Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wa jiwe hao. Yaani wanasema ni kishindo cha awamu ya tanoKama ni kweli azitapike tu!
Vijana wa jiwe hao. Yaani wanasema ni kishindo cha awamu ya tanoKama ni kweli azitapike tu!
Hivi wewe mimba uliyonayo imeingia ubongoni kupitia mdomoni? Mada iliyopo mezani ni ya Said Nassoro kupiga zaidi ya 2bn, wewe unakuja na lisu hapa kama vile kakukula jicho poriAmani iwe nanyi.
Kwa wa kristo wote duniani kipindi cha kwaresma ni kipindi cha toba ambacho watu hukitumia kujirudi kwa muumba wao kwa kuomba na kusamehewa zambi zao.
Si sawa kwenye kipindi cha kwaresma kusema uongo waziwazi na kujilizaliza ili uonekane kwamba unaonewa na kuteseka sana kuliko binadamu wote hapa duniani!
Ndugu yetu huyu Tundu Lisu amekuwa mtu wa kusema uongo na kuzushia wengine mabaya ili waonekane ni wachafu mbele ya jamii, mfano kwa miaka nane alizunguka kote nchini na duniani akimtaja Lowasa kuwa ni fisadi namba moja duniani! Lakini baada ya Lowasa kuinunua chadema na kuwa mgombea urais , ni Lisu huyohuyo tena alizunguka nchi nzima akiwaambia watu kuwa Lowasa siyo fisadi na anafaa kuwa rais wa Tanzania!
Tabia mbaya hii Tundu Lisu aneendelea nayo hata baada ya kupigwa risasi zaidi ya 38, kwanza aliwaahidi wa Tanzania kwamba akipona tu atarudi nyumbani mpaka leo hajafanya hivyo maana yake alisema uongo. Pili ndani ya mwezi huu wa toba Tundu Lisu amelifurumshia uongo na uzushi bunge kwamba hajalipwa madai yake huku akijua si kweli!
Jana Spika Ndugai ameonyesha hadharani nyaraka zote zinazoonyesha Tundu Lisu amelipwa zaidi ya milioni 500 na bunge! ,tena amelipwa hela zingine za kutembelea wapiga kura wakati hajawahi kufanya hivyo! Hapo bado hujaweka mamilioni mengine aliyochangiwa na wana chadema.!
Tunakuambia tu Lisu huku kudeka na kulialia siyo kwa hali ya kawaida huenda una tatizo la malezi mahali na tunakuonya pia ipo siku wanyonge watataka kurudishiwa hela zao ulizolipwa bila kuzifanyia kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena amejenga kalibu na kituo cha polisi PUGE.Kwahiyo Takukuru wanaipita kama hawaioni?
Bilioni umesema!? Tuletee na mnyumbuisho wa matumizi vs kilichokwapuliwa kabla ya kumtuhumu huyu njemba!
Maana watu wa ufipani hawachezi wala kukaa mbali na bla kadabra!
Sasa kujenga karibu na kituo cha Polisi ndio kunawafanya Takukuru waogope kufanya ziaraTena amejenga kalibu na kituo cha polisi PUGE.
Nini hiki sasa, mnganuo wa vikao vya harusi?
Duh heading yako na content ni mbingu na ardhi...
USALAMA WA TAIFA,
Kulisaidia Taifa, kwani blaza ni yapi hasa majukumu ya taasisi hiyo hata waende kufanya kazi za chama na wananchi ya kupitisha wagombea wa vyama na kuwachagulia wananchi nani awe kiongozi wao.
VETTING
Sina uhakika kama timu hii inahusika moja kwa moja na hao usalama wa Taifa na vyovyote iwavyo, nguvu kubwa ya kuipata cream ya Taifa inatakiwa kuwa hapa na kwakua Rais anayo nafasi ya kuteua wabunge 10 hivyo iwapo cream inapelea kwenye wabunge wakuchaguliwa basi anaweza kuongeza kupitia nafasi hizi...
Msalimu huyo Mzee
Umesahau ulichouliza?Nini hiki sasa, mnganuo wa vikao vya harusi?
Hapana, hakieleweki kwa kuwa hoja bilioni kutumika kwa kutangazia vivutio na utalii! Sasa hapo naona bajeti ya vikao!Umesahau ulichouliza?
Inawezekana haikupitishwa na bunge lakini lina baraka zote za mkuuKama ni kweli azitapike tu!
Huyu waziri wa chatu nasikia ni msaada mkubwa sana kwa meko hasa kwenye mambo ya kishirikina..
Waganga wote wazuri anawajua yeye.
Umeharisha, katawaze halafu upumzike sasa ukisubiri buk 7Amani iwe nanyi.
Kwa wa kristo wote duniani kipindi cha kwaresma ni kipindi cha toba ambacho watu hukitumia kujirudi kwa muumba wao kwa kuomba na kusamehewa zambi zao.
