Wizara ya Ujenzi. Hivi ndo barabara zinavyojengwa kwenye miji mikubwa ya Biashara

Angola wana mafuta. Sisi tunategemea tozo tu. Mkono mtupu haulambwi au unataka tuongeze tozo na kodi ili tuweze kujenga barabara za aina hizo unazotamani? Serikali ikiongeza tozo kidogo tu nyie ndoo wa kwanza kupiga kelele sana na kuitukana serikali.

Acha uongo. Tuna bandari, madini, gesi, mazao, mbuga za wanyama, Kodi, tozo na mikopo lukuki ya nje.
 
Mzee alijenga sana hii Nchi.

Utataja barabara gani usitaje jina la JPM. Iwe alisimamia akiwa Waziri wa Ujenzi ama alijenga akiwa Rais wa Jamhuri.

Mzee apewe maua yake kwa kweli
Ule uthubutu wa kuonyesha kuwa highways zinawezekana Tanzania ulikuwa unyama sana.

Hawa wa saivi wanaturudisha nyuma tena eti barabara mpya tena kubwa wanajenga njia mbili mbili. Ujinga kabisa
 
Ule uthubutu wa kuonyesha kuwa highways zinawezekana Tanzania ulikuwa unyama sana.

Hawa wa saivi wanaturudisha nyuma tena eti barabara mpya tena kubwa wanajenga njia mbili mbili. Ujinga kabisa
Hawa wa miaka hii hawana maono.

Wameshindwa hata kujenga toll roads walau kutupunguzia foleni hapa mjini.

Kumpata kiongozi wa vile itachukua miaka mingine mingi sana.

Mzee alipenda sana Ujenzi, hawa wenzie wanashindana kujaribu kufuta legacy yake
 
Hawa wa miaka hii hawana maono.

Wameshindwa hata kujenga toll roads walau kutupunguzia foleni hapa mjini.

Kumpata kiongozi wa vile itachukua miaka mingine mingi sana.

Mzee alipenda sana Ujenzi, hawa wenzie wanashindana kujaribu kufuta legacy yake
Wamekalia kula posho tu. Akili hawana kabisa
 
Angola wana mafuta. Sisi tunategemea tozo tu. Mkono mtupu haulambwi au unataka tuongeze tozo na kodi ili tuweze kujenga barabara za aina hizo unazotamani? Serikali ikiongeza tozo kidogo tu nyie ndoo wa kwanza kupiga kelele sana na kuitukana serikali.
Dhahabu,almasi,Tanzanite, Rubi, Coal,Ng'ombe,Mbuzi,Samaki, mbuga za wanyama,Milima,Kahawa,Miti..................
 
Hawa wa miaka hii hawana maono.

Wameshindwa hata kujenga toll roads walau kutupunguzia foleni hapa mjini.

Kumpata kiongozi wa vile itachukua miaka mingine mingi sana.

Mzee alipenda sana Ujenzi, hawa wenzie wanashindana kujaribu kufuta legacy yake
RC ana discuss migogoro ya wenye Bar na NEMC na anasema ukiona Dar foleni hamia Kijiji ambacho hakina foleni![emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Alaumiwe CCM na Nyerere
Wewe mwenyewe. Nyerere kafanya mazuri kwa wakati wake na waliofuata nao wakafanya kadri walivyoweza na sisi wenye macho ya kuona tulikotoka na tulipo tunaona maendeleo yako makubwa
 
Angola wana mafuta. Sisi tunategemea tozo tu. Mkono mtupu haulambwi au unataka tuongeze tozo na kodi ili tuweze kujenga barabara za aina hizo unazotamani? Serikali ikiongeza tozo kidogo tu nyie ndoo wa kwanza kupiga kelele sana na kuitukana serikali.
Madini

Mbuga

Bahari

Mito maziwa
 
Sasa nawe uache ubozongo maana barabara ya kuu bado zina road reserve kuruhusu upanuaji wa barabara hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…