Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
halafu anarudi nyumbani saa tatu halafu saa 12 asubuhi yupo barabarani kusubiri daladala nadhani hapa wizara ilienda haraka bila kutafakari mazingira ya shule zetu ingawa ratiba hii kwa shule za bweni haina shidaMimba naziona kwa madent [emoji41]
Watoto wanaumia sana na hii ratiba hasa kwa mazingira ya shule zetu watoto wanafika majumbani saa mbili hadi saa tatu usiku ukiwauliza wanadai foleni mara daladala zinasumbua.
Hebu serikali mlione hili hata kama ndio kusoma hapana.
KUREKEBISHA.pdfWatoto wanaumia sana na hii ratiba hasa kwa mazingira ya shule zetu watoto wanafika majumbani saa mbili hadi saa tatu usiku ukiwauliza wanadai foleni mara daladala zinasumbua.
Hebu serikali mlione hili hata kama ndio kusoma hapana.
Barua za kuvunja Ratiba ya Ndalichako...Barua gani tena?
Wahusika wanadai waraka haujawafikiaKwani Ile waraka wa kamishna wa kamishna wa elimu wa tarehe 1 July wa kutengua agizo la waziri wa elimu ulikuwa fake? Mbona hawajaukanusha Kama ulikuwa fake?
Nimejaribu kumdodosa rafiki yangu ambaye ni afisaelimu wa wilaya kaniambia anasubiri barua kutoka tamisemi sijui ya Nini ilihali waraka wa kamishna anao kwenye faili lake la kazi! Inashangqza Sana.