Wizara ya Ujenzi. Hivi ndo barabara zinavyojengwa kwenye miji mikubwa ya Biashara

Wizara ya Ujenzi. Hivi ndo barabara zinavyojengwa kwenye miji mikubwa ya Biashara

Angola wana mafuta. Sisi tunategemea tozo tu. Mkono mtupu haulambwi au unataka tuongeze tozo na kodi ili tuweze kujenga barabara za aina hizo unazotamani? Serikali ikiongeza tozo kidogo tu nyie ndoo wa kwanza kupiga kelele sana na kuitukana serikali.
Tuna dhahabu
Tuna almasi
Tuna Tanzanite
Tuna gesi
Tuna misitu
Tuna maji
Tuna madini mengine ya kila aina
Tuna mbuga za wanyama
Tuna Uranium
Tuna karibu kila kitu

Shida yetu wala siyo ukosefu wa raslimali. Shida yetu ni ukosefu wa viongozi wazalendo na wenye maono. Na adui yetu mkubwa ni ufisadi.

Hata kama tungepewa mafuta yote yaliyopo hapa duniani kwa viongozi hawa tulionao hakuna kitakachotokea bali pesa zote za mafuta zitaishia katika akaunti za siri huko Uswizi/Uarabuni; na kwenye miradi binafsi ya ndugu na marafiki.
 
Angola Luanda imejengeka bwana wale jamaaa km isingekua vita naona ingekua ulaya ndogo ya africa ww jiulize wamekuja kutulia mwaka 2000 ila ndo pamejengeka hatari miundo mbinu iko safiii Namibia ka nchi ka watu kidogo kanatuzidi miundo mbinu yaaan sisi tatizo ni viongozi ni majizi na majambazi yalio kalia ofisi za uma
Namibia hatuwapati hata kidogo kwenye miundombinu na wametutangulia Kwa miaka 50 mbele
 
Angola Luanda imejengeka bwana wale jamaaa km isingekua vita naona ingekua ulaya ndogo ya africa ww jiulize wamekuja kutulia mwaka 2000 ila ndo pamejengeka hatari miundo mbinu iko safiii Namibia ka nchi ka watu kidogo kanatuzidi miundo mbinu yaaan sisi tatizo ni viongozi ni majizi na majambazi yalio kalia ofisi za uma
Na sisi tupigane vita kuwaondoa CCM taifa letu litajengeke zaidi ya Angola
 
Kwenu Wizara ya Ujenzi

Hizi ni barabara za Jiji la Biashara Luanda. Mji Mkuu wa Angola

Jifunzeni kuwa kwenye miji mikubwa ya biashara wenzenu wanajenga barabara njia 3 hadi 4 kila upande sio vituko vyenu vya njia 2 kila upande mnavyotujengea barabara za mbagala na Gongo la Mboto hapo Dar kama tupo karne ya 19 huko

Najua kwa somo hili hamtajenga hivyo vituko Mwenge- Kurasini na Bunju hadi PostaView attachment 2847820
Kahamie huko we bwege
 
Angola wana mafuta. Sisi tunategemea tozo tu. Mkono mtupu haulambwi au unataka tuongeze tozo na kodi ili tuweze kujenga barabara za aina hizo unazotamani? Serikali ikiongeza tozo kidogo tu nyie ndoo wa kwanza kupiga kelele sana na kuitukana serikali.
Acha upumbavu, Botswana 🇧🇼 wana Diamonds 💎 na utalii tu,na wapo super, sisi tuna kila kitu na mbuga zetu za wanyama ni super, nchi imejaa wezi, mafisadi, greedy na uovu wa kishetani
 
Kwenu Wizara ya Ujenzi

Hizi ni barabara za Jiji la Biashara Luanda. Mji Mkuu wa Angola

Jifunzeni kuwa kwenye miji mikubwa ya biashara wenzenu wanajenga barabara njia 3 hadi 4 kila upande sio vituko vyenu vya njia 2 kila upande mnavyotujengea barabara za mbagala na Gongo la Mboto hapo Dar kama tupo karne ya 19 huko

Najua kwa somo hili hamtajenga hivyo vituko Mwenge- Kurasini na Bunju hadi PostaView attachment 2847820
Mimi nadhani mji utanuliwe kwa kujenga nje ya mji na sio kuendelea kubomoa ili kupanua barabara. Hizo barabara ukisema zijengwe Dar city centre lazima kuwe na ubomoaji wa majengo mengi. Labda kwa sasa tuwaige Dubai kwa kujenga mji mwingine na sio kuendelea na bomoa bomoa.
 
