Mswahili mpe pesa chochote kitapita uzalendo bado ni sifuri kwa wengiMpka linafika dubai na sasa lilipita wapi mamlaka husika zilikuwa wapiiiiiiii hadi wapate taaarifa mtandaonii🤔🤔🤔
Bro acha tu, unaweza kulia machozi....jiwe moja lina thamani ya bilioni 240, halafu sisi tuna maeneo yenye mawe mengi ya hivyo lakini hatuna madawati, hatuna vitabu, hatuna madawa kwenye hospital zetu, hatuna vifaa tiba n.k...UNAWEZA KULIA MACHOZI.Hivi kweli kabisaaa tunayo hayo ya kutosha tuu halafu wanafunzi wanakaa chini, Barabara hazipitiki, mmmh tujitafakari
Mwambie bibi yako afatilie rasilimali za taifa, muache kujificha kwenye mgongo wa Magufuli, Magufuli aliisha wahi kamata almasi zilizokuwa zikitoroshwa taifa zima tulishudia, kama liliibwa wakati wa Magufuli kwanini mnada utokee sasahivi baada ya mwaka kufa Magufuli?Hiyo ruby imetoroshwa kati ya 2016-19 wakati wa dikteta wa Chato ambaye alikuwa anajiamini kuwa analinda raslimali ya Taifa.
US mwenyewe drugs zinamshindaSmuggling ya gemstone, fuel, arms, illegal drugs na human trafficking ndiyo biashara zinazongoza kwa ukubwa duniani.
Kupambana na hizi ni kazi ngumu sana. You can win some and lose some
We naye kaibe maana hujazuiwa kuibaSerikali ya majizi ipo kazini.
Mabegi ya Rais hayakaguliwi popote pale, hivyo yawezekana ikawa kweliHuu upumbavu tu kujifanya eti hawajui lilifikaje huko.. wanaona watu wote ni misukule?? Hivi Chief Hangaya atangazwe burj Al Khalifa siku mbili nzima bure kweli??? Wanampenda sana au??? Unaweza kuta ule msafara wa EXPO DUBAI ndio uliondoka na huo mzigo...Za kuambiwa changanya na za kwako.
KumbeeHiyo ruby imetoroshwa kati ya 2016-19 wakati wa dikteta wa Chato ambaye alikuwa anajiamini kuwa analinda raslimali ya Taifa.
Plus usafirishaji wa wanyama na kwa yoyote anayetaka kufanikiwa hizi ndio dili za kufanya. Sio unakaa tu na umasikini hadi unakufa kizembe.Smuggling ya gemstone, fuel, arms, illegal drugs na human trafficking ndiyo biashara zinazongoza kwa ukubwa duniani.
Kupambana na hizi ni kazi ngumu sana. You can win some and lose some
Leo wa mbunge Mkinga, Dastan Kitandula ameuliza kuhusu jiwe la Tanzania linalipigwa Dubai Uarabuni. Naibu waziri wa madini amesema nao waliona mtandaoni na wanafatilia.
=====
Dansatan Kitandula: Mheshimiwa spika, jiwe la ruby lenye uzito wa kilo 2.8 lipo kwenye maonesho kwasasa Dubai na jiwe hili linasadikika linatoka Tanzania na kwamba siku chache zijazo kutakuwa na mnada wa kuuza jiwe hili. Je kama nchi tunanufaika vipi na mnada huo?
Naibu waziri wa Madini: Ni kweli mnamo tarehe 13 April mwaka huu wizara ya madini ilipata taarifa kupitia mitandao ya kijamii kwamba kuna jiwe la madini ya ruby lenye uzito wa kilo 2.8 na ambalo linadaiwa kuwa na thamani ya dola milioni 120 sawa na zaidi ya bilioni 240 ambalo limepewa jina la bald al hamal na ambalo linakwenda kuwekwa mnadani ndani ya siku 30 baada ya mfungo na jiwe hilo kudaiwa limetoka Tanzania.
