Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wapi huko mkuuWatoto wanaumia sana na hii ratiba hasa kwa mazingira ya shule zetu watoto wanafika majumbani saa mbili hadi saa tatu usiku ukiwauliza wanadai foleni mara daladala zinasumbua.
Hebu serikali mlione hili hata kama ndio kusoma hapana.
Huko mikoani kwenyewe swala sio foleni tena ni watoto wanatembea porini kilometres 7+ kurud nyumbani na ni gizaHiyo ratiba ya kutoka saa kumi na moja nafikili waliangalia kwa mikoani tu lakini sio kwa dar maana sio kwa foleni hizo
Sipati picha vijijini watoto wanaokaa mbali na shule.halafu anarudi nyumbani saa tatu halafu saa 12 asubuhi yupo barabarani kusubiri daladala nadhani hapa wizara ilienda haraka bila kutafakari mazingira ya shule zetu ingawa ratiba hii kwa shule za bweni haina shida
Hata huko mikoani kuna wanafunzi wanakaa mbali sana na shuleni.Hiyo ratiba ya kutoka saa kumi na moja nafikili waliangalia kwa mikoani tu lakini sio kwa dar maana sio kwa foleni hizo
mbona kwa jiji la mwanza washarekebisha maana ratiba ile ya zamani imerudi toka wiki iliyopita. sasa hivi hakuna kutoka saa 11 labda kwa shule zilizokua na shifti.Watoto wanaumia sana na hii ratiba hasa kwa mazingira ya shule zetu watoto wanafika majumbani saa mbili hadi saa tatu usiku ukiwauliza wanadai foleni mara daladala zinasumbua.
Hebu serikali mlione hili hata kama ndio kusoma hapana.
Mwendo ni uleule wa saa 11mbona kwa jiji la mwanza washarekebisha maana ratiba ile ya zamani imerudi toka wiki iliyopita. sasa hivi hakuna kutoka saa 11 labda kwa shule zilizokua na shifti.
Pole Sana!!Ila kuna waraka unaohusu ratiba walitoa.....vp hawajautekeleza??Mimi jumatatu ilopita nililia...bahat nzuri nilikua mjini jaman mwanangu akawa ni mdogo bas anasukumwa balaa na wanafunzi wa sekondari..nilijiskia huzuni. !kanafika kametepeta balaa! Yaan nna kibarua Cha kwenda kila siku mjini jion kumfata..arghhh inasumbua sana
Sijakuona..thanksPole Sana!!Ila kuna waraka unaohusu ratiba walitoa.....vp hawajautekeleza??