Wizara ya Maliasili na Utalii yatuhumiwa kutumia Tsh. 2.5B kuanzisha chaneli ya Urithi Festival nje ya Bajeti iliyopitishwa na Bunge

Wizara ya Maliasili na Utalii yatuhumiwa kutumia Tsh. 2.5B kuanzisha chaneli ya Urithi Festival nje ya Bajeti iliyopitishwa na Bunge

Bora hiyo wizara ya Kigwa angepewa Bashe ili atuletee majangili ya kisomali katika kipindi hichi cha corona wachukue nafasi ya Watalii wa kimagharibi
 
Amani iwe nanyi.

Kwa wa kristo wote duniani kipindi cha kwaresma ni kipindi cha toba ambacho watu hukitumia kujirudi kwa muumba wao kwa kuomba na kusamehewa zambi zao.

Si sawa kwenye kipindi cha kwaresma kusema uongo waziwazi na kujilizaliza ili uonekane kwamba unaonewa na kuteseka sana kuliko binadamu wote hapa duniani!

Ndugu yetu huyu Tundu Lisu amekuwa mtu wa kusema uongo na kuzushia wengine mabaya ili waonekane ni wachafu mbele ya jamii, mfano kwa miaka nane alizunguka kote nchini na duniani akimtaja Lowasa kuwa ni fisadi namba moja duniani! Lakini baada ya Lowasa kuinunua chadema na kuwa mgombea urais , ni Lisu huyohuyo tena alizunguka nchi nzima akiwaambia watu kuwa Lowasa siyo fisadi na anafaa kuwa rais wa Tanzania!

Tabia mbaya hii Tundu Lisu aneendelea nayo hata baada ya kupigwa risasi zaidi ya 38, kwanza aliwaahidi wa Tanzania kwamba akipona tu atarudi nyumbani mpaka leo hajafanya hivyo maana yake alisema uongo. Pili ndani ya mwezi huu wa toba Tundu Lisu amelifurumshia uongo na uzushi bunge kwamba hajalipwa madai yake huku akijua si kweli!

Jana Spika Ndugai ameonyesha hadharani nyaraka zote zinazoonyesha Tundu Lisu amelipwa zaidi ya milioni 500 na bunge! ,tena amelipwa hela zingine za kutembelea wapiga kura wakati hajawahi kufanya hivyo! Hapo bado hujaweka mamilioni mengine aliyochangiwa na wana chadema.!

Tunakuambia tu Lisu huku kudeka na kulialia siyo kwa hali ya kawaida huenda una tatizo la malezi mahali na tunakuonya pia ipo siku wanyonge watataka kurudishiwa hela zao ulizolipwa bila kuzifanyia kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wewe mimba uliyonayo imeingia ubongoni kupitia mdomoni? Mada iliyopo mezani ni ya Said Nassoro kupiga zaidi ya 2bn, wewe unakuja na lisu hapa kama vile kakukula jicho pori

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bilioni umesema!? Tuletee na mnyumbuisho wa matumizi vs kilichokwapuliwa kabla ya kumtuhumu huyu njemba!
Maana watu wa ufipani hawachezi wala kukaa mbali na bla kadabra!
64FB71D1-1934-4C98-8852-3CB16BE72A3E.jpeg
 
Bulembo naye ni mmoja kati ya wale kumi wa mh rais
Duh heading yako na content ni mbingu na ardhi...

USALAMA WA TAIFA,
Kulisaidia Taifa, kwani blaza ni yapi hasa majukumu ya taasisi hiyo hata waende kufanya kazi za chama na wananchi ya kupitisha wagombea wa vyama na kuwachagulia wananchi nani awe kiongozi wao.

VETTING
Sina uhakika kama timu hii inahusika moja kwa moja na hao usalama wa Taifa na vyovyote iwavyo, nguvu kubwa ya kuipata cream ya Taifa inatakiwa kuwa hapa na kwakua Rais anayo nafasi ya kuteua wabunge 10 hivyo iwapo cream inapelea kwenye wabunge wakuchaguliwa basi anaweza kuongeza kupitia nafasi hizi...

Msalimu huyo Mzee
 
Manunuzi ya ndege zote hizi yalipitishwa na Bunge?
Chato International Airport ujenzi wake ulipitishwa na Bunge?
SGR bajeti yake ilipitishwa na Bunge?
Hamna cha ajabu hapa,serikali hii wao wenyewe ni executive,wenyewe ni Bunge na wenyewe ni Mahakama!
Msituchoshe CDM


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Amani iwe nanyi.

Kwa wa kristo wote duniani kipindi cha kwaresma ni kipindi cha toba ambacho watu hukitumia kujirudi kwa muumba wao kwa kuomba na kusamehewa zambi zao.

Si sawa kwenye kipindi cha kwaresma kusema uongo waziwazi na kujilizaliza ili uonekane kwamba unaonewa na kuteseka sana kuliko binadamu wote hapa duniani!

