mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Duh msalimie maspana hukoHuku tunacheza na Pink,blue,red karibu lukande,
Ntakuja tena huko mbn kwangu huko
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh msalimie maspana hukoHuku tunacheza na Pink,blue,red karibu lukande,
Kwenye madini kulala masikini kuamka bilionea ni dakika.Teh teh kwelu kabisa
Huu mchezo una viroja
Leo Ana mln 400 kesho 0
Ova
Maspana yupo ajaacha mambo yake badoDuh msalimie maspana huko
Ntakuja tena huko mbn kwangu huko
Ova
Namjuw vzr,ananijua vzrMaspana yupo ajaacha mambo yake bado
tu
Hahahhahaha eti yule mwehu alitamani kuifungia mitandao. Ili aweze kuua na kuiba vizuri shetani yule.... tulipata taarifa "kupitia mitandao ya kijamii". Mbona yule mwehu alitamani ifungiwe?
Sahv nacheza na makilokilo tuHuku tunacheza na Pink,blue,red karibu lukande,
Nawaambia KILA siku pesa zipo porini unga wako dagaa Chepe na sululu nguvu yako tu usipotajirika Tanzania huwezi tajirika popote,KILA kitu bure fursa teleNamjuw vzr,ananijua vzr
Hawez kuacha huyo iko kwa
Dam yk
Waambie vijana baana waache kukaa mijini wasibakie kusema oh tunaibiwa
Tunapigwaaa,na waoo waingie field
Tu Hahaha
Ova
Mdogo Mdogo ukiwa na nia,siri ya utajiri ni kuwa mbishi kukomaa tuSahv nacheza na makilokilo tu
Hizo nlichemka mzee
Haha
Ova
Ukipata cabochon high tufahamishane mkuuNawaambia KILA siku pesa zipo porini unga wako dagaa Chepe na sululu nguvu yako tu usipotajirika Tanzania huwezi tajirika popote,KILA kitu bure fursa tele
KabisaNawaambia KILA siku pesa zipo porini unga wako dagaa Chepe na sululu nguvu yako tu usipotajirika Tanzania huwezi tajirika popote,KILA kitu bure fursa tele
Ungekuwa kwenye hii field ndiyo ungenielewa
Ukienda mozambiq, madagascar Kote hali hiyo hiyo
Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake,
Maeneo yanatowa vitu vya mamilion lakini mazingira ya huko yanakuwa poor
Mfano tu hiyo winza ilipofumuka si kulikuwa pori,watu wanaoenda huko sasa ndiyo wanapeleka maendeleo
Hiyo tunduru tu miaka ya 90 kulifumuka kulijaa kila Aina ya wageni
Yalipatikana madin ya thamani kuliko hata ruby,watu walichimba had kuhatarisha mazingira
Maana watu walikuwa wanapiga mawe had kwenye mito, mto unahamishwa watu wanapiga kazi
Leo hii tunduru unaisikiaaa
Mpaka alikujaga wazir william shija akafunga shuguli huko
Maana watu walikwalaaa haswa
Serikali cha kufanya wao wangalie wao wanapata nini!
Na kwa wanaojishugulisha na madina nao wajitambueee wajielewe wauze kitu kutokana na thamani yake
Wasikurupuke
Huu nimchezo tu,mnagawana fedha
Ova
Ungekuwa kwenye hii field ndiyo ungenielewa
Ukienda mozambiq, madagascar Kote hali hiyo hiyo
Kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake,
Maeneo yanatowa vitu vya mamilion lakini mazingira ya huko yanakuwa poor
Mfano tu hiyo winza ilipofumuka si kulikuwa pori,watu wanaoenda huko sasa ndiyo wanapeleka maendeleo
Hiyo tunduru tu miaka ya 90 kulifumuka kulijaa kila Aina ya wageni
Yalipatikana madin ya thamani kuliko hata ruby,watu walichimba had kuhatarisha mazingira
Maana watu walikuwa wanapiga mawe had kwenye mito, mto unahamishwa watu wanapiga kazi
Leo hii tunduru unaisikiaaa
Mpaka alikujaga wazir william shija akafunga shuguli huko
Maana watu walikwalaaa haswa
Serikali cha kufanya wao wangalie wao wanapata nini!
Na kwa wanaojishugulisha na madina nao wajitambueee wajielewe wauze kitu kutokana na thamani yake
Wasikurupuke
Huu nimchezo tu,mnagawana fedha
Ova
HahahahaNa Kweli siko kwenye hii field Mkuu
Huwa nasoma tu hata sina marafiki wanaouza au kunishawishi hii biashara
Kuna watu wamefaidi sana na biashara hii ila mimi siko kabisa huko
Ila Asante kwa kunifungua
Huwa naona kama utapeli ni mwingi kuliko uhalisia maana kuuziwa chupa ni jambo la kawaida [emoji848]
[emoji23][emoji23] Hamna kitu wale ujinga mtupu!usalama wa taifa wapo tu wanatafuna kodi zetu.kazi yao ni kututisha 'unajua mi ni nani,
Hahahaha
Utapeli uko kila mahali
Huku ndiko kwenyewe
Kuna wanaopata na kufilisika kabisa
Ila ndiyo game yenyewe!
Hii biashara inakwenda kwenye mzunguko,hata huko dubai likiuzwa
Akataye nunua naye ataenda liuza mahali haha
Umenipata naona
Ova
Ukiingia kichwani utarudi kwenu kwa msaada wa gari la msiba. Mtaji wa madini unatoka kwenye madini hata uje milioni 50 zinakata zote, ukitaka kuanza anza na dhahabu au madini ya makilo kilo Ili uijue industry.Na Kweli siko kwenye hii field Mkuu
Huwa nasoma tu hata sina marafiki wanaouza au kunishawishi hii biashara
Kuna watu wamefaidi sana na biashara hii ila mimi siko kabisa huko
Ila Asante kwa kunifungua
Huwa naona kama utapeli ni mwingi kuliko uhalisia maana kuuziwa chupa ni jambo la kawaida [emoji848]
Ukiingia kichwani utarudi kwenu kwa msaada wa gari la msiba. Mtaji wa madini unatoka kwenye madini hata uje milioni 50 zinakata zote, ukitaka kuanza anza na dhahabu au madini ya makilo kilo Ili uijue industry.