Wizara ya Madini imesema inafuatilia jiwe la bilioni 240 linalopigwa mnada Dubai, yasema ilipata taarifa mtandaoni

Wizara ya Madini imesema inafuatilia jiwe la bilioni 240 linalopigwa mnada Dubai, yasema ilipata taarifa mtandaoni

Teh teh kwelu kabisa

Huu mchezo una viroja

Leo Ana mln 400 kesho 0

Ova
Kwenye madini kulala masikini kuamka bilionea ni dakika.
Uwe na compressor, na scanner madini yamejaa tele tu nguvu yako tu
 
Maspana yupo ajaacha mambo yake bado
tu
Namjuw vzr,ananijua vzr

Hawez kuacha huyo iko kwa

Dam yk

Waambie vijana baana waache kukaa mijini wasibakie kusema oh tunaibiwa
Tunapigwaaa,na waoo waingie field
Tu Hahaha

Ova
 
... tulipata taarifa "kupitia mitandao ya kijamii". Mbona yule mwehu alitamani ifungiwe?
Hahahhahaha eti yule mwehu alitamani kuifungia mitandao. Ili aweze kuua na kuiba vizuri shetani yule.
 
Namjuw vzr,ananijua vzr

Hawez kuacha huyo iko kwa

Dam yk

Waambie vijana baana waache kukaa mijini wasibakie kusema oh tunaibiwa
Tunapigwaaa,na waoo waingie field
Tu Hahaha

Ova
Nawaambia KILA siku pesa zipo porini unga wako dagaa Chepe na sululu nguvu yako tu usipotajirika Tanzania huwezi tajirika popote,KILA kitu bure fursa tele
 
Nawaambia KILA siku pesa zipo porini unga wako dagaa Chepe na sululu nguvu yako tu usipotajirika Tanzania huwezi tajirika popote,KILA kitu bure fursa tele
Ukipata cabochon high tufahamishane mkuu
Si unajua wengine tunacheza na line za wahindi jaipur,hongkong idea

Ova
 
Nawaambia KILA siku pesa zipo porini unga wako dagaa Chepe na sululu nguvu yako tu usipotajirika Tanzania huwezi tajirika popote,KILA kitu bure fursa tele
Kabisa

Utabakia kulalamika unapigwa unapigwa na wee nenda kapige huko
Sema ujiongez

Ova
 
Ungekuwa kwenye hii field ndiyo ungenielewa
Ukienda mozambiq, madagascar Kote hali hiyo hiyo
Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake,
Maeneo yanatowa vitu vya mamilion lakini mazingira ya huko yanakuwa poor

Mfano tu hiyo winza ilipofumuka si kulikuwa pori,watu wanaoenda huko sasa ndiyo wanapeleka maendeleo

Hiyo tunduru tu miaka ya 90 kulifumuka kulijaa kila Aina ya wageni
Yalipatikana madin ya thamani kuliko hata ruby,watu walichimba had kuhatarisha mazingira
Maana watu walikuwa wanapiga mawe had kwenye mito, mto unahamishwa watu wanapiga kazi
Leo hii tunduru unaisikiaaa

Mpaka alikujaga wazir william shija akafunga shuguli huko
Maana watu walikwalaaa haswa

Serikali cha kufanya wao wangalie wao wanapata nini!
Na kwa wanaojishugulisha na madina nao wajitambueee wajielewe wauze kitu kutokana na thamani yake
Wasikurupuke

Huu nimchezo tu,mnagawana fedha


Ova

Na Kweli siko kwenye hii field Mkuu
Huwa nasoma tu hata sina marafiki wanaouza au kunishawishi hii biashara
Kuna watu wamefaidi sana na biashara hii ila mimi siko kabisa huko
Ila Asante kwa kunifungua
Huwa naona kama utapeli ni mwingi kuliko uhalisia maana kuuziwa chupa ni jambo la kawaida [emoji848]
 
Enzi za Madigala..

