Sio afungiwe ashauriwe tu awe na kiasi.
Pia historia ya huyo mwalimu ifuatiliwe hasa tabia zake baada ya kazi. Mienendo yake ichunguzwe maana ni nadra sana kijana wa kiume aliye lijari kukata mauno kitaalam namna hiyo.
Tusimhukumu kabla ya uchunguzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Nadhan asumani aliamka kbs[emoji2960][emoji2960]
hahahahahaIpo haja ya huyo Mwalimu kuelimishwa zaidi kwani hapo kazidi jamani.
Maana watoto wetu hawa si ajabu wakitoka hapo nao wanakaa pembeni kuitafuta kasi ya viuno vyao vizunguke kama cha Mwalimu. [emoji3]
Lakini huyo ni mwalim kweli? Amekatika kama juma lokole [emoji1787]
Tatizo watu wazima mmehusisha hayo mauno na mambo ya chumbani wakati mwenzenu anafundisha dance... shauri yenu!!!Oh my God!! Huyu kiumbe sidhani kama ni wakiume aliyekamilika!!
This is bizarre!! [emoji22]
Sasa na wewe Amu kwanini usione anakatika kama Fally Ipupa lakini unaona anakatika kama J wa Lokole?!Lakini huyo ni mwalim kweli? Amekatika kama juma lokole [emoji1787]
Fally ipupa anakatika kiume ujue hajilegezi kama huyu.Sasa na wewe Amu kwanini usione anakatika kama Fally Ipupa lakini unaona anakatika kama J wa Lokole?!
Mwalimu anafundisha sanaa jamani!! Kwanza si unaona na mwalimu mwenyewe ni katoto kenzao!!!
Nyie watu wazima mawazo yenu hapo ndo yanakiona chumba, wakati mwalimu na watoto wenzake hapo wanamuona Diamond!
Mimi nakataa kodi yangu haiimlipi mshahara huyu mtu.Mauno manunoo haswaaa..! Daaah kizazi hiki wanaume lijari tutabaki wachache sana. Hivi unapataje muda wa kukata uno lotee hilo ?? Mbn ni balaaa.
Wasi wasi wangu ni kwamba, huyu dogo atakuwa Chakula(Punga) kama sio punga basi anaelekea kuwa [emoji28][emoji28]
nimwendo wakupiga mavumba tu.Jamaa fundi sana. Kuna watu wana kazi mbili. Mchana ticha usiku dansa!.
Mimi nakataa kodi yangu haiimlipi mshahara huyu mtu.
Yaani kashika ukuta mwenyewe bila kushuriutishwa [emoji1787]
Kwa ukatikaji huu lazima atakuwa shoga.Labda ni mwalimu wa sanaa! Na hiyo huenda ipo kwenye muongoza wa somo lake, chunguza kwanza!!
Uno la kike kabisa hilo.Mmmh huyo teacher sio Gay kweli !??
Hahaa kwa kweliUno la kike kabisa hilo.
Adam Mchomvu angekuwa na mtoto anasoma hapo tungemtuma akafanye jambo kwa niaba yetu.
Hii comment yako imebidi nicheke tu...Sio afungiwe ashauriwe tu awe na kiasi.
Pia historia ya huyo mwalimu ifuatiliwe hasa tabia zake baada ya kazi. Mienendo yake ichunguzwe maana ni nadra sana kijana wa kiume aliye lijari kukata mauno kitaalam namna hiyo.
Tusimhukumu kabla ya uchunguzi.