Angola wana mafuta. Sisi tunategemea tozo tu. Mkono mtupu haulambwi au unataka tuongeze tozo na kodi ili tuweze kujenga barabara za aina hizo unazotamani? Serikali ikiongeza tozo kidogo tu nyie ndoo wa kwanza kupiga kelele sana na kuitukana serikali.
JPM alijaribu kujenga kuanzia Kimara Mwisho hadi Kibaha.
Kila nikiwa natumia zile barabara hua naendelea kumkumbuka legendary
Yaani huwa napepea na speed 120 hadi 160km/hr.
Let the Man rest in peace, despite his bad side lakini kwenye hili the Oldman was good at [emoji122][emoji122][emoji122][emoji123]
Imekuwaje tena ccm wasitetee hizo rasmlimali zenu, wakati dhalimu alipora uchaguzi na kujaza wanaccm kote kwakuwa ni wazalendo? Au walikuwa ni wazalendo wa mdomoni?Ni kweli mkuu na tulikuwa na mipango ya Tanzania kuwa a donor country kwa uwingi wa rasilimali tulizonazo. Tukatunga na hiyo sheria ya Natural Wealth ambayo cdm waliipinga sana lakini tukatumia nguvu ya wengi wape huko bungeni.
Bahati mbaya yakatokea yaliyotokea. Hizo rasilimali zetu siyo za kwetu tena. Umesikia hata hiyo SGR, bwawa la Nyerere, bandari nk tunatarajia kuwapa watu au kampuni binafsi tunaowaita wawekezaji. Hiyo gesi tayari tuliwapa wawekezaji kipindi cha awamu ya nne, siyo ya kwetu tena na hutubidi ili kuitumia tuinunue kwa bei mbaya kutoka kwa hao wawekezaji. Madini tulishawapa wawekezaji kipindi cha awamu ya tatu. Wakina Kitila Mkumbo hawana cha kufanya isipokuwa kutegemea tu tozo.
Move onMagufuli alivyokua anajenga mlimuita dikteta.
Kajinga sana haka kajamaa.
acha unafiki jombaa.Angola wana mafuta. Sisi tunategemea tozo tu. Mkono mtupu haulambwi au unataka tuongeze tozo na kodi ili tuweze kujenga barabara za aina hizo unazotamani? Serikali ikiongeza tozo kidogo tu nyie ndoo wa kwanza kupiga kelele sana na kuitukana serikali.
Mkuu, utalii, madini, na kilimo vinatosha kabisa kutuingizia pato la kutuwezesha kufanya mambo makubwa kuliko hata wenye mafuta. Ujinga na ubabaishaji ndivyo vizuizi vyetu vikuu, siyo kukosa raslimali!Angola wana mafuta. Sisi tunategemea tozo tu. Mkono mtupu haulambwi au unataka tuongeze tozo na kodi ili tuweze kujenga barabara za aina hizo unazotamani? Serikali ikiongeza tozo kidogo tu nyie ndoo wa kwanza kupiga kelele sana na kuitukana serikali.
Mawazo yako ni mfu, Nairobi wametuzidi miundombinu compared to Dsm nako wana mafuta, namibia Botswana kote wametuzidi miundombinu nako kuna mafuta? Mafuta sio kigezo cha mtu kukuzidi maendeleo angalia mataifa kama Luxembourg ina nini? Then angalia maendeleo yake na huko Kuwait kwenye mamilion ya cubic meters za mafuta. Maendeleo ni mipango ya ulichonahco naweza kulipwa laki na nikajenga na ukalipwa one million na ushindwe kuwa na nyumba. Its not about resource its about resource management and utilizationAngola wana mafuta. Sisi tunategemea tozo tu. Mkono mtupu haulambwi au unataka tuongeze tozo na kodi ili tuweze kujenga barabara za aina hizo unazotamani? Serikali ikiongeza tozo kidogo tu nyie ndoo wa kwanza kupiga kelele sana na kuitukana serikali.
