FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Hukijui kiwembe weweUnatoa pesa kwa kiwembe dah!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukijui kiwembe weweUnatoa pesa kwa kiwembe dah!
Eneo hatari sana lile last month wamenichukulia simu yangu nawaona hivi hivi na boda yao.Serengeti pale hii barara ya Nelson Mandela
Kwa hiyo uliondoka na kichwa mwili ukawa chiaNaomba niwafahamishe ndugu zangu kuwa makini nyakati za usiku pindi unaposimama kwenye mataa hakikisha milango na vioo umefunga.
Imenitokea maeneo ya kiwanda cha bia pale mataa mida ya usiku saa sita hivi, dirisha la nyuma nilisahau kulifunga, jamaa walikuwa wawili na pikipiki walitokea nyuma yangu na mmoja aliufungua mlango ghafla akanitolea panga aliniambia eti toa simu nilichokifanya nilikanyaga mafuta kwa nguvu yule jamaa kichwa kilikuwa ndani miguu nje alichokipata huko nyuma walisimuliana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asee inaonyesha wewe ni mlaini sana.Daah, mi ilinitokea mchana kweupe pale mataa ya Fire, sikufunga kioo changu cha mbele, teja alinitolea wembe wenye kutu akawa anaulengesha shingoni, akala 70,000/= yangu kiulaini kabisa, daaah, hii nchii hiii
🤣 🤣 🤣 🤣Ndiyo maana huwa nakuuita boya! Sasa kweli mwanamme mzima unanyang'anywa 70,000 kwa kutishiwa na wembe?🤣🤣🤣Daah, mi ilinitokea mchana kweupe pale mataa ya Fire, sikufunga kioo changu cha mbele, teja alinitolea wembe wenye kutu akawa anaulengesha shingoni, akala 70,000/= yangu kiulaini kabisa, daaah, hii nchii hiii
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Ndiyo maana huwa nakuuita boya! Sasa kweli mwanamme mzima unanyang'anywa 70,000 kwa kutishiwa na wembe?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lini hiyo?Daah, mi ilinitokea mchana kweupe pale mataa ya Fire, sikufunga kioo changu cha mbele, teja alinitolea wembe wenye kutu akawa anaulengesha shingoni, akala 70,000/= yangu kiulaini kabisa, daaah, hii nchii hiii
🤣 🤣Jamaa huwa tunapigana sana za uso hapa jamvini hasa kuhusu mambo ya korona hivyo nikaamua kumtania. Ukweli ni kwamba hata kiwembe mtu akikulia timing vizuri unaweza kukosa ujanjaHapo ukute aliambiwa kina ukimwi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wanaume wa dar hao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ukifanya mchezo anakukata kweli....sasa kwa nini u risk yote hayo tetanus n.k unatoa tu..hela zinatafutwa but uhai ni wa mara moja tu.🤣 🤣Jamaa huwa tunapigana sana za uso hapa jamvini hasa kuhusu mambo ya korona hivyo nikaamua kumtania. Ukweli ni kwamba hata kiwembe mtu akikulia timing vizuri unaweza kukosa ujanja
Daah, hivi kumbe 70k ni kubwa namna hii, mi niliona kama nimetoa nauli tu, basi tuu..., ndio hivyo...Fire pale mchana kweupe unalizwa sabini mmhh
Ni muda kidogo, halafu juzi huyo teja nikamkuta tena kwenye barabara ya msimbazi Kariakoo anavizia gari ambayo haijafunga vioo.., yaani wala haogopi..., anapitia gari hadi gari kwenye foleni.Lini hiyo?
Weee husomi humu mtu anapata mshahara wa laki 3 hebu jiulize apoteze 70 ghafla.Si utamuuwa kwa BPDaah, hivi kumbe 70k ni kubwa namna hii, mi niliona kama nimetoa nauli tu, basi tuu..., ndio hivyo...
hivi huko hakuna serikali ya kulinda watu na mali zao?Naomba niwafahamishe ndugu zangu kuwa makini nyakati za usiku pindi unaposimama kwenye mataa hakikisha milango na vioo umefunga.
Imenitokea maeneo ya kiwanda cha bia pale mataa mida ya usiku saa sita hivi, dirisha la nyuma nilisahau kulifunga, jamaa walikuwa wawili na pikipiki walitokea nyuma yangu na mmoja aliufungua mlango ghafla akanitolea panga aliniambia eti toa simu nilichokifanya nilikanyaga mafuta kwa nguvu yule jamaa kichwa kilikuwa ndani miguu nje alichokipata huko nyuma walisimuliana![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ok poleni sana MkuuNi muda kidogo, halafu juzi huyo teja nikamkuta tena kwenye barabara ya msimbazi Kariakoo anavizia gari ambayo haijafunga vioo.., yaani wala haogopi..., anapitia gari hadi gari kwenye foleni.
Ni muda kidogo, halafu juzi huyo teja nikamkuta tena kwenye barabara ya msimbazi Kariakoo anavizia gari ambayo haijafunga vioo.., yaani wala haogopi..., anapitia gari hadi gari kwenye foleni.