Ndugu yetu huyu Tundu Lisu amekuwa mtu wa kusema uongo na kuzushia wengine mabaya ili waonekane ni wachafu mbele ya jamii, mfano kwa miaka nane alizunguka kote nchini na duniani akimtaja Lowasa kuwa ni fisadi namba moja duniani! Lakini baada ya Lowasa kuinunua chadema na kuwa mgombea urais , ni Lisu huyohuyo tena alizunguka nchi nzima akiwaambia watu kuwa Lowasa siyo fisadi na anafaa kuwa rais wa Tanzania!

Tabia mbaya hii Tundu Lisu aneendelea nayo hata baada ya kupigwa risasi zaidi ya 38, kwanza aliwaahidi wa Tanzania kwamba akipona tu atarudi nyumbani mpaka leo hajafanya hivyo maana yake alisema uongo. Pili ndani ya mwezi huu wa toba Tundu Lisu amelifurumshia uongo na uzushi bunge kwamba hajalipwa madai yake huku akijua si kweli!

Jana Spika Ndugai ameonyesha hadharani nyaraka zote zinazoonyesha Tundu Lisu amelipwa zaidi ya milioni 500 na bunge! ,tena amelipwa hela zingine za kutembelea wapiga kura wakati hajawahi kufanya hivyo! Hapo bado hujaweka mamilioni mengine aliyochangiwa na wana chadema.!

Tunakuambia tu Lisu huku kudeka na kulialia siyo kwa hali ya kawaida huenda una tatizo la malezi mahali na tunakuonya pia ipo siku wanyonge watataka kurudishiwa hela zao ulizolipwa bila kuzifanyia kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeharisha, katawaze halafu upumzike sasa ukisubiri buk 7
 
Kigwangallah katia aibu sana wizara ya maliasili Na utalii, alipaswa kufukuzwa Mara moja...
 
Amani iwe nanyi.

Kwa wa kristo wote duniani kipindi cha kwaresma ni kipindi cha toba ambacho watu hukitumia kujirudi kwa muumba wao kwa kuomba na kusamehewa zambi zao.

Si sawa kwenye kipindi cha kwaresma kusema uongo waziwazi na kujilizaliza ili uonekane kwamba unaonewa na kuteseka sana kuliko binadamu wote hapa duniani!

Ndugu yetu huyu Tundu Lisu amekuwa mtu wa kusema uongo na kuzushia wengine mabaya ili waonekane ni wachafu mbele ya jamii, mfano kwa miaka nane alizunguka kote nchini na duniani akimtaja Lowasa kuwa ni fisadi namba moja duniani! Lakini baada ya Lowasa kuinunua chadema na kuwa mgombea urais , ni Lisu huyohuyo tena alizunguka nchi nzima akiwaambia watu kuwa Lowasa siyo fisadi na anafaa kuwa rais wa Tanzania!

Tabia mbaya hii Tundu Lisu aneendelea nayo hata baada ya kupigwa risasi zaidi ya 38, kwanza aliwaahidi wa Tanzania kwamba akipona tu atarudi nyumbani mpaka leo hajafanya hivyo maana yake alisema uongo. Pili ndani ya mwezi huu wa toba Tundu Lisu amelifurumshia uongo na uzushi bunge kwamba hajalipwa madai yake huku akijua si kweli!

Jana Spika Ndugai ameonyesha hadharani nyaraka zote zinazoonyesha Tundu Lisu amelipwa zaidi ya milioni 500 na bunge! ,tena amelipwa hela zingine za kutembelea wapiga kura wakati hajawahi kufanya hivyo! Hapo bado hujaweka mamilioni mengine aliyochangiwa na wana chadema.!

Tunakuambia tu Lisu huku kudeka na kulialia siyo kwa hali ya kawaida huenda una tatizo la malezi mahali na tunakuonya pia ipo siku wanyonge watataka kurudishiwa hela zao ulizolipwa bila kuzifanyia kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa ni mpumbav aiseee sijapata ona!
 
Hapana, hakieleweki kwa kuwa hoja bilioni kutumika kwa kutangazia vivutio na utalii! Sasa hapo naona bajeti ya vikao!
Ndo huo wizi wenyewe sasa badala ya kutumika kwa ajili ya utalii wamekaa wakagawana huko kwenye vikao
 
Ndo huo wizi wenyewe sasa badala ya kutumika kwa ajili ya utalii wamekaa wakagawana huko kwenye vikao
Whaaat!? Wanagawana 2.5 B? Tena ktk awamu hii!? Hapana kuna jambo hapa, kuna namna hapa, hamjamuelewa HK, hawezi akawa mjinga kiasi hiki hata kama ni kuiba! Bado nasubiri taarifa rasmi ya mchanganuo wa hiyo 2.5 B! I 'm sure huyu daktari HK hataniangusha! 2.5B haiwezi ikatumika kwa vikao tu, labda kama vilifanyika mwezini! Mnaomchukia hasa wale wa ufipa muwe na subira msije aibika baada ya HK kuleta mkeka wake!
 
Back
Top Bottom