, Chemistry na Biology

Kwanza, Mambo ya kujifunza ni mengi sana (materials) bila kupima uwezo wa ubongo wa mwanafunzi ivo kupelekea kufeli

Pili,Uchache ama ufinyu wa mda, miaka miwili kwa mwanafunzi wa PCB, PCB ni ngumu kumfanya aelewe kila kitu na inapelekea wengi kukariri tu masomo kama form one.

Tatu, Kukosekana kwa vitabu vyenye kukamilika (contents) zote zitakazoweza kumsaidia mwanafunzi kuelewa Jambo kiundani mfano vitabu vya TIE (physics, Chemistry, Mathematics and Biology) havijitoshelezi.

Hivyo Wadau wa Elimu kwa kushirikiana na Wizara haina budi kutatua tatizo hili. Maana itazalisha wataalamu nyanja za juu wasio na ubora unaohitajika.

Nakaribisha maoni na proposal zipi zifanyike kusolve hili suala

Ni maoni mazuri yanapaswa kupongezwa. Swali kwa mtoa mada je? Una uelewa mzuri kuhusu mitaala ya elimu au umetoa maoni yako tu kwa jinsi unavyoona ?
 
Mkuu mm nna experience ,unajua Maana ya shule kuwa na advance ,walimu wapo ila nao ni wavivu kutokana na syllabus ndio .Mana anaachiwa mwanafunzi apambane
Hata mimi nina experience, na nimesoma PCM. Walimu waliopo hawatoshelezi mahitaji, walimu wengi wamejazana mijini tu. Pili nimekwambia ili watu wafauluu kinachotakiwa ni kuboresha miundo mbinu kwa maana ya madarasa, laboratory nzuri yenye vifaa, Library nakadhalika, cha pili waboreshe maslahi ya walimu. Hizo sababu ulizotoa kama zingekuwa na uhalisia basi shule za private kama FEZA, WAJA, na nyinginezo zisingefaulisha. kinachofanya shule za private zinazotoa hayo masomo ya sayansi wafaulu ni kuwa na walimu wenye mishahara mizuri na miundo mbinu mizuri lakini SIO kuwa na syllabus kubwa au nyingi. Kwa hiyo sababu ulizotoa zijakubaliana nazo kwa kuwa bado kuna watu wanafaulu tu na wengi ni kutoka shule za private. naomb uniambia ni sababu zipi zinazofanya shule za advance za private kufaulisha kuliko za serikali? kama ni wingi wa topics au miundo mbinu na maslahi? au sababu gani?
 
Acheni Ngono someni

Mimi nimefundisha hapo Temeke Advance wanafunzi mnatombana Sana.

Mwanafunzi smart hawezi kufeli Advance pia huko vijijin ngono imetawala . Serikali naomba Alama ziongezwe za kutoka Advance kuja chuo kikuu Angalau D inabidi Kuanzia 65+
 
Back
Top Bottom