Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Kwa Kasi Ya 5GAwamu ya ufisadi imerejee kwa kasi ya 5 g
Hawa Wanatoboa Kibuyu Cha Asali Hivi Hivi Tunawaona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Kasi Ya 5GAwamu ya ufisadi imerejee kwa kasi ya 5 g
"Standard Gauge Railways Vs Meter Gauge Railways"MGR ni nini tena? Kuna hu msemo "If you can't convince them confuse them"......mtupe tofauti ya SGR na MGR tafadhari
The Standard Gauge Railway(SGR) has the ability to carry heavy loads by high speed as opposed to the current Meter gauge Railway (MGR). SGR uses electric locomotives and has the capacity to transport passengers and cargo shipments at more than 160 kilometers per hour.MGR ni nini tena? Kuna hu msemo "If you can't convince them confuse them"......mtupe tofauti ya SGR na MGR tafadhari
Kwahiyo nauli ya meter gauge railway imepandisha kwasbb ya mabehewa mapya?The Standard Gauge Railway(SGR) has the ability to carry heavy loads by high speed as opposed to the current Meter gauge Railway (MGR). SGR uses electric locomotives and has the capacity to transport passengers and cargo shipments at more than 160 kilometers per hour.
Behewa ni 22 zilizokuja kwa reli ya Kati MGR na si miongoni mwa behewa za @SGR_tz. Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi.
Behewa ni 22 zilizokuja kwa reli ya Kati MGR na si miongoni mwa behewa za @SGR_tz. Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi.
Hiyo sgr inaisha lini!?Ufisadi tayari. Kulikuwa na haja gani ya kununua mabehewa mapya ya MGR, wakati tupo kwenye transformation ya kwenda SGR?
Walinunua Seti mbili ya MGR na SGR, hopefully hawakutaka Watanzania wajueSirikali inanunua na kupokea kitu isichokijua..juzi walisema hiyo ni awamu ya kwanza ya Mabehewa ya SGR but Leo wamechange gia na kusema ni Mabehewa ya mgr.. inamaana hawakuwa na taraifa sahihi
Behewa ni 22 zilizokuja kwa reli ya Kati MGR na si miongoni mwa behewa za @SGR_tz. Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi.