Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi: Mabehewa yaliyokuja siyo ya SGR ni ya MGR

Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi: Mabehewa yaliyokuja siyo ya SGR ni ya MGR

Kelele zilizopigwa ndio zimewafanya wakabadilisha msimamo, wasitudanganye, zile behewa zilikuwa kwa ajili ya reli ya SGR.

Bora wafanye hivyo, kwasababu pale palionekana kuna upigaji wa wazi, na wahusika ilikuwa lazima wawajibishwe kisheria, sasa ngoja tuone hayo mabehewa mengine kama yataendana na ubora unaotegemewa.
Behewa za SGR haiwezi tembea kwenye reli ya MGR sababu zenyewe ni pana sana
 
Maana yake ni kwamba hata SGR imeuliwa rasmi kama vile Nyerere Dam, kwa kifupi hakuna SGR tena na mradi umeshasimamishwa, go figure!
Wamiliki wa mabasi na malori

Hawapendi kusikia kitu kinaitwa

Sgr,mgr,zzr ,kkr

Ova
 
Wamiliki wa mabasi na malori

Hawapendi kusikia kitu kinaitwa

Sgr,mgr,zzr ,kkr

Ova

Mnawasingizia sana, hawaongozi Serikali, isiyotaka SGR ni Serikali ya sasa hivi kama tu isivyotaka tuwe na umeme na maji ya uhakika, kila kitu kimepangwa!
 
"Kuna watu wa kuhojiwa juu ya hili, hata wakilizuia kwa sasa litakuja kuhojiwa baadae hata ikipita miaka kumi litakuja kuhojiwa tu".

NI HEKIMA SEREKALI IKALIWEKA SAWA MAPEMA
 
Gerson Msigwa yupo ana zurura na Nape mt. Kilimanjaro. Akitoka huko ana kuja kupanua mdomo ni ya SGR seat za Kisasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu jamaa sijui hii nafasi aliipataje, anavuja kinyama.
 
Nawaomba wanaohusika watuelemishe mabehewa yaliyokuja ni yapi. Kuna mabehewa ya MGR na kuna mabehewa ya SGR. Sasa yapo ni yapi. Bila kuingia kwenye used na new.

Kingine. Mnajenga reli mpya na mnaimarisha reli ya zamani. Njia ile ile ili iweje. Sielewi kabisa hapo.
 
mabehewa ya MGR yamekuja 22 na ya sgr 14 haya mabehewa nitofauti hayafanani kabisa
 
Behewa ni 22 zilizokuja kwa reli ya Kati MGR na si miongoni mwa behewa za @SGR_tz. Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi.


R.C. mmoja Dar. analojibu lake.
CCM ina jibu lake.
..n.k, n.k

Raisi analo jibu lake.

Bunge????
 
Back
Top Bottom