Hii kitu itawaumiza sana watoto,kuna mtoto mmoja 5yrs anaamshwa saa 11 asubuhi,gari inawapitia 11:30 alfajili na anarufi 12:00 jioni hadi huruma.Ndani ya hizi siku mtoto amedhoofika kabisa,Wazazi inatakiwa tuangalie hata shule za kupeleka watoto siyo mashindano tuu or school bus itamuacha mara Junio junio,,,Nikole nikole n.k kumbe tunaleta athari kubwa ubongoni mwa Watoto