Unadhani hajui? Usikute ni mtumishi wa Wizara ya Ujenzi au Tanroads anatetea ujinga wao humuMkuu, utalii, madini, na kilimo vinatosha kabisa kutuingizia pato la kutuwezesha kufanya mambo makubwa kuliko hata wenye mafuta. Ujinga na ubabaishaji ndivyo vizuizi vyetu vikuu, siyo kukosa raslimali!
Chuki zako kwa nyerere hazita kusaidiaAlaumiwe CCM na Nyerere
Angola wana mafuta. Sisi tunategemea tozo tu. Mkono mtupu haulambwi au unataka tuongeze tozo na kodi ili tuweze kujenga barabara za aina hizo unazotamani? Serikali ikiongeza tozo kidogo tu nyie ndoo wa kwanza kupiga kelele sana na kuitukana serikali.
Jadili hoja achana na UCCM na UCHADEMANaona chadema wanaushambulia huu uzi kuliko kawaida
Naunga mkono hojaKwenu Wizara ya Ujenzi
Hizi ni barabara za Jiji la Biashara Luanda. Mji Mkuu wa Angola
Jifunzeni kuwa kwenye miji mikubwa ya biashara wenzenu wanajenga barabara njia 3 hadi 4 kila upande sio vituko vyenu vya njia 2 kila upande mnavyotujengea barabara za mbagala na Gongo la Mboto hapo Dar kama tupo karne ya 19 huko
Najua kwa somo hili hamtajenga hivyo vituko Mwenge- Kurasini na Bunju hadi PostaView attachment 2847820
Sawa kabisa!Kwenu Wizara ya Ujenzi
Hizi ni barabara za Jiji la Biashara Luanda. Mji Mkuu wa Angola
Jifunzeni kuwa kwenye miji mikubwa ya biashara wenzenu wanajenga barabara njia 3 hadi 4 kila upande sio vituko vyenu vya njia 2 kila upande mnavyotujengea barabara za mbagala na Gongo la Mboto hapo Dar kama tupo karne ya 19 huko
Najua kwa somo hili hamtajenga hivyo vituko Mwenge- Kurasini na Bunju hadi PostaView attachment 2847820
Ifike Hadi mwasonga au kisaraweIle ya kuanzia kibaha ilitakiwa kufika hadi ubungo.,,,
hata mngekuwa na mafuta yasingesaidia....gesi imewasaidia?Angola wana mafuta. Sisi tunategemea tozo tu. Mkono mtupu haulambwi au unataka tuongeze tozo na kodi ili tuweze kujenga barabara za aina hizo unazotamani? Serikali ikiongeza tozo kidogo tu nyie ndoo wa kwanza kupiga kelele sana na kuitukana serikali.
Wanadhani kuwa utajiri ni rasilimali kumbe utajiri wa kwanza ni akili na namna unavyozitumia akili zako vizurihata mngekuwa na mafuta yasingesaidia....gesi imewasaidia?
Tuna watu wa hovyo sana katika haya maofisi ya Serikali. Wanafanya watu wote kuonekana wajinga tusio na akili na exposureSerikali iliyofeli kila haiwezi kujenga barabara za kiwango hicho.
Nimeshangaa sana jana kupita hiyo barabara kutoka gongo la mboto mpaka posta,Unadhani hajui? Usikute ni mtumishi wa Wizara ya Ujenzi au Tanroads anatetea ujinga wao humu
Ni akili zao fupi tu. We fikiria tu kwa akili ya kawaida tu, katika karne hii ya 21 unawezaje kujenga upya barabara ya Posta hadi Uwanja wa ndege alafu unaiwekea njia mbili kila upande? Kwenye jiji lenye watu Mil sita kasoro??
Hizi ni akili au matope?
Kesho wazungu wakituita manyani tunakasirika?