Mara baada ya kupata habari hizi, wizara ya Maliasili imechukua hatua za haraka kutafuta kama habari ni za kweli na kama jiwe hili limetoka Tanzania na kwasababu jiwe hili limeshavuka mipaka lipo kwenye nchi nyingine.
Taarifa hizi sasa ambazo tunazikusanya zinahusisha nchi za Dubai na tayari tunafanya mawasiliano na ubalozi wetu kufuatilia ukweli, pia tumebaini mmiliki wa sasa wa jiwe hilo yuko nchini Marekani na mawasiliano naye tumeshafanya tangu jana.
Tutapopata nyaraka za usafirishaji kama kweli limetoka Tanzania, thamani na asili, nyaraka za mauzo tutaleta taarifa bungeni na kama ni la kwetu niwahakikishie watanzania haki yao haitapotea.
Pia, soma=> Ruby yenye thamani ya bil 276 ilisafirishwa kimagendo huko Dubai? Serikali haina taarifa ilifikaje
=> Mali yetu inauzwa mnada wa Dubai Madini ya Ruby
View attachment 2195200
Hiyo ruby imetoroshwa kati ya 2016-19 wakati wa dikteta wa Chato ambaye alikuwa anajiamini kuwa analinda raslimali ya Taif
Source?Hiyo ruby imetoroshwa kati ya 2016-19 wakati wa dikteta wa Chato ambaye alikuwa anajiamini kuwa analinda raslimali ya Taifa.
Acha upumbavu!Hiyo ruby imetoroshwa kati ya 2016-19 wakati wa dikteta wa Chato ambaye alikuwa anajiamini kuwa analinda raslimali ya Taifa.
Tukubali tumeshapigwa ... Haya mengine ni drama tupu..Leo wa mbunge Mkinga, Dastan Kitandula ameuliza kuhusu jiwe la Tanzania linalipigwa Dubai Uarabuni. Naibu waziri wa madini amesema nao waliona mtandaoni na wanafatilia.
=====
Dansatan Kitandula: Mheshimiwa spika, jiwe la ruby lenye uzito wa kilo 2.8 lipo kwenye maonesho kwasasa Dubai na jiwe hili linasadikika linatoka Tanzania na kwamba siku chache zijazo kutakuwa na mnada wa kuuza jiwe hili. Je kama nchi tunanufaika vipi na mnada huo?
Naibu waziri wa Madini: Ni kweli mnamo tarehe 13 April mwaka huu wizara ya madini ilipata taarifa kupitia mitandao ya kijamii kwamba kuna jiwe la madini ya ruby lenye uzito wa kilo 2.8 na ambalo linadaiwa kuwa na thamani ya dola milioni 120 sawa na zaidi ya bilioni 240 ambalo limepewa jina la bald al hamal na ambalo linakwenda kuwekwa mnadani ndani ya siku 30 baada ya mfungo na jiwe hilo kudaiwa limetoka Tanzania.
Mara baada ya kupata habari hizi, wizara ya Maliasili imechukua hatua za haraka kutafuta kama habari ni za kweli na kama jiwe hili limetoka Tanzania na kwasababu jiwe hili limeshavuka mipaka lipo kwenye nchi nyingine.
Taarifa hizi sasa ambazo tunazikusanya zinahusisha nchi za Dubai na tayari tunafanya mawasiliano na ubalozi wetu kufuatilia ukweli, pia tumebaini mmiliki wa sasa wa jiwe hilo yuko nchini Marekani na mawasiliano naye tumeshafanya tangu jana.
Tutapopata nyaraka za usafirishaji kama kweli limetoka Tanzania, thamani na asili, nyaraka za mauzo tutaleta taarifa bungeni na kama ni la kwetu niwahakikishie watanzania haki yao haitapotea.