Si sawa kwenye kipindi cha kwaresma kusema uongo waziwazi na kujilizaliza ili uonekane kwamba unaonewa na kuteseka sana kuliko binadamu wote hapa duniani!
Ndugu yetu huyu Tundu Lisu amekuwa mtu wa kusema uongo na kuzushia wengine mabaya ili waonekane ni wachafu mbele ya jamii, mfano kwa miaka nane alizunguka kote nchini na duniani akimtaja Lowasa kuwa ni fisadi namba moja duniani! Lakini baada ya Lowasa kuinunua chadema na kuwa mgombea urais , ni Lisu huyohuyo tena alizunguka nchi nzima akiwaambia watu kuwa Lowasa siyo fisadi na anafaa kuwa rais wa Tanzania!
Tabia mbaya hii Tundu Lisu aneendelea nayo hata baada ya kupigwa risasi zaidi ya 38, kwanza aliwaahidi wa Tanzania kwamba akipona tu atarudi nyumbani mpaka leo hajafanya hivyo maana yake alisema uongo. Pili ndani ya mwezi huu wa toba Tundu Lisu amelifurumshia uongo na uzushi bunge kwamba hajalipwa madai yake huku akijua si kweli!
Jana Spika Ndugai ameonyesha hadharani nyaraka zote zinazoonyesha Tundu Lisu amelipwa zaidi ya milioni 500 na bunge! ,tena amelipwa hela zingine za kutembelea wapiga kura wakati hajawahi kufanya hivyo! Hapo bado hujaweka mamilioni mengine aliyochangiwa na wana chadema.!
Tunakuambia tu Lisu huku kudeka na kulialia siyo kwa hali ya kawaida huenda una tatizo la malezi mahali na tunakuonya pia ipo siku wanyonge watataka kurudishiwa hela zao ulizolipwa bila kuzifanyia kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa ni mpumbav aiseee sijapata ona!Amani iwe nanyi.
Kwa wa kristo wote duniani kipindi cha kwaresma ni kipindi cha toba ambacho watu hukitumia kujirudi kwa muumba wao kwa kuomba na kusamehewa zambi zao.
Si sawa kwenye kipindi cha kwaresma kusema uongo waziwazi na kujilizaliza ili uonekane kwamba unaonewa na kuteseka sana kuliko binadamu wote hapa duniani!
Ndugu yetu huyu Tundu Lisu amekuwa mtu wa kusema uongo na kuzushia wengine mabaya ili waonekane ni wachafu mbele ya jamii, mfano kwa miaka nane alizunguka kote nchini na duniani akimtaja Lowasa kuwa ni fisadi namba moja duniani! Lakini baada ya Lowasa kuinunua chadema na kuwa mgombea urais , ni Lisu huyohuyo tena alizunguka nchi nzima akiwaambia watu kuwa Lowasa siyo fisadi na anafaa kuwa rais wa Tanzania!
Tabia mbaya hii Tundu Lisu aneendelea nayo hata baada ya kupigwa risasi zaidi ya 38, kwanza aliwaahidi wa Tanzania kwamba akipona tu atarudi nyumbani mpaka leo hajafanya hivyo maana yake alisema uongo. Pili ndani ya mwezi huu wa toba Tundu Lisu amelifurumshia uongo na uzushi bunge kwamba hajalipwa madai yake huku akijua si kweli!
Jana Spika Ndugai ameonyesha hadharani nyaraka zote zinazoonyesha Tundu Lisu amelipwa zaidi ya milioni 500 na bunge! ,tena amelipwa hela zingine za kutembelea wapiga kura wakati hajawahi kufanya hivyo! Hapo bado hujaweka mamilioni mengine aliyochangiwa na wana chadema.!
Tunakuambia tu Lisu huku kudeka na kulialia siyo kwa hali ya kawaida huenda una tatizo la malezi mahali na tunakuonya pia ipo siku wanyonge watataka kurudishiwa hela zao ulizolipwa bila kuzifanyia kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo huo wizi wenyewe sasa badala ya kutumika kwa ajili ya utalii wamekaa wakagawana huko kwenye vikaoHapana, hakieleweki kwa kuwa hoja bilioni kutumika kwa kutangazia vivutio na utalii! Sasa hapo naona bajeti ya vikao!
Whaaat!? Wanagawana 2.5 B? Tena ktk awamu hii!? Hapana kuna jambo hapa, kuna namna hapa, hamjamuelewa HK, hawezi akawa mjinga kiasi hiki hata kama ni kuiba! Bado nasubiri taarifa rasmi ya mchanganuo wa hiyo 2.5 B! I 'm sure huyu daktari HK hataniangusha! 2.5B haiwezi ikatumika kwa vikao tu, labda kama vilifanyika mwezini! Mnaomchukia hasa wale wa ufipa muwe na subira msije aibika baada ya HK kuleta mkeka wake!Ndo huo wizi wenyewe sasa badala ya kutumika kwa ajili ya utalii wamekaa wakagawana huko kwenye vikao