Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Ruby kilo 2 kitu gani, serikali ifatilie lipo jiwe lina tani 2 Mahenge lipo chini ya ardhi kilometers 3 taarifa zake zipo Mahenge wafatilie lina geological report,plus picha ya scanner iliyopigwa chini huko eneo la tukio, kuna kampuni ya USA ilitaka kulitoa Magufuli akawa ameingia wakashindwa.
Sasa ni Shamba la bibi watalitoa. Kama kilo 2 bilioni 246 vipi tani 2 ni tilioni ngapi. Mimi sioni mantiki ya serikali kukamua kodi watza masikini hali madini yamejaa KILA wilaya yanaibwa na wageni huku yakipita mipakani, maana mswahili aachi pesa.
Sasa ni Shamba la bibi watalitoa. Kama kilo 2 bilioni 246 vipi tani 2 ni tilioni ngapi. Mimi sioni mantiki ya serikali kukamua kodi watza masikini hali madini yamejaa KILA wilaya yanaibwa na wageni huku yakipita mipakani, maana mswahili aachi pesa.