Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nchi ina vituko sana. Mungu tunusuru na CcmWamebadili gia angani
MGR ni nini tena? Kuna hu msemo "If you can't convince them confuse them"......mtupe tofauti ya SGR na MGR tafadhariBehewa ni 22 zilizokuja kwa reli ya Kati MGR na si miongoni mwa behewa za @SGR_tz. Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi.
Ufisadi tayari. Kulikuwa na haja gani ya kununua mabehewa mapya ya MGR, wakati tupo kwenye transformation ya kwenda SGR?
Kikubwa ianze kufanya kazi sio blabla na Tantatanta nyingi kama meee meee za chamambuzi
Kuitetea hii serikari ni mpaka muda wote uwe umelewa ndo utaweza,Kuna nini hiko kwenye reli? Mbona sarakasi nyingi sana??
Wahi discount ya ChristmasKuna nini hiko kwenye reli? Mbona sarakasi nyingi sana??
Something fishBaada ya makelele kuwa mengi,wamebadilisha gia angani.
Sasa Kama mabehewa ya MGR yamenunuliwa kwa B 2.5 kwa kila behewa,hayo mabehewa ya SGR si watanunua B 100 kwa kila behewa!!?
umeniwai.ila sio kuniwa tu kwa akili ya kawaida lazima mtu atajiuliza ilo swali.Baada ya makelele kuwa mengi,wamebadilisha gia angani.
Sasa Kama mabehewa ya MGR yamenunuliwa kwa B 2.5 kwa kila behewa,hayo mabehewa ya SGR si watanunua B 100 kwa kila behewa!!?