Wizara ya Elimu mfungieni Mwalimu huyu. Anaharibu wanafunzi

Wizara ya Elimu mfungieni Mwalimu huyu. Anaharibu wanafunzi

Sio afungiwe ashauriwe tu awe na kiasi.

Pia historia ya huyo mwalimu ifuatiliwe hasa tabia zake baada ya kazi. Mienendo yake ichunguzwe maana ni nadra sana kijana wa kiume aliye lijari kukata mauno kitaalam namna hiyo.

Tusimhukumu kabla ya uchunguzi.

Naungana na wewe kabisa kwenye hili......
Mtoto wa kiume mauno hayo hadharani hivyo.......hapana kwa kweli.......
 
Hao n wale walimu wanaomalima form four na kwenda kujitolea sidhsni Kama kasomea ualimi huyo
 
Ipo haja ya huyo Mwalimu kuelimishwa zaidi kwani hapo kazidi jamani.

Maana watoto wetu hawa si ajabu wakitoka hapo nao wanakaa pembeni kuitafuta kasi ya viuno vyao vizunguke kama cha Mwalimu. [emoji3]
hahahahaha
 
Unajua nyie watu mliosoma agriculture mna taabu sana!!

Acha mwalimu acheze na watoto wenzake kwa sababu hawezi kuipata fursa kama hiyo mtaani!! Cha ajabu watoto wenyewe wanafurahi lakini unakuja kuumia wewe, aaaaaargh!!!
 
Lakini huyo ni mwalim kweli? Amekatika kama juma lokole [emoji1787]

Mauno manunoo haswaaa..! Daaah kizazi hiki wanaume lijari tutabaki wachache sana. Hivi unapataje muda wa kukata uno lotee hilo ?? Mbn ni balaaa.
Wasi wasi wangu ni kwamba, huyu dogo atakuwa Chakula(Punga) kama sio punga basi anaelekea kuwa [emoji28][emoji28]
 
  • Thanks
Reactions: amu
Lakini huyo ni mwalim kweli? Amekatika kama juma lokole [emoji1787]
Sasa na wewe Amu kwanini usione anakatika kama Fally Ipupa lakini unaona anakatika kama J wa Lokole?!

Mwalimu anafundisha sanaa jamani!! Kwanza si unaona na mwalimu mwenyewe ni katoto kenzao!!!

Nyie watu wazima mawazo yenu hapo ndo yanakiona chumba, wakati mwalimu na watoto wenzake hapo wanamuona Diamond!
 
Sasa na wewe Amu kwanini usione anakatika kama Fally Ipupa lakini unaona anakatika kama J wa Lokole?!

Mwalimu anafundisha sanaa jamani!! Kwanza si unaona na mwalimu mwenyewe ni katoto kenzao!!!

Nyie watu wazima mawazo yenu hapo ndo yanakiona chumba, wakati mwalimu na watoto wenzake hapo wanamuona Diamond!
Fally ipupa anakatika kiume ujue hajilegezi kama huyu.
 
Mauno manunoo haswaaa..! Daaah kizazi hiki wanaume lijari tutabaki wachache sana. Hivi unapataje muda wa kukata uno lotee hilo ?? Mbn ni balaaa.
Wasi wasi wangu ni kwamba, huyu dogo atakuwa Chakula(Punga) kama sio punga basi anaelekea kuwa [emoji28][emoji28]
Mimi nakataa kodi yangu haiimlipi mshahara huyu mtu.
Yaani kashika ukuta mwenyewe bila kushurutishwa [emoji1787]
 
Mimi nakataa kodi yangu haiimlipi mshahara huyu mtu.
Yaani kashika ukuta mwenyewe bila kushuriutishwa [emoji1787]

Hii video itakuwa ni ya Kenya au Uganda, Tanzania hatunaga maujinga jinga ya hivi
 
  • Thanks
Reactions: amu
Huyo ni mwalimu na anajua mbinu gani aitumie ili awavutie watoto kwenye somo lake.
Kwani video kama hii ni mara yako ya kwanza kuiona!?
 
Back
Top Bottom