Wizi kwenye Mataa ya barabarani

Wizi kwenye Mataa ya barabarani

boy 1

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2016
Posts
414
Reaction score
395
Naomba niwafahamishe ndugu zangu kuwa makini nyakati za usiku pindi unaposimama kwenye mataa hakikisha milango na vioo umefunga.

Imenitokea maeneo ya kiwanda cha bia pale mataa mida ya usiku saa sita hivi, dirisha la nyuma nilisahau kulifunga, jamaa walikuwa wawili na pikipiki walitokea nyuma yangu na mmoja aliufungua mlango ghafla akanitolea panga aliniambia eti toa simu nilichokifanya nilikanyaga mafuta kwa nguvu yule jamaa kichwa kilikuwa ndani miguu nje alichokipata huko nyuma walisimuliana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naomba niwafahamishe ndugu zangu kuwa Makini nyakati za usiku pindi unaposimama kwenye Mataa hakikisha milango na vioo umefunga
Imenitokea maeneo ya kiwanda cha bia pale Mataa mida ya usiku saa sita hivi
Dirisha la nyuma nilisahau kulifunga
Jamaa walikuwa wawili na piki piki walitokea nyuma yangu na mmoja aliufungua mlango ghafla akanitolea panga aliniambia eti toa simu nilichokifanya nilikanyaga mafuta kwa nguvu yule jamaa kichwa kilikuwa ndani miguu nje alichokipata huko nyuma walisimuliana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umemnyoosha mi ningeweka R na kukanyaga wese kwa nguvu ili azame ndani akiwa keshajeruhiwa halafu namsachi[emoji384][emoji383]
 
Naomba niwafahamishe ndugu zangu kuwa Makini nyakati za usiku pindi unaposimama kwenye Mataa hakikisha milango na vioo umefunga
Imenitokea maeneo ya kiwanda cha bia pale Mataa mida ya usiku saa sita hivi
Dirisha la nyuma nilisahau kulifunga
Jamaa walikuwa wawili na piki piki walitokea nyuma yangu na mmoja aliufungua mlango ghafla akanitolea panga aliniambia eti toa simu nilichokifanya nilikanyaga mafuta kwa nguvu yule jamaa kichwa kilikuwa ndani miguu nje alichokipata huko nyuma walisimuliana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daah, mi ilinitokea mchana kweupe pale mataa ya Fire, sikufunga kioo changu cha mbele, teja alinitolea wembe wenye kutu akawa anaulengesha shingoni, akala 70,000/= yangu kiulaini kabisa, daaah, hii nchii hiii
 
Naomba niwafahamishe ndugu zangu kuwa Makini nyakati za usiku pindi unaposimama kwenye Mataa hakikisha milango na vioo umefunga
Imenitokea maeneo ya kiwanda cha bia pale Mataa mida ya usiku saa sita hivi
Dirisha la nyuma nilisahau kulifunga
Jamaa walikuwa wawili na piki piki walitokea nyuma yangu na mmoja aliufungua mlango ghafla akanitolea panga aliniambia eti toa simu nilichokifanya nilikanyaga mafuta kwa nguvu yule jamaa kichwa kilikuwa ndani miguu nje alichokipata huko nyuma walisimuliana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787]
 
Daah, mi ilinitokea mchana kweupe pale mataa ya Fire, sikufunga kioo changu cha mbele, teja alinitolea wembe wenye kutu akawa anaulengesha shingoni, akala 70,000/= yangu kiulaini kabisa, daaah, hii nchii hiii
Yaan huyu bahati yake kwamba huko mbele hakuwa blocked na gari nyingine akapata upenyo wa kuondoa gari kwa nguvu

Dah watu wana njaa
 
Daah, mi ilinitokea mchana kweupe pale mataa ya Fire, sikufunga kioo changu cha mbele, teja alinitolea wembe wenye kutu akawa anaulengesha shingoni, akala 70,000/= yangu kiulaini kabisa, daaah, hii nchii hiii
Hii dunia haiwezi kutulia
Kikubwa ni kujichunga tu
Kama uko kwenye gari funga vioo

Nakumbuka kuna wakati fulani pale nairobi
Unakutana na vichokora wameshika,sindano
Zna dam wanakuonesha huku wanakuambia
Dam ni zina HIV,tupe chochote ulichonacho
Usipotupa tunakuchoma

Ova
 
Naomba niwafahamishe ndugu zangu kuwa Makini nyakati za usiku pindi unaposimama kwenye Mataa hakikisha milango na vioo umefunga
Imenitokea maeneo ya kiwanda cha bia pale Mataa mida ya usiku saa sita hivi
Dirisha la nyuma nilisahau kulifunga
Jamaa walikuwa wawili na piki piki walitokea nyuma yangu na mmoja aliufungua mlango ghafla akanitolea panga aliniambia eti toa simu nilichokifanya nilikanyaga mafuta kwa nguvu yule jamaa kichwa kilikuwa ndani miguu nje alichokipata huko nyuma walisimuliana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Safi Sana, sisi mwezi huu tu tushaua wezi Kama watatu kwa kipigo mtaani kwetu
 
Tatizo makamanda wa polisi ni hovyo sana hawa hamuheshimu Rais kutokemeza vibaka na majambazi nchini
 
Back
Top Bottom