Wizara ya Madini imesema inafuatilia jiwe la bilioni 240 linalopigwa mnada Dubai, yasema ilipata taarifa mtandaoni

Wizara ya Madini imesema inafuatilia jiwe la bilioni 240 linalopigwa mnada Dubai, yasema ilipata taarifa mtandaoni

Mswahili mpe pesa chochote kitapita uzalendo bado ni sifuri kwa wengi
Issue siyo uzalendo tu

Swali huyo mwenye kulipata anafaidika vipi?

Unajuwa mchimbaji/mkulima anaweza kupata jiwe asilijue thamani yake sasa kama mchimbaji smart anaweza mtafuta broker ,na broker akiwa smart muelewa hapo wanaweza kulipiga hilo jiwe kwa bei ya juu

Kingine anaweza nunua jiwe mln 10,huyo akaenda liuza sehem mln 30,wa 30 akaenda liuza mln 60
So ni game hiyo inavyokuwa

Ova
 
Bro acha tu, unaweza kulia machozi....jiwe moja lina thamani ya bilioni 240, halafu sisi tuna maeneo yenye mawe mengi ya hivyo lakini hatuna madawati, hatuna vitabu, hatuna madawa kwenye hospital zetu, hatuna vifaa tiba n.k...UNAWEZA KULIA MACHOZI.
Sehemu za kutoka madina ndiyo zilivyo kuanzia tunduru, mahenge,matombo,winza mpwapwa
Etc

Ova
 
Jiwe hilo hapo
 
Citizen wamesha peleleza jiwe lilitoka Tanzabia 2007. Limechimbwa Winza Mpwapwa na lienda kuuzwa USA na kampuni binafsi ya uchimbaji. Mmiliki wa sasa kasema likiuzwa Tanzania itapata mgao wake kupitia serikali ikafanye maendeleo kwa watu wake

Inawezekana anawapambe wake hapa jF niliposema uangaliwe uwezekano ishirikiswe FBI au Scotland Yard kujua mbivu na mbichi kakubali yaishe.
 
Huwa mnapapatikia sana wazungu
Yaani anakuja na private jet kwenye mbuga akiwa kabeba makamera eti kaja kupiga picha kumbe mwizi

Mswahili anabeba mabegi hajui kuna nini ndani eti Potter
Mzee hii ni game
Wote mnacheza

Ova
 
Nchi inayotoa ruby ya bilioni 240 inasubiri pesa za msaada wa Uviko kujenga vyoo vya shule na vyumba vya madarasa.
Haya mambo hYajaanza leo
Sehemu za madina
Cc:tunduru

Wabongo ndiyo tunawaambiaaa
Waingie field nao wachangamke

Ova
 
Nilikua ninawacheka Congo kuwa pamoja na utajiri wa madini walionao bado wana low literacy level, high mortality rate. Kumbe tunasafiri nao katika boat moja.
Sehem zote za madina ndiyo zilivyo
Huu ni mchezo akili kumkichwa

Ova
 
No not me
I wish
Ungekuwa kwenye hii field ndiyo ungenielewa
Ukienda mozambiq, madagascar Kote hali hiyo hiyo
Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake,
Maeneo yanatowa vitu vya mamilion lakini mazingira ya huko yanakuwa poor

Mfano tu hiyo winza ilipofumuka si kulikuwa pori,watu wanaoenda huko sasa ndiyo wanapeleka maendeleo

Hiyo tunduru tu miaka ya 90 kulifumuka kulijaa kila Aina ya wageni
Yalipatikana madin ya thamani kuliko hata ruby,watu walichimba had kuhatarisha mazingira
Maana watu walikuwa wanapiga mawe had kwenye mito, mto unahamishwa watu wanapiga kazi
Leo hii tunduru unaisikiaaa

Mpaka alikujaga wazir william shija akafunga shuguli huko
Maana watu walikwalaaa haswa

Serikali cha kufanya wao wangalie wao wanapata nini!
Na kwa wanaojishugulisha na madina nao wajitambueee wajielewe wauze kitu kutokana na thamani yake
Wasikurupuke

Huu nimchezo tu,mnagawana fedha


Ova
 
Issue siyo uzalendo tu

Swali huyo mwenye kulipata anafaidika vipi?

Unajuwa mchimbaji/mkulima anaweza kupata jiwe asilijue thamani yake sasa kama mchimbaji smart anaweza mtafuta broker ,na broker akiwa smart muelewa hapo wanaweza kulipiga hilo jiwe kwa bei ya juu

Kingine anaweza nunua jiwe mln 10,huyo akaenda liuza sehem mln 30,wa 30 akaenda liuza mln 60
So ni game hiyo inavyokuwa

Ova
Yes , wachimbaji wengi awajui thamani ya mawe.Kuna mmoja aliuza milioni 2 aliyenunua milioni 2 akaenda uza bilioni 26.Ndo game ya ilivyo.
Kuna dogo aliiba gram tatu kwenye eneo letu kaenda uza laki 3, aliyenunua laki tatu kaenda uza milioni 70.
 
Yes , wachimbaji wengi awajui thamani ya mawe.Kuna mmoja aliuza milioni 2 aliyenunua milioni 2 akaenda uza bilioni 26.Ndo game ya ilivyo.
Kuna dogo aliiba gram tatu kwenye eneo letu kaenda uza laki 3, aliyenunua laki tatu kaenda uza milioni 70.
Ndiyo game yenyew nnayo isema
Hiyo
Kikubwa mchimbaj anatakiwa ajielewe au amshirikishe broker
Anayejitambua,angalau akiuza apige pesa ndefu

Ova
 
Yes , wachimbaji wengi awajui thamani ya mawe.Kuna mmoja aliuza milioni 2 aliyenunua milioni 2 akaenda uza bilioni 26.Ndo game ya ilivyo.
Kuna dogo aliiba gram tatu kwenye eneo letu kaenda uza laki 3, aliyenunua laki tatu kaenda uza milioni 70.
Uko mahenge nn

Ova
 
Ndiyo game yenyew nnayo isema
Hiyo
Kikubwa mchimbaj anatakiwa ajielewe au amshirikishe broker
Anayejitambua,angalau akiuza apige pesa ndefu

Ova
Mchimbaji apollo hawezi kuwa tajiri hata siku moja anasota miaka analala kwenye turubai akipata anahamia guest kuukimbizana na sketi na chupa,kesho akiamini atapata zikisha anarudi kwenye turubai,mara paap uzee huu hapa.
 
Mchimbaji apollo hawezi kuwa tajiri hata siku moja anasota miaka analala kwenye turubai akipata anahamia guest kuukimbizana na sketi na chupa,kesho akiamini atapata zikisha anarudi kwenye turubai,mara paap uzee huu hapa.
Teh teh kwelu kabisa

Huu mchezo una viroja

Leo Ana mln 400 kesho 0

Ova
 
Back
Top Bottom