Wizara ya Elimu ipitie upya Mtaala wa Masomo ya Sayansi wa A-Level

Wizara ya Elimu ipitie upya Mtaala wa Masomo ya Sayansi wa A-Level

Siku hizi possible zinavujishwa watsapp na telegram!! Kipindi chetu kusikia mtihani umevuja kwanza mnawauliza watu wa Feza,Al muntazir,Shaban robert,Mzizima,St Anthony...ndio wakishua waliokuwa wakivujishiwa pepa za necta.
 
Mimi nashangaa sana hapa bongo sijui Kitaalamu imekaaje O_level science ,A_level Pcm ,chuo uhasibu Kazi Dalali...
Mnasoma weee mkimaliza kazi hakuna!! Inabidi ujiongeze tu ili mkono uende kinywani
 
Muda ni kweli mdogo, lakini kwa mwanafunzi aliye serious kufaulu ni simple tu.

Na trend inaonesha ufaulu wa advance ni mkubwa kushinda wa Ordinary.

Huo muda uliwekwa kwa standard za kimataifa wala hakuna shida yoyote kwenye sylabus.

Ukitaka kujua nachoongea ni kweli, nenda hapo Kenya ambako wanasoma secondary miaka 4 tuu vitu vyote vinavyofundishwa kwa miaka 6 hapa Tanzania.
Mkuu unafananisha mitihani ya KCSE na NECTA?? Yaani hiyo mitihani ya KCSE wangeileta bongo ndo iwe necta kwa form six basi vyuo vingeshindwa kukabili wingi wa wanafunzi. Elimu ya advance hapa bongo ni sawa ba elimu ya chuoni kenya mwaka wa kwanza. Kenya na Uganda hakuna kitu inapokuja suala la mitihani ba elkmu kwa ujumla. Wametuzidi kuongea kingereza tu.
 
Wametoa mwaka 2020 vya TIE ni vizuri mno mimi nimevipitia Biology na Chemistry nasema viko bomba na deep..
Tie hawakuwaga na books za advance.ila bana mfumo wa elimu ufumuliwe kuendana na soko ama spidi ya dunia.maarifa mengi huwa mtu anatapaga akiwa job anajifundisha yeye mwenyewe ama anakamua kurudi shule.
Yaani walegeze kama ilivyo kwa erb walivyolegeza from graduate engineer to professional Engineer Ila Sasa wakaenda kubana from Professional to Consultant Engineer.
Na mfumo wa elimu walegeze baadaye baadaye huko masters na waweke viwango vya kitaluma like law schools,cpa and like. Hata ticha wawe na levels pia ,you acquire more real professional when you're working and practicing real career. Engineering inawezekana ikasomwa three years,
Kwa waliosoma Engineering fourth haina Mana kabisa. Mtu anaweza akatoka na third year akiwa vizuri na practice za kufa mtu sidhani Kama Kuna kitu Cha yule aliyesoma fours years anaweza akamshinda.
Mfano mtu anakamatalia kaeneo fulani anakuwa nondo mpaka balaa. Ishu kubwa na mbaya wengi watu wanapenda kuwa multipurpose or multitask. Mfano civil engineer anataka ajue masuala ya maji yote ama majengo yote na masuala ya roads yote ili aheshimiwe kuwa jamaa yupo nondo Ila hakuna kitu icho kwa dunia ya saivi.specialization Ni nzuri mno na inalipa mbaya kuliko kutaka sifa kuwa kila eneo Niko nondo.

Unataka ucheze soka,kikapu,tennis, athlete,car race,mwanamieleka Mara heavy lifting na zote ushinde. Maisha yenyewe ya kuishi dunia hii Ni mafupi mno yaani mno. We work nadhani only 40yrs Basi.
From 25-60 Basi kwanza Ni 35 so why uhangaike na Mambo mengi,so from 60 unaanza ku decay kwa Ile growing curve ya binadamu unaanza ku retard ilipotokea.
No need to complicate life.
 
Nimesoma physcs advance nakumbuka teacher alikuwa mmoja tu inabidi afundishe 5 na 6 mbaya zaid mwalimu wenyewe muda wote yupo town kushika shika mademu tu.
Daah lakini mungu ni mwema wengi tulitoboa ni jitihada binafsi za wanafunzi na ushirikiano.
Ninacho kumbuka ni kwamba,huko nyuma Kati ya miaka ya 2000-2002,walimu wa physics walikuwa wachache Sana.

Nilisoma mkwawa high school,wanafunzi 360 wa physics walimu wawili,yaani PCM 120,PCB 120 na PGM 120.Kumbuka hapo mwalimu mmoja ni mzee Sana.
Je? Hapo bila tuition ilikuwa balaaa.Sasa Hawa watoto wanao Soma Sasa waangalie mitihani ya Physics ya zamani 1999-2022😁😁😁😁😁😁.
Niishie hapo kwa Sasa.