Pia, soma=> Ruby yenye thamani ya bil 276 ilisafirishwa kimagendo huko Dubai? Serikali haina taarifa ilifikaje
=> Mali yetu inauzwa mnada wa Dubai Madini ya Ruby
View attachment 2195200
Tani mbili unaijua ilivyo.maana kama wewe unajua hilo jiwe lipo sidhani kama serikali haijui.Na hao wageni sio kwamba wanaiba bsli wanachukua kwasababu tunawapa wenyewe.Ruby kilo 2 kitu gani, serikali ifatilie lipo jiwe lina tani 2 Mahenge lipo chini ya ardhi kilometers 3 taarifa zake zipo Mahenge wafatilie lina geological report,plus picha ya scanner iliyopigwa chini huko eneo la tukio, kuna kampuni ya USA ilitaka kulitoa Magufuli akawa ameingia wakashindwa.
Sasa ni Shamba la bibi watalitoa. Kama kilo 2 bilioni 246 vipi tani 2 ni tilioni ngapi. Mimi sioni mantiki ya serikali kukamua kodi watza masikini hali madini yamejaa KILA wilaya yanaibwa na wageni huku yakipita mipakani, maana mswahili aachi pesa.
Madini yapo mengi hata zaidi ya hayo sema sisi ni walinzi lakini si wamiliki wa raslimali zetu. Madini yote duniani yanamilikiwa na familia ya De beers family. Google Debeers family. Hii ndo hupanga thamani na bei ya madini yote duniani.Tani mbili unaijua ilivyo.maana kama wewe unajua hilo jiwe lipo sidhani kama serikali haijui.Na hao wageni sio kwamba wanaiba bsli wanachukua kwasababu tunawapa wenyewe.
OkLeo wa mbunge Mkinga, Dastan Kitandula ameuliza kuhusu jiwe la Tanzania linalipigwa Dubai Uarabuni. Naibu waziri wa madini amesema nao waliona mtandaoni na wanafatilia.
=====
Dansatan Kitandula: Mheshimiwa spika, jiwe la ruby lenye uzito wa kilo 2.8 lipo kwenye maonesho kwasasa Dubai na jiwe hili linasadikika linatoka Tanzania na kwamba siku chache zijazo kutakuwa na mnada wa kuuza jiwe hili. Je kama nchi tunanufaika vipi na mnada huo?
Naibu waziri wa Madini: Ni kweli mnamo tarehe 13 April mwaka huu wizara ya madini ilipata taarifa kupitia mitandao ya kijamii kwamba kuna jiwe la madini ya ruby lenye uzito wa kilo 2.8 na ambalo linadaiwa kuwa na thamani ya dola milioni 120 sawa na zaidi ya bilioni 240 ambalo limepewa jina la bald al hamal na ambalo linakwenda kuwekwa mnadani ndani ya siku 30 baada ya mfungo na jiwe hilo kudaiwa limetoka Tanzania.
Mara baada ya kupata habari hizi, wizara ya Maliasili imechukua hatua za haraka kutafuta kama habari ni za kweli na kama jiwe hili limetoka Tanzania na kwasababu jiwe hili limeshavuka mipaka lipo kwenye nchi nyingine.
Taarifa hizi sasa ambazo tunazikusanya zinahusisha nchi za Dubai na tayari tunafanya mawasiliano na ubalozi wetu kufuatilia ukweli, pia tumebaini mmiliki wa sasa wa jiwe hilo yuko nchini Marekani na mawasiliano naye tumeshafanya tangu jana.
Tutapopata nyaraka za usafirishaji kama kweli limetoka Tanzania, thamani na asili, nyaraka za mauzo tutaleta taarifa bungeni na kama ni la kwetu niwahakikishie watanzania haki yao haitapotea.
Pia, soma=> Ruby yenye thamani ya bil 276 ilisafirishwa kimagendo huko Dubai? Serikali haina taarifa ilifikaje
=> Mali yetu inauzwa mnada wa Dubai Madini ya Ruby
View attachment 2195200