Tunduru bado wanapiga ruby kimya kimya.. Madini bado yapo sana kule..
Ungekuwa kwenye hii field ndiyo ungenielewa
Ukienda mozambiq, madagascar Kote hali hiyo hiyo
Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake,
Maeneo yanatowa vitu vya mamilion lakini mazingira ya huko yanakuwa poor

Mfano tu hiyo winza ilipofumuka si kulikuwa pori,watu wanaoenda huko sasa ndiyo wanapeleka maendeleo

Hiyo tunduru tu miaka ya 90 kulifumuka kulijaa kila Aina ya wageni
Yalipatikana madin ya thamani kuliko hata ruby,watu walichimba had kuhatarisha mazingira
Maana watu walikuwa wanapiga mawe had kwenye mito, mto unahamishwa watu wanapiga kazi
Leo hii tunduru unaisikiaaa

Mpaka alikujaga wazir william shija akafunga shuguli huko
Maana watu walikwalaaa haswa

Serikali cha kufanya wao wangalie wao wanapata nini!
Na kwa wanaojishugulisha na madina nao wajitambueee wajielewe wauze kitu kutokana na thamani yake
Wasikurupuke

Huu nimchezo tu,mnagawana fedha


Ova
 
Na Kweli siko kwenye hii field Mkuu
Huwa nasoma tu hata sina marafiki wanaouza au kunishawishi hii biashara
Kuna watu wamefaidi sana na biashara hii ila mimi siko kabisa huko
Ila Asante kwa kunifungua
Huwa naona kama utapeli ni mwingi kuliko uhalisia maana kuuziwa chupa ni jambo la kawaida [emoji848]
Hahahaha

Utapeli uko kila mahali

Huku ndiko kwenyewe

Kuna wanaopata na kufilisika kabisa

Ila ndiyo game yenyewe!

Hii biashara inakwenda kwenye mzunguko,hata huko dubai likiuzwa
Akataye nunua naye ataenda liuza mahali haha

Umenipata naona

Ova
 
usalama wa taifa wapo tu wanatafuna kodi zetu.kazi yao ni kututisha 'unajua mi ni nani,
[emoji23][emoji23] Hamna kitu wale ujinga mtupu!

Mpaka Rais wetu mzalendo Magufuli ameuwawa kwenye mikono yao lakini wapo tu!

Sijui huwa wanafanya kazi gani tofauti na kutrack namba za simu!
 
Hahahaha

Utapeli uko kila mahali

Huku ndiko kwenyewe

Kuna wanaopata na kufilisika kabisa

Ila ndiyo game yenyewe!

Hii biashara inakwenda kwenye mzunguko,hata huko dubai likiuzwa
Akataye nunua naye ataenda liuza mahali haha

Umenipata naona

Ova

Nimekupata vizuri sana
Ila ni biashara kichaa
Hakuna kitu naogopa kama kununua kitu na sina ujuzi nacho Hapana kabisa
Halafu sio hela ndogo unaingiza kama ndizi [emoji23]
 
Tutawatambua mawaziri kwa kuangalia idara zao. Wizara husika ipo tu kazi kumpondea maliemu. Hapo wangesema lilitoroshwa kipindi cha maliemu hahaha. Tuendelee na matamko tu.
 
Na Kweli siko kwenye hii field Mkuu
Huwa nasoma tu hata sina marafiki wanaouza au kunishawishi hii biashara
Kuna watu wamefaidi sana na biashara hii ila mimi siko kabisa huko
Ila Asante kwa kunifungua
Huwa naona kama utapeli ni mwingi kuliko uhalisia maana kuuziwa chupa ni jambo la kawaida [emoji848]
Ukiingia kichwani utarudi kwenu kwa msaada wa gari la msiba. Mtaji wa madini unatoka kwenye madini hata uje milioni 50 zinakata zote, ukitaka kuanza anza na dhahabu au madini ya makilo kilo Ili uijue industry.
 
Ukiingia kichwani utarudi kwenu kwa msaada wa gari la msiba. Mtaji wa madini unatoka kwenye madini hata uje milioni 50 zinakata zote, ukitaka kuanza anza na dhahabu au madini ya makilo kilo Ili uijue industry.

Na siingii ng’o
Kila mmoja anafanya anachojua au kwa mapenzi tu na kutafuta maisha
Ila mimi hata hapo kwenye dhahabu napaogopa
Dhahabu zamani nilikuwa nanunua kwa sonara na kuweka kama akiba na kila wakati najiwekea na baada ya miaka nauza
Ila sio kama mnunuzi kama biashara

Hiyo nawachia nyie wenye uzoefu
 
Back
Top Bottom