Pia ukifika March walimu wanakimbia maswali magumu kutoka kwa wanafunzi.hawaonekani shuleni(kazini)😁😁😁😁😁😁😁
 
Mwalimu wangu wa somo la chemistry advance aliwahi kupelekea maoni wizara ya elimu kuwa advance miaka miwili kidogo ina mambo mengi ni vigumu mwanafunzi kuelewa vyote kwa muda mfupi kama ule.

Na ni kweli kwa wale tuliosoma masons ya Sayansi lazima ukubali advance mziki mnee mtu ulileta urembo wa O_level wewe kufeli ni swala rahisi sana ndio maana shule kubwa wanaanza masomo mapema na wenye uwezo watoto wao wanapiga tuti za uhakika muda wa shule unakuta wameshakava vitu vingi..
Advance Ni constant momentum hakuna retardation Wala Nini. Binafsi hakuna paliponitesa Kama advance. Hata chuo sio Kama advance
 
Mkuu unafananisha mitihani ya KCSE na NECTA?? Yaani hiyo mitihani ya KCSE wangeileta bongo ndo iwe necta kwa form six basi vyuo vingeshindwa kukabili wingi wa wanafunzi. Elimu ya advance hapa bongo ni sawa ba elimu ya chuoni kenya mwaka wa kwanza. Kenya na Uganda hakuna kitu inapokuja suala la mitihani ba elkmu kwa ujumla. Wametuzidi kuongea kingereza tu.
Wengi huwa haelewi elimu ya tz iko ngumu mno ,eti vyuo vingekosa sehemu ya kutuweka. Wangeweka na wa kusoma usiku na ma lecturer wakaajiliwa wa usiku. Yaani two universities ndani ya block moja. So Kuna uongozi wa chuo Cha usiku na wa mchana ivyo ivyo. Sasa tungefanyeje mkuu.
Sure kcse yao iko laini mno.
Wakenya haiwezi advance yetu. Wao Ni English tu na blah blah nyingi. Sie huku Ni Ile confidence ya English tu intusumbua na namna ya kuchacharika.
Mtu anakosa shule bongo Ila akienda Uganda anapata nafasi anasoma.
Kumbuka d Ni pass unastahili kuendelea
 
Tie hawakuwaga na books za advance.ila bana mfumo wa elimu ufumuliwe kuendana na soko ama spidi ya dunia.maarifa mengi huwa mtu anatapaga akiwa job anajifundisha yeye mwenyewe ama anakamua kurudi shule.
Yaani walegeze kama ilivyo kwa erb walivyolegeza from graduate engineer to professional Engineer Ila Sasa wakaenda kubana from Professional to Consultant Engineer.
Na mfumo wa elimu walegeze baadaye baadaye huko masters na waweke viwango vya kitaluma like law schools,cpa and like. Hata ticha wawe na levels pia ,you acquire more real professional when you're working and practicing real career. Engineering inawezekana ikasomwa three years,
Kwa waliosoma Engineering fourth haina Mana kabisa. Mtu anaweza akatoka na third year akiwa vizuri na practice za kufa mtu sidhani Kama Kuna kitu Cha yule aliyesoma fours years anaweza akamshinda.
Mfano mtu anakamatalia kaeneo fulani anakuwa nondo mpaka balaa. Ishu kubwa na mbaya wengi watu wanapenda kuwa multipurpose or multitask. Mfano civil engineer anataka ajue masuala ya maji yote ama majengo yote na masuala ya roads yote ili aheshimiwe kuwa jamaa yupo nondo Ila hakuna kitu icho kwa dunia ya saivi.specialization Ni nzuri mno na inalipa mbaya kuliko kutaka sifa kuwa kila eneo Niko nondo.

Unataka ucheze soka,kikapu,tennis, athlete,car race,mwanamieleka Mara heavy lifting na zote ushinde. Maisha yenyewe ya kuishi dunia hii Ni mafupi mno yaani mno. We work nadhani only 40yrs Basi.
From 25-60 Basi kwanza Ni 35 so why uhangaike na Mambo mengi,so from 60 unaanza ku decay kwa Ile growing curve ya binadamu unaanza ku retard ilipotokea.
No need to complicate life.
😁😁😁😁😁😁👍👍👍👍
 
Topics ni nyingi sana na ni ngumu kwa mwanafunzi kuelewa vizuri. Huwa sometimes nawaza niliwezaje kuzisoma topics zote katika kipindi kifupi kama kile.

Physical measurements (Errors & dimensions)
Mechanics
Fluid dynamics
Heat
Wave motion
Current electricity
Electrostatics
Electromagnetism
Electronics
Atomic physics
Environmental physics

Kila topic hapo ina subtopics ambazo unaweza ukatunga kitabu.

