kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,964
Mara nyingi mechi kubwa kama hizi utakuta ni channel moja tu inayorusha live zingine uki-tune unakutana na story zingine na kama huna king'amuz chao mpaka uende bat au vibanda umiza.
Wito wangu: Ili kukuza uzalendo kwa timu yetu ya taifa hasa kwa sisi wananchi wa mikoani ingependeza kama Chanel zote zingerusha mechi hizi za taifa star ikiwemo na TBC mpaka watoto wetu wangeanza kuzoea kuipenda Timu ya Taifa lao.
Wito wangu: Ili kukuza uzalendo kwa timu yetu ya taifa hasa kwa sisi wananchi wa mikoani ingependeza kama Chanel zote zingerusha mechi hizi za taifa star ikiwemo na TBC mpaka watoto wetu wangeanza kuzoea kuipenda Timu ya Taifa lao.