Wizara ya Elimu ipitie upya Mtaala wa Masomo ya Sayansi wa A-Level

Ata o level pia matatizo yana exist nlikua nashangaa madogo wanajaa kwa HIDDEN pale mtaalamu wa mathematics πŸ˜…
Hidden mzee wa majohe...unachukua hii unaweka pale...dah jamaa alikuwa anajaza nyomi la kufa mtu aisee enzi hizo pindi shilingi Mia .Watoto wa juzi hawawezi kuelewa
 
Sio sifa ni kukosa watu wa kuwashauri na tatizo lingine ni TCU, Unakuta mwanafunzi kipindi kile kakaza sana msuli labda aje kusomea udaktari, matokeo ya form six yanakuja amepata labda div 2 ya 11...TCU wanamchagulia kozi.za ajabu ambazo hazipo hata ktk.soko la ajira na kwa kuwa kijana kwao ni masikini basi anaamua aende kusoma hiyo kozi hivyohivyo, mwisho wa siku.ana hitimu na kazi hakuna anabaki kuwa jobless mtaani
 
Sawa nakubaliana na wew tuwalipe walimu mshahara mkubwa kuzuia uvivu wao ,suala la private kufaulisha Lina factor nyingi kwasabab hata shule za serikal znafaulish pia ,una hakika vitabu wanavyotumia feza ni ivo ivo vya Pugu au Minaki!!
Kiwango cha ufaulu wa shule za serikali kidogo o sn ukifananisha na private. Mitihani wanayofanya ni ileile na syllabus ni ile ile, Ubaya au uzuri wa elimu ya advance kuna vitabu vingi na hakuna kitabu maalumu za darasani, unaweza kusoma CHAND, NELKON, MATHEMATICAL ENGINEERING, n.k, muhimu zinapatikana topics za kwenye syllabas. Sioni kama kuna haja sana ya kujua vitabu wanatumia tofauti au sawa ila cha muhimu wote wanafuata syllabas moja.
 
Umefuatilia ufaulu wa PCB/M au unaongelea Vasco Dagama alifika Ras ya Tumaini Jema mwaka 1497
By the way, usilete hoja za kijiweni kuwa Elimu ya Form 1V kenya ni sawa na Elimu ya Form Six Tanzania. Somesha mtoto hadi form four Kenya halafu fuatilia ni vyuo vingapi vya ulaya vitamkubali kwa degree ya kwanza hata kama una hela ya kulipia???
Ungekuwa umebahatika kusoma PCB/M ningekuambia uangalie Syllabus ya kenya na TZ uone coverage yake naamini ungedelete hii post yako
 
Ufaulu unajulikana mkuu, hizo PCB/M ni rahisi ndiyo maana hata ma TO huwa wanatoka combinations hizo...
 
Mtoa mada ana hoja ya msingi sana,wengi wanaofauru ni wale wazee wa kukalili ila sio wa kuelewa. Ndio maana wengi wakijoin vyuo wahadhiri wanalalamika kuhusu ubora wa wanafunzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…