Kwenu Wizara ya Ujenzi

Hizi ni barabara za Jiji la Biashara Luanda. Mji Mkuu wa Angola

Jifunzeni kuwa kwenye miji mikubwa ya biashara wenzenu wanajenga barabara njia 3 hadi 4 kila upande sio vituko vyenu vya njia 2 kila upande mnavyotujengea barabara za mbagala na Gongo la Mboto hapo Dar kama tupo karne ya 19 huko

Najua kwa somo hili hamtajenga hivyo vituko Mwenge- Kurasini na Bunju hadi PostaView attachment 2847820
Mbona kama picha ya kuchora!!
 
Kwenu Wizara ya Ujenzi

Hizi ni barabara za Jiji la Biashara Luanda. Mji Mkuu wa Angola

Jifunzeni kuwa kwenye miji mikubwa ya biashara wenzenu wanajenga barabara njia 3 hadi 4 kila upande sio vituko vyenu vya njia 2 kila upande mnavyotujengea barabara za mbagala na Gongo la Mboto hapo Dar kama tupo karne ya 19 huko

Najua kwa somo hili hamtajenga hivyo vituko Mwenge- Kurasini na Bunju hadi PostaView attachment 2847820
Watanganyika hamna shukurani, Magufuli alijaribu kufanya mambo kama hayo balabara ya mbezi kimara laana alizotamkiwa nafikiri na kifo chake kilitokana na rahana hizo, watanganyika wanataka vitu vizuri lakini hawataki kuvigaramikia, maendeleo kama hayo ni garama,niambi niwapi hapa Dar unaweza kujenga balabara kama hii mali za watu zisiguswe na ukizigusa tu fidia unayoambiwa serikali inafirika maana na mafisadi wanaweka cha juu.
 
Kwenu Wizara ya Ujenzi

Hizi ni barabara za Jiji la Biashara Luanda. Mji Mkuu wa Angola

Jifunzeni kuwa kwenye miji mikubwa ya biashara wenzenu wanajenga barabara njia 3 hadi 4 kila upande sio vituko vyenu vya njia 2 kila upande mnavyotujengea barabara za mbagala na Gongo la Mboto hapo Dar kama tupo karne ya 19 huko

Najua kwa somo hili hamtajenga hivyo vituko Mwenge- Kurasini na Bunju hadi PostaView attachment 2847820
Kwa Dar walishachemsha,hiyo ya Kimara-Kibaha peke yake mpk kuna watu wamepoteza maisha ili kuilazimisha...
 
Kwa Dar walishachemsha,hiyo ya Kimara-Kibaha peke yake mpk kuna watu wamepoteza maisha ili kuilazimisha...
Ukitembea nchi za watu ndo utajua nchi hii viongozi hawajielewi! Barabara ya Nyerere Airport to Dar city ni uchafu na upuuzi wakati ndo uso wa nchi! Saizi wanajenga mwendo kasi yaani ukiangalia mambo shagarabagara! Mwendo kasi hata hauhitajiki kama unajenga barabara 4 lines kila upande!
Mfano Mbeya in a congestion ya malori mengi sana bado wanajenga njia mbili mbili!
Miji kama Mwanza na Arusha wanapaswa kujenga angalau njia tatu kila upande na kwa Dar njia nne kila upande!
Thinking capacity ya viongozi ndogo sana!
Kwa ujumla wengi wao ni wajinga na wapumbavu!
 
Angola wana mafuta. Sisi tunategemea tozo tu. Mkono mtupu haulambwi au unataka tuongeze tozo na kodi ili tuweze kujenga barabara za aina hizo unazotamani? Serikali ikiongeza tozo kidogo tu nyie ndoo wa kwanza kupiga kelele sana na kuitukana serikali.
Nchi ina kila kitu ilichokikosa ni viongozi wenye akili za maendeleo.Kwa rasilimali tulizonazo kuna mambo leo yalitakiwa yawe historia.ila chini ya uongozi wa ccm toka uhuru hadi leo hakuna tunachoweza kujivunia zaidi ya ujinga na uchawa usio na faida yoyote kwenye jamii uku kundi kubwa la wananchi wakiishi kwenye umaskini mkubwa na viongozi wakiishi kifahari.
 
Back
Top Bottom