Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Nyie watu siwezi kubishana na nyie, evidence hio hapo, CAG ni wa kwenu, Waziri ni wa kwenu, Report ni ya kwenu, TV ni ya kwenu. Mimi nimeonyeha tu ushahidi, basiKama source aliyotumia huyo mbunge ni hii, hasa hapo kwenye Urithi TV, napata wasiwasi na uwezo wake wa Kiinglish, lakini pia na mleta mada naye hapo ameonyesha ukihiyo kwenye hilo eneo.
Hapana sijabishana na repoti ya CAG, hizo ni querries zinazohitaji maelezo kabla ya kuhitimisha wizi na ufisadi ndugu! WMU wanaweza kuja na ushahidi wa maelezo ya kina baadae ukajikuta unashangaa na kuomba msamaha!Unabishana na Report ya CAG? Kama una uwezo wa kubishana na Report ya CAG mimi nitaweza kweli kukujibu? Sitaweza Mkuu
Jaribu kuelewa Buda. Mimi naongelea hoja ya urirhi TV inayosemwa kuanzishwa wakati tayari kuna Tanzania Safari Channel. Ukisoma hiyo taarifa uliyoweka hakuna huyo kitu, bali TV unayozungumziwa ni moja. Ndio happy nikasema hapo Kiinglish kwa Mh.na.mleta mada ni changamoto, labda wawe wamepotosha makusudi.Nyie watu siwezi kubishana na nyie, evidence hio hapo, CAG ni wa kwenu, Waziri ni wa kwenu, Report ni ya kwenu, TV ni ya kwenu. Mimi nimeonyeha tu ushahidi, basi
Basi samahani nimeshindwaJaribu kuelewa Buda. Mimi naongelea hoja ya urirhi TV inayosemwa kuanzishwa wakati tayari kuna Tanzania Safari Channel. Ukisoma hiyo taarifa uliyoweka hakuna huyo kitu, bali TV unayozungumziwa ni moja. Ndio happy nikasema hapo Kiinglish kwa Mh.na.mleta mada ni changamoto, labda wawe wamepotosha makusudi.
Pia hiyo Chanel ipo ama ?
Sijawahi kuwa na chuki na mru, sijashangilia mahali popote kwa namna yoyote, mlitaka evidence nikawweka hapo, sasa mbona mnataka tuhamishe magoli tuanze kulumbana? Tujadili evidence Vs tuhuma sio personalities.Umewahi sana kuanza kushangilia hata kama unachuki na HK!
We jamaa nakuelewaga sana humu jamviniUsipate tabu, hii hapa
Hahahah kwanini MpwaWe jamaa nakuelewaga sana humu jamvini
Haya basi kama nimeeleweka hivyo, naomba unisamehe! Detail report itatolewa na WMU! Ngoja tuisubiri kabla ya jufikia hitimisho!Sijawahi kuwa na chuki na mru, sijashangilia mahali popote kwa namna yoyote, mlitaka evidence nikawweka hapo, sasa mbona mnataka tuhamishe magoli tuanze kulumbana? Tujadili evidence Vs tuhuma sio personalities.
Umeeleewa hiko kipande cha taarifa ya CAG?Mkuu tatizo linakuja why uanzishe nyingine wakati ipo Tanzania safaris na inatosha sana, na serikali kila siku inatamba kwamba inabana matumizi. Kumbe badala yake inatengeneza wapiga dili kubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
BarikiwaHaya basi kama nimeeleweka hivyo, naomba unisamehe! Detail report itatolewa na WMU! Ngoja tuisubiri kabla ya jufikia hitimisho!
Like-wise!Barikiwa!
Nani huyo anayetoa kafara watoto wake mwenyewe!?
Hebu warushie hata stategy moja ya kuwasaidie WMU waweze kuwapiku kenya!Waache wachezee. Season hii hakuna cha TAnapa.,TawA wala Ncca wote wataisoma number yaani hata waki shusha park fee na concessions fees watalii may be after 18 months na tusipokuwa makini majirani zetu watachangamka mapema kwa kuleta strategies ambazo zitafanya tourists waende kwao badala ya kuja Tz
Sijawahi vutiwa na ubora wa akili ya waziri huyu. Tangu akiwa Afya na hata hapo alipo. Naamini anastahili kuachwa nje ya barza. Kama wana nzega wanaona bado anawafaa, basi wabakli naye huko jimboni. Hafai kuwa ni figure ya kitaifa.HAYA ANAYOONGEA HUYU MBUNGE YANA UKWELI?
Na Thadei Ole Mushi
View attachment 1411283
View attachment 1411336
Mbunge wa Chadema Catherine Ruge amesema kuwa wizara ya maliasili na utalii imetumia bilion 2.5 kuanzisha televesheni ya Urithi Festival. Kwa madai ya Mbunge huyu Ni kuwa Chanel hiyo pesa yake haikupitishwa na bunge.....
