Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,885
HAYA ANAYOONGEA HUYU MBUNGE YANA UKWELI?
Na Thadei Ole Mushi
Mbunge wa Chadema Catherine Ruge amesema kuwa wizara ya maliasili na utalii imetumia bilion 2.5 kuanzisha televesheni ya Urithi Festival. Kwa madai ya Mbunge huyu Ni kuwa Chanel hiyo pesa yake haikupitishwa na bunge.....
Kama ni kweli nimesikitika sana, sio kwa sababu ni kitu kibaya au Sio kwa sababu budget yake haikupitishwa na Bunge Bali nimechukia kwa sababu tayari TBC Wana Safari Chanel hii nyingine ni ya nn? Mbona tunashindwa ku link Mambo madogo hivi? Tofauti ya Chanel hizi mbili ni Nini?
Anyway tuachane na hiyo Issue....
Bunge linaloendelea kwa Sasa wabunge baadhi wa CCM wameonekana wakiaga kabisa Bungeni kuwa wanaweza wasirudi tena Bungeni.
Kuna kipindi niliandika kuwa CCM ni wakati wa kumsaidia Rais kupata wabunge wazuri na akili kubwa ili wakamsaidie kazi vizuri. Nilionyesha jinsi ilivyokuwa ngumu kuunda Baraza la mawaziri hadi ikabidi Rais atafute njee ya wabunge wa kuchaguliwa, tuliona jinsi ambavyo amekua akiwatumbua kila kukicha nk.
Hii ni ishara Tosha kuwa tulishindwa ku screen wagombea wazuri na ambao ni akili kubwa. Siku zote huwa nasema akili kubwa ni Mali ya Rais ndio inayotakiwa imzunguke Rais....
Tanzania tuna rasilimali nyingi mno, kinachotuangusha ni aina ya Viongozi tunaowachagua kwenye ngazi mbalimbali. Wananchi huko vijijini wanasubiri kanga, t-shirt, na kofia. Atakayegawa vitu hivi na Rushwa nyinginezo ndiye atakayekwenda kumzunguka Rais.
Idara ya Usalama hili eneo msiliache kabisa linawahusu katika kuchunguza (Vetting) ya wagombea sio CCM tu hata vyama vingine mnaweza kutusaidia kuingiza mkono. Usalama wa Taifa unahusika Sana katika ujenzi wa taifa kwa hiyo tukipata Viongozi wabaya itakuwa hamkuwatendea haki watanzania.
Niliwahi kusema Rais huu ni wakati wake wa kuachana na wabunge aliowarithi toka awamu nyinginezo. Waanze kushawishiwa watu tunao wahitaji. Sio lazima wawe maprofesa ila watu wenye vision kubwa.
Mzaa sio mzaa? Huu kwangu ni Mzaa HK anatakiwa pushup nyingi Sana.
Ole Mushi
0712702602.
Na Thadei Ole Mushi
Mbunge wa Chadema Catherine Ruge amesema kuwa wizara ya maliasili na utalii imetumia bilion 2.5 kuanzisha televesheni ya Urithi Festival. Kwa madai ya Mbunge huyu Ni kuwa Chanel hiyo pesa yake haikupitishwa na bunge.....
Kama ni kweli nimesikitika sana, sio kwa sababu ni kitu kibaya au Sio kwa sababu budget yake haikupitishwa na Bunge Bali nimechukia kwa sababu tayari TBC Wana Safari Chanel hii nyingine ni ya nn? Mbona tunashindwa ku link Mambo madogo hivi? Tofauti ya Chanel hizi mbili ni Nini?
Anyway tuachane na hiyo Issue....
Bunge linaloendelea kwa Sasa wabunge baadhi wa CCM wameonekana wakiaga kabisa Bungeni kuwa wanaweza wasirudi tena Bungeni.
Kuna kipindi niliandika kuwa CCM ni wakati wa kumsaidia Rais kupata wabunge wazuri na akili kubwa ili wakamsaidie kazi vizuri. Nilionyesha jinsi ilivyokuwa ngumu kuunda Baraza la mawaziri hadi ikabidi Rais atafute njee ya wabunge wa kuchaguliwa, tuliona jinsi ambavyo amekua akiwatumbua kila kukicha nk.
Hii ni ishara Tosha kuwa tulishindwa ku screen wagombea wazuri na ambao ni akili kubwa. Siku zote huwa nasema akili kubwa ni Mali ya Rais ndio inayotakiwa imzunguke Rais....
Tanzania tuna rasilimali nyingi mno, kinachotuangusha ni aina ya Viongozi tunaowachagua kwenye ngazi mbalimbali. Wananchi huko vijijini wanasubiri kanga, t-shirt, na kofia. Atakayegawa vitu hivi na Rushwa nyinginezo ndiye atakayekwenda kumzunguka Rais.
Idara ya Usalama hili eneo msiliache kabisa linawahusu katika kuchunguza (Vetting) ya wagombea sio CCM tu hata vyama vingine mnaweza kutusaidia kuingiza mkono. Usalama wa Taifa unahusika Sana katika ujenzi wa taifa kwa hiyo tukipata Viongozi wabaya itakuwa hamkuwatendea haki watanzania.
Niliwahi kusema Rais huu ni wakati wake wa kuachana na wabunge aliowarithi toka awamu nyinginezo. Waanze kushawishiwa watu tunao wahitaji. Sio lazima wawe maprofesa ila watu wenye vision kubwa.
Mzaa sio mzaa? Huu kwangu ni Mzaa HK anatakiwa pushup nyingi Sana.
Ole Mushi
0712702602.