Wizi kwenye Mataa ya barabarani

Wizi kwenye Mataa ya barabarani

Daah, mi ilinitokea mchana kweupe pale mataa ya Fire, sikufunga kioo changu cha mbele, teja alinitolea wembe wenye kutu akawa anaulengesha shingoni, akala 70,000/= yangu kiulaini kabisa, daaah, hii nchii hiii
Kumbe ndo maana bro wangu alikuwa na panga kwenye gari yake..nikimuuliza anasema "barabarani kuna wakorofi"
 
Daah, mi ilinitokea mchana kweupe pale mataa ya Fire, sikufunga kioo changu cha mbele, teja alinitolea wembe wenye kutu akawa anaulengesha shingoni, akala 70,000/= yangu kiulaini kabisa, daaah, hii nchii hiii
Kwa taarifa hii, na jinsi ninavyowafahamu mateja/vibaka wa Dar, Mkuu, kwao ni bonge la uvumbuzi! Sasa subirini, watatembea na nyundo kabisa. Vioo vitavunjwa!!
 
Yaani mchana kweupe unatolewa 7000 kwa kutishiwa kiwembe? Mchana kweupe? Unajua nyie ndo mnaotuchafulia jina sisi wanaume wa dar. Ungekua karibu yangu ukanisimulia hivi ningekuwasha makofi kidogo.
Jamaa alizingatia Anatomy, sijui kama na wewe ulifikiria kama yeye? Jugular mzee
 
Kumbe ndo maana bro wangu alikuwa na panga kwenye gari yake..nikimuuliza anasema "barabarani kuna wakorofi"
Unatembea na kitu kama hii🤣👇
IMG_20210725_204051.jpg
 
Daah, mi ilinitokea mchana kweupe pale mataa ya Fire, sikufunga kioo changu cha mbele, teja alinitolea wembe wenye kutu akawa anaulengesha shingoni, akala 70,000/= yangu kiulaini kabisa, daaah, hii nchii hiii
Fire pale si unazima gari,unafungua unamtokea?,unatishwa na kiwembe?...wazee tufanye mazoezi ya kujilinda..
 
Naomba niwafahamishe ndugu zangu kuwa makini nyakati za usiku pindi unaposimama kwenye mataa hakikisha milango na vioo umefunga.

Imenitokea maeneo ya kiwanda cha bia pale mataa mida ya usiku saa sita hivi, dirisha la nyuma nilisahau kulifunga, jamaa walikuwa wawili na pikipiki walitokea nyuma yangu na mmoja aliufungua mlango ghafla akanitolea panga aliniambia eti toa simu nilichokifanya nilikanyaga mafuta kwa nguvu yule jamaa kichwa kilikuwa ndani miguu nje alichokipata huko nyuma walisimuliana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dawa yake nenda tena pale ukiwa na spray yenye tindikali na dirisha moja likiwa umeteremsha kidogo akikukaribia na wembe wake mpulizie machoni utakuwa umemkomesha kabisa.
 
Dawa yake nenda tena pale ukiwa na spray yenye tindikali na dirisha moja likiwa umeteremsha kidogo akikukaribia na wembe wake mpulizie machoni utakuwa umemkomesha kabisa.
Hata leo ukienda mataa ya pale Fire au Msimbazi utamkuta huyo teja, nakushauri umkomeshe kwa njia hiyo.., hasa barabara ya Msimbazi kuelekea uhuru huwa anakaguaga gari hadi gari kuangalia nani hajafunga kioo, yaani kama trafiki yupo kwenye ukaguzi, tena kushoto tu kuna kituo cha polisi msimbazi, na siamini kama hawamjui huyo teja
 
Daah, mi ilinitokea mchana kweupe pale mataa ya Fire, sikufunga kioo changu cha mbele, teja alinitolea wembe wenye kutu akawa anaulengesha shingoni, akala 70,000/= yangu kiulaini kabisa, daaah, hii nchii hiii
Yeuwii sasa mkuu si ungempa hata 10,000/= tu why 70k yote?🙄
 
Daah, hivi kumbe 70k ni kubwa namna hii, mi niliona kama nimetoa nauli tu, basi tuu..., ndio hivyo...
Mmh yaani kwako 70k ni nauli tu? Mkuu huo ni mshahara wangu kabisa😪 na why ulimpa 70 na si 30, 40 au 100k? Au ndiyo balance uliyokua nayo?
 
Taa ziliruhusu ilipofika 70k, zingeendelea kuniweka labda angekula hata laki 5, who knows, ila 500k ni hela mtu unaingiza siku 1 tu, ya nini kurisk...
Mmh kwani alikua anakwambia bado toa zingine? Hadi ikafika 70k au ilifikaje hadi ukampa hiyo yote?
 
Back
Top Bottom