Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Wizara ya Katiba na sheria ni msimamizi wa majadiliano ,mikataba na maduala yote yanayohusu sheria. Kabudi alipokuwa Waziri alikuwa mshauri Mkuu wa mambo haya. Kutumbuliwa kwake means ameshindwa kutekeleza Wajibu wake.
Najiuliza, kazi mpya anayoyokwenda kufanya ataifanya bila kuelekezwa au kumshirikishikisha Waziri mwenye dhamana? Najiuliza kazi anayokwenda kuifanya atafanya bila shiriki ya Mwanasheria Mkuu? Kwamba Kabudi atakuwa na ofisi yake? Wasaidizi wake watakuwa wakina Nani?
Tukubali tu Kwamba wametumbuliwa na nafasi pekee waliyobaki nayo ni Ubunge Hadi pale ofisi zao zitakapotengenezewa muundo kama zikifunguliwa. Wanaungana na Mkuchika kukaa benchi siku ziende.
Mwisho najiuliza stahiki za hiyo ofisi zitapitishwa na Bunge au zitatokaje hazina? Au ni kazi isiyo na salary au marupurupu? Hapa CAG ataibuka na hoja huko tuendako, Haina tofauti na kununua ndege cash,. Fedha za umma lazima ziwe na utaratibu siyo zinatumika kwa fadhila.
Marekani pamoja na utajiri wao wote Rais akimteua mtu nje ya mfumo au akimpa kazi nje ya mfumo rasmi wa serikali lazima aeleze utaratibu wa malipo. Sisi kqetu na umasikini wetu hakuna anayetafsiri haya mambo . Tubadilike tuwe serious
Najiuliza, kazi mpya anayoyokwenda kufanya ataifanya bila kuelekezwa au kumshirikishikisha Waziri mwenye dhamana? Najiuliza kazi anayokwenda kuifanya atafanya bila shiriki ya Mwanasheria Mkuu? Kwamba Kabudi atakuwa na ofisi yake? Wasaidizi wake watakuwa wakina Nani?
Tukubali tu Kwamba wametumbuliwa na nafasi pekee waliyobaki nayo ni Ubunge Hadi pale ofisi zao zitakapotengenezewa muundo kama zikifunguliwa. Wanaungana na Mkuchika kukaa benchi siku ziende.
Mwisho najiuliza stahiki za hiyo ofisi zitapitishwa na Bunge au zitatokaje hazina? Au ni kazi isiyo na salary au marupurupu? Hapa CAG ataibuka na hoja huko tuendako, Haina tofauti na kununua ndege cash,. Fedha za umma lazima ziwe na utaratibu siyo zinatumika kwa fadhila.
Marekani pamoja na utajiri wao wote Rais akimteua mtu nje ya mfumo au akimpa kazi nje ya mfumo rasmi wa serikali lazima aeleze utaratibu wa malipo. Sisi kqetu na umasikini wetu hakuna anayetafsiri haya mambo . Tubadilike tuwe serious