Rip Muddy physics,
Mgote
Mtiiga

Enzi hizo tuition mchikichini na Mwenge ITV.

Umesema RIP mudy physics n.k , unamaanisha hawa jamaa hatuko nao Tena [emoji24][emoji24]
 
Hata mimi mda ambao wenzangu wanapiga Pre_4m5 nilikuwa nacheza chandimu mtaani kufika class sijui hata majina ya vitabu nakuta wadau washusha machandy kwenye meza kuna mwamba nilikaa nae nilimuuliza umesoma nini jamaa alinijibubkwa tambo nimekava kila kitu akaja kukaa kidogo akatoa kidaftari na kitabu anasovu BAm huku akilalsmika hili somo amekava topic tatu tu nikasema mchizi amelisonea tuti mpk somo la ziada nikamuhma siku ile ile nikamtafuta Mwanangu ambaye hatuchekani nikae nae mwishowe mchizi kucheza mwingi necta kala 4..
😁😁😁😁😁😁
 
Advance sio kwa kila mtu pia sio lazima. Inaitwa ADVANCED or high school so why uende high bakia na ordinary inatosha later college baadaye University maisha murua
Ningelikutana na ushauri huu enzi hizo ningeliufuta. Chands zote ziliniishia, plus BS, Wakina Ngaiza, mod na wenzie! Nilikesha usiku kucha, Jumamosi wenzangu wanacheki movies social hall, mi nipo na mbegi wangu chimbo! Leo hii sina maisha, hii degree ya Microbiology naitumia kuulia mbu kwa vidonge vya shn'g 100 100 [emoji24][emoji24][emoji24]
 
[mention]Mr Pixel3a [/mention] kwani syllabus za level zingine ziko sawa , why only Advance ?
 
Nimesoma physcs advance nakumbuka teacher alikuwa mmoja tu inabidi afundishe 5 na 6 mbaya zaid mwalimu wenyewe muda wote yupo town kushika shika mademu tu.
Daah lakini mungu ni mwema wengi tulitoboa ni jitihada binafsi za wanafunzi na ushirikiano.
Sintoruhusu mwanangu asome Advance Full Stop [emoji35][emoji35]
 
Ningelikutana na ushauri huu enzi hizo ningeliufuta. Chands zote ziliniishia, plus BS, Wakina Ngaiza, mod na wenzie! Nilikesha usiku kucha, Jumamosi wenzangu wanacheki movies social hall, mi nipo na mbegi wangu chimbo! Leo hii sina maisha, hii degree ya Microbiology naitumia kuulia mbu kwa vidonge vya shn'g 100 100 [emoji24][emoji24][emoji24]
Umesoma BSC in Microbiology UDSM?
 
Sayansi ya Advance ni balaa.. ... sisi mwaka wetu vipanga karibu wote wa O - level walipiga TWO. Ilikuwa patashika. Ndoto za wengi zilikuwa UDSM, MUHAS na SOKOINE ila watu wakajikuta wako IFM, CBE, IAA, SAUT, ST JOSEPH na vyuo vingine kimbilio la division Three. Kuna kipanga wangu mmoja alipata UDSM ila kozi za sayansi tena. Yule jamaa chuo hakumaliza yuko zake Matejoo kawa mlevi. Binafsi naona hakuna haja ya kulegeza kamba acha tu moto uendelee kuwaka... ili wanaoweza wasonge mbele. Sio lazima wote tusome sayansi.
 
Umesema RIP mudy physics n.k , unamaanisha hawa jamaa hatuko nao Tena [emoji24][emoji24]
Yeah alifariki mwaka 2020...RIP

Lets call it a day at this particular juncture.

Mwamba amehifadhi notsi kichwani anashuka tu bila hata ya kuangalia mahala. Alikuwa akipiga sana pesa kuliko hata waajiriwa wa serikalini. Lile nyomi la wanafunzi kila subtopic elfu 5000 kipindi kile. Topic 15000..anafundisha kuanzia saa 1 asubuhi mpaka jioni .Kila kipjndi saa moja moja. Mnatoka wanaingia wengine. Watu wanakosa mpk sehemu za kukaa aisee
 
Ningelikutana na ushauri huu enzi hizo ningeliufuta. Chands zote ziliniishia, plus BS, Wakina Ngaiza, mod na wenzie! Nilikesha usiku kucha, Jumamosi wenzangu wanacheki movies social hall, mi nipo na mbegi wangu chimbo! Leo hii sina maisha, hii degree ya Microbiology naitumia kuulia mbu kwa vidonge vya shn'g 100 100 [emoji24][emoji24][emoji24]
Yaani mkuu kwa muda huo Kuna ego inatusumbua kuwa inatakiwa uwe kichwa unasomea sifa Ila maisha
 
Back
Top Bottom