Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Mnamjua halafu mnamuona ila mnamuachia. Tumeni picha yake hapa kama mnamuogopa kumshughulikia.....Huyo teja anajiita Van Damme
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnamjua halafu mnamuona ila mnamuachia. Tumeni picha yake hapa kama mnamuogopa kumshughulikia.....Huyo teja anajiita Van Damme
[emoji28][emoji28][emoji28] mi asingekula hata bati kanyaga wese akianguka nashuka kummalizia[emoji1683][emoji1683]Daah, mi ilinitokea mchana kweupe pale mataa ya Fire, sikufunga kioo changu cha mbele, teja alinitolea wembe wenye kutu akawa anaulengesha shingoni, akala 70,000/= yangu kiulaini kabisa, daaah, hii nchii hiii
Acha wivuWenye magari mjini mmezidi kuvimba
Mnatuvimbia sana
Polisi ni certified weziEneo hatari sana lile last month wamenichukulia simu yangu nawaona hivi hivi na boda yao.
Kibaya zaidi kituo cha polisi kipo sekunde 30 tu kutoka hapo na hawajishughulishi kwa lolote
Ukimpiga polisi wanakuandamisha.. ukimpeleka kituoni anaachiwa...Mnamjua halafu mnamuona ila mnamuachia. Tumeni picha yake hapa kama mnamuogopa kumshughulikia.....
Kwan K sio silaha?Hyo haelewi tu. Watu wanabananishwa kitandani na mwanamke hana silaha yyte na wanatoa hela halafu anasema wembe ? We wembe habar ingine aisee
Mshenzi sana huyo jamaaHuyo teja anajiita Van Damme
Nitatuma maana namuona sana akifokoa watu pesa ila huwa nakaushaga tu maana kila nikihadithia mkasa wangu watu hunicheka tu, sasa na mimi huwa napandishaga vioo huku nikicheki anavyochomoa watu pesa wasiofunga viooMnamjua halafu mnamuona ila mnamuachia. Tumeni picha yake hapa kama mnamuogopa kumshughulikia.....
Mbele kulikuwa kuna gari imebana hadi kwenye bumper ndugu[emoji28][emoji28][emoji28] mi asingekula hata bati kanyaga wese akianguka nashuka kummalizia[emoji1683][emoji1683]
hahahahahahahahahaahahah kmmmmmkHyo haelewi tu. Watu wanabananishwa kitandani na mwanamke hana silaha yyte na wanatoa hela
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Daah, mi ilinitokea mchana kweupe pale mataa ya Fire, sikufunga kioo changu cha mbele, teja alinitolea wembe wenye kutu akawa anaulengesha shingoni, akala 70,000/= yangu kiulaini kabisa, daaah, hii nchii hiii
Mwanaume halisi wa Dar[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unatoa pesa kwa kiwembe dah!
Kuna jamaa yeye aliwekewa cylinge na sindano yenye drops za damu mbichi huku akiambiwa ina ukimwi atoe hela vinginevyo anamchoma nayo..Daah, mi ilinitokea mchana kweupe pale mataa ya Fire, sikufunga kioo changu cha mbele, teja alinitolea wembe wenye kutu akawa anaulengesha shingoni, akala 70,000/= yangu kiulaini kabisa, daaah, hii nchii hiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]yaani nimecheka sana huyu jamaa sio bure atakuwa mlaini sana[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Ndiyo maana huwa nakuuita boya! Sasa kweli mwanamme mzima unanyang'anywa 70,000 kwa kutishiwa na wembe?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo Van Damme bado yupo ile mitaa ya Fire na Msimbazi, tuache muda uongee; halafu tatizo hamuelewi uzito wa pesa hutofautiana baina ya mtu na mtu, hiyo pesa ni ya mafuta ya siku 1 tu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Nimecheka sana mpaka watu wanashangaa hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani kidume mzima unaogopa wembe?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi kweli nyie ndo mnafanya wanaume wote wa Dar wasemwe vibaya yaani kidume mzima unaogopa kiwembe je ukikutana na mishale yenye sumu au gobore si ndo utajinyea kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana mkuuMbele kulikuwa kuna gari imebana hadi kwenye bumper ndugu
Ndo utishiwe kiwembe kweli?Huyo Van Damme bado yupo ile mitaa ya Fire na Msimbazi, tuache muda uongee; halafu tatizo hamuelewi uzito wa pesa hutofautiana baina ya mtu na mtu, hiyo pesa ni ya mafuta ya siku 1 tu...