Kama ni kweli nimesikitika sana, sio kwa sababu ni kitu kibaya au Sio kwa sababu budget yake haikupitishwa na Bunge Bali nimechukia kwa sababu tayari TBC Wana Safari Chanel hii nyingine ni ya nn? Mbona tunashindwa ku link Mambo madogo hivi? Tofauti ya Chanel hizi mbili ni Nini?
Anyway tuachane na hiyo Issue....
Bunge linaloendelea kwa Sasa wabunge baadhi wa CCM wameonekana wakiaga kabisa Bungeni kuwa wanaweza wasirudi tena Bungeni.
Kuna kipindi niliandika kuwa CCM ni wakati wa kumsaidia Rais kupata wabunge wazuri na akili kubwa ili wakamsaidie kazi vizuri. Nilionyesha jinsi ilivyokuwa ngumu kuunda Baraza la mawaziri hadi ikabidi Rais atafute njee ya wabunge wa kuchaguliwa, tuliona jinsi ambavyo amekua akiwatumbua kila kukicha nk.
Hii ni ishara Tosha kuwa tulishindwa ku screen wagombea wazuri na ambao ni akili kubwa. Siku zote huwa nasema akili kubwa ni Mali ya Rais ndio inayotakiwa imzunguke Rais....
Tanzania tuna rasilimali nyingi mno, kinachotuangusha ni aina ya Viongozi tunaowachagua kwenye ngazi mbalimbali. Wananchi huko vijijini wanasubiri kanga, t-shirt, na kofia. Atakayegawa vitu hivi na Rushwa nyinginezo ndiye atakayekwenda kumzunguka Rais.
Idara ya Usalama hili eneo msiliache kabisa linawahusu katika kuchunguza (Vetting) ya wagombea sio CCM tu hata vyama vingine mnaweza kutusaidia kuingiza mkono. Usalama wa Taifa unahusika Sana katika ujenzi wa taifa kwa hiyo tukipata Viongozi wabaya itakuwa hamkuwatendea haki watanzania.
Niliwahi kusema Rais huu ni wakati wake wa kuachana na wabunge aliowarithi toka awamu nyinginezo. Waanze kushawishiwa watu tunao wahitaji. Sio lazima wawe maprofesa ila watu wenye vision kubwa.
Mzaa sio mzaa? Huu kwangu ni Mzaa HK anatakiwa pushup nyingi Sana.
Ole Mushi
0712702602.
Tuliaaaa we kaa kmyaAmani iwe nanyi.
Kwa wa kristo wote duniani kipindi cha kwaresma ni kipindi cha toba ambacho watu hukitumia kujirudi kwa muumba wao kwa kuomba na kusamehewa zambi zao.
Si sawa kwenye kipindi cha kwaresma kusema uongo waziwazi na kujilizaliza ili uonekane kwamba unaonewa na kuteseka sana kuliko binadamu wote hapa duniani!
Ndugu yetu huyu Tundu Lisu amekuwa mtu wa kusema uongo na kuzushia wengine mabaya ili waonekane ni wachafu mbele ya jamii, mfano kwa miaka nane alizunguka kote nchini na duniani akimtaja Lowasa kuwa ni fisadi namba moja duniani! Lakini baada ya Lowasa kuinunua chadema na kuwa mgombea urais , ni Lisu huyohuyo tena alizunguka nchi nzima akiwaambia watu kuwa Lowasa siyo fisadi na anafaa kuwa rais wa Tanzania!
Tabia mbaya hii Tundu Lisu aneendelea nayo hata baada ya kupigwa risasi zaidi ya 38, kwanza aliwaahidi wa Tanzania kwamba akipona tu atarudi nyumbani mpaka leo hajafanya hivyo maana yake alisema uongo. Pili ndani ya mwezi huu wa toba Tundu Lisu amelifurumshia uongo na uzushi bunge kwamba hajalipwa madai yake huku akijua si kweli!
Jana Spika Ndugai ameonyesha hadharani nyaraka zote zinazoonyesha Tundu Lisu amelipwa zaidi ya milioni 500 na bunge! ,tena amelipwa hela zingine za kutembelea wapiga kura wakati hajawahi kufanya hivyo! Hapo bado hujaweka mamilioni mengine aliyochangiwa na wana chadema.!
Tunakuambia tu Lisu huku kudeka na kulialia siyo kwa hali ya kawaida huenda una tatizo la malezi mahali na tunakuonya pia ipo siku wanyonge watataka kurudishiwa hela zao ulizolipwa bila kuzifanyia kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app