Wizara ya Elimu ipitie upya Mtaala wa Masomo ya Sayansi wa A-Level

Wizara ya Elimu ipitie upya Mtaala wa Masomo ya Sayansi wa A-Level

Kuna watu walitoka na div One ,science O'level wakiwa na ndoto za kwenda kuwa madaktari ila Advance level wakajikuta wana div Zero au four. Walikuwa na uwezo wa kuelekea college wakapiga diploma ya clinical medicine halafu wakaendelea university kusoma MD au hata kuishia na hiyo diploma na kuajiriwa serikalini kufanya kazi mahospitalini.

Binafsi sitaki wanangu wasome hii A-level ni kupoteza muda tu. Mtoto anaweza kufaulu PCB form six ila TCU wakampeleka kwenda kusoma course za ajabu ajabu ambazo sio malengo yake. Ni bora umpeleke mtoto akasome diploma katika health institute au adome hata kwenye technical college
Bas broo angu kfanya vzr mwanae kapasua vzr olevel ila akamua kumtafutia mist mbeya uko akapige diploma yake ya ujenzi
 
Watu waache kulia. Mimi huwa najipa moyo angalau sikuwahi kusoma tuition kabisa. Likizo zangu zote za A-level nilikuwa napiga vibarua vya ujenzi.... hiyo ndo miaka nilijua mitaa yote ya Arusha. Kilichonisaidia nilipata rafiki yangu aliyenifundisha topics karibu zote za hesabu na physics wakati naingia form six. Ndani ya hiyo miezi ya form six nilipiga msuli ambao hauelezeki. Matokeo yanakuja ninachekelea. Mungu ambariki sana yule jamaa yangu maana bila yeye ningepiga zero au four. Bila yeye ningechelewa sana kuijua Dar. 😄
😅😅umeandika kwa hisia sana ,kila mtu ana story ya kipekee kuhusu msoto wa advance ,kila mtu ana kumbukumbu ambayo haitafutika kamwe kuhusu Advanced level muhimu ni kushukuru Kam haukupotea njia ,na kuangukia Cbe ,au Sua kulima matikiti .kufeli chuo hakuumi ila kufeli Advance eh bhana.
 
Binafsi topic za mathematics nilisaidiwa na Brother kuzicover karibu za form six zote ,bila yey ningepitia TIA ,au ningekua napiga diploma college uko😅
 
😅😅umeandika kwa hisia sana ,kila mtu ana story ya kipekee kuhusu msoto wa advance ,kila mtu ana kumbukumbu ambayo haitafutika kamwe kuhusu Advanced level muhimu ni kushukuru Kam haukupotea njia ,kangukia Cbe ,au Sua kulima matikiti .kufeli chuo hakuumi ila kufeli Advance eh bhana.
Noma sana... inauma zaidi umefanya ile matriculation ukafaulu ila kwenye kuchaguliwa points haziruhusu... ikumbukwe cut off points kwa UDSM nadhani kuna kozi moja ilikuwa 4.5 ila halafu nyingine zote zilkuwa 5.5... na kwa jinsi watoto wanavyopelekeana moto miaka hii itakuwa hata hiyo 5.5 hupenyi.
 
Ila watu wa sayansi mna uwanja mpana sana wa kusomea mambo mengi kwasababu wengi form four mmefanya vizuri. Kuna mwanangu mmoja alipiga zero form six PCM. Alichofanya ni kutumia matokeo ya form na kuanza diploma mambo ya maabara. Alipomaliza akafanya kazi kidogo Azam akajiendeleza degree DIT... tunavyoongea tayari yuko kwa mkemia mkuu na ni afisa mkubwa. Kimaisha anatuchapa bakora karibu wote ambao six tulipita salama. Nashauri vijana tusisomee sifa. Kuliko uende kusoma kozi ambayo haina madili au ajira za kutosha kisa upate sifa bora uende zako hata chuo cha nyuki ukitoka huko unafuga zako nyuki na kuuza asali. Wengi wa watu waliosomea sifa wanahangaika mtaani.
 
Kwa mimi naona vijana wasome tu, hizo topics zinatosha sana.
 
Noma sana... inauma zaidi umefanya ile matriculation ukafaulu ila kwenye kuchaguliwa points haziruhusu... ikumbukwe cut off points kwa UDSM nadhani kuna kozi moja ilikuwa 4.5 ila halafu nyingine zote zilkuwa 5.5... na kwa jinsi watoto wanavyopelekeana moto miaka hii itakuwa hata hiyo 5.5 hupenyi.
Matriculation = wewe muhenga
 
Hapa bongo mtoto anaetaka kwenda advance apate division one single digit 7,8au 9.vinginevyo aende technical.😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom