Wizara ya Madini imesema inafuatilia jiwe la bilioni 240 linalopigwa mnada Dubai, yasema ilipata taarifa mtandaoni

True simama na kile nyota yako au kipawa chako kinasemaje na moyo wako.
KILA mmoja kuna field yake ndo itakuja mtoa, ushahidi unaweza hangaika sana na Kazi nyingi ikaja kukutoa moja wapo ukasema ningejua toka mwanzo ningekuwa mbali.
 
True simama na kile nyota yako au kipawa chako kinasemaje na moyo wako.
KILA mmoja kuna field yake ndo itakuja mtoa, ushahidi unaweza hangaika sana na Kazi nyingi ikaja kukutoa moja wapo ukasema ningejua toka mwanzo ningekuwa mbali.

Kweli maisha na kifo ni fumbo hujui kesho itakuwaje ila tunajitahidi tu na kujaribu mengi
Labda siku moja nikapata mzoefu na muaminifu nikajaribu you never know na ndio ikniongezea kipato changu
Asante kwa kuwapa moyo na wengine
 
True simama na kile nyota yako au kipawa chako kinasemaje na moyo wako.
KILA mmoja kuna field yake ndo itakuja mtoa, ushahidi unaweza hangaika sana na Kazi nyingi ikaja kukutoa moja wapo ukasema ningejua toka mwanzo ningekuwa mbali.
Mawe ya pisi inataka akili nyingi na utulivu
Ukienda kichwakichwa unakata mtaji wote
Acha nkomae na semi precious tu haha
Pisi labda itoke zali lakini syo kuitolea macho

Ova
 
Dhahabu uki master rahs

Kwanza unauza wakt wwt

Dhahabu haina sjui kreki,inclusion etc

Haha

Bei,soko like open

Sema utapeli upo

Ova
 
Dhahabu uki master rahs

Kwanza unauza wakt wwt

Dhahabu haina sjui kreki,inclusion etc

Haha

Bei,soko like open

Sema utapeli upo

Ova
Kuna mashine fulani hivi nataka niziingize kabla ya wachina hawajaanza kula dhahabu kwenye mito yetu, hizi flyboat pamoja na mwalo wake kwa siku unaweza chekecha mchanga tani 150 kwa masaa 16 SAwa na lori tano, hizi unaweka mtoni haziharibu mazingira zinapump mchanga wenye dhahabu toka majini kupandisha juu kwenye chekeche linalonasa dhahabu pekee kisha mchanga unarudishwa majini so we unatembea na mto wakati maji yamepungua hii kwa ajili ya dhahabu za vikole pekee. Kuna Mchina aliwahi leta moia mto lupa akatimuliwa. Wenye kujua nchi hii Ina mali ni wachina. Tuendelee kubakia mjini tukilalamika maisha magumu.





 
Safi sana

Ova
 
We mtu potential kwangu

Naona tunaweza fanya kitu

Ova
 
Iko kma sluice machine hii

Ova
 
Dhahabu uki master rahs

Kwanza unauza wakt wwt

Dhahabu haina sjui kreki,inclusion etc

Haha

Bei,soko like open

Sema utapeli upo

Ova

Hapo kwenye dhahabu afadhali kuliko hayo mawe ndio mziki
Yaani huwa naona mtu anaweka picha na kuuliza haya Madini gani
Atapondwa hapo na kuambiwa hakuna kitu hapo huku wanamuambia njoo PM [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dhahabu uki master rahs

Kwanza unauza wakt wwt

Dhahabu haina sjui kreki,inclusion etc

Haha

Bei,soko like open

Sema utapeli upo

Ova

Nimeona hizi gold nikakumbuka uzi huu
Hapa ni Costco 500gram 74m
 
Jiwe lenyewe Mbona halina thamani ya hiyo pesa Kwa tunaojua mawe alonunua itakua kapigwaaa mbaya hilo jiwe hata 50M tu halifiki kulinunua Tanzania nahisi alieuziwa hapa alipigwa hajui kitu masikini ..
Serikali nayo wameingizwa kingi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] labda kama kuna jiwe jingine lakini kwa lile lililoonyweshwa Hapana milioni 5 tu ukilinunua bd utakua umelipa sana sana Sielewi ma value wa serikali sijui wanaogopa nao sbb Ndio vitu vishasambazo wanaogopa kusema ukweli maana wote wanaotoa povu hawana hata wanalojua kuhusu hii biashara ya mawe..
Watu tunaojua hii biashara wote tunaona ni vitu [emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni ngumu sana kuwapata wahusika, hiyo issue inahusisha pesa nyingi sana...

Hamna kitu halo alonunua kapigwaa hilo jiwe halina thamani hiyo serikali nayo sijui imefeli wapi [emoji1787]
 
mtanikumbuka. R.I.P MAGUFULI WAPIGAJI NDO WANAONGOZA TZ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…