Wizi kwenye Mataa ya barabarani

Wizi kwenye Mataa ya barabarani

Naomba niwafahamishe ndugu zangu kuwa makini nyakati za usiku pindi unaposimama kwenye mataa hakikisha milango na vioo umefunga.

Imenitokea maeneo ya kiwanda cha bia pale mataa mida ya usiku saa sita hivi, dirisha la nyuma nilisahau kulifunga, jamaa walikuwa wawili na pikipiki walitokea nyuma yangu na mmoja aliufungua mlango ghafla akanitolea panga aliniambia eti toa simu nilichokifanya nilikanyaga mafuta kwa nguvu yule jamaa kichwa kilikuwa ndani miguu nje alichokipata huko nyuma walisimuliana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo uliondoka na kichwa mwili ukawa chia
 
Daah, mi ilinitokea mchana kweupe pale mataa ya Fire, sikufunga kioo changu cha mbele, teja alinitolea wembe wenye kutu akawa anaulengesha shingoni, akala 70,000/= yangu kiulaini kabisa, daaah, hii nchii hiii
🤣 🤣 🤣 🤣Ndiyo maana huwa nakuuita boya! Sasa kweli mwanamme mzima unanyang'anywa 70,000 kwa kutishiwa na wembe?🤣🤣🤣
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Ndiyo maana huwa nakuuita boya! Sasa kweli mwanamme mzima unanyang'anywa 70,000 kwa kutishiwa na wembe?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hapo ukute aliambiwa kina ukimwi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Daah, mi ilinitokea mchana kweupe pale mataa ya Fire, sikufunga kioo changu cha mbele, teja alinitolea wembe wenye kutu akawa anaulengesha shingoni, akala 70,000/= yangu kiulaini kabisa, daaah, hii nchii hiii
Lini hiyo?
 
Hapo ukute aliambiwa kina ukimwi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣 🤣Jamaa huwa tunapigana sana za uso hapa jamvini hasa kuhusu mambo ya korona hivyo nikaamua kumtania. Ukweli ni kwamba hata kiwembe mtu akikulia timing vizuri unaweza kukosa ujanja
 
🤣 🤣Jamaa huwa tunapigana sana za uso hapa jamvini hasa kuhusu mambo ya korona hivyo nikaamua kumtania. Ukweli ni kwamba hata kiwembe mtu akikulia timing vizuri unaweza kukosa ujanja
Na ukifanya mchezo anakukata kweli....sasa kwa nini u risk yote hayo tetanus n.k unatoa tu..hela zinatafutwa but uhai ni wa mara moja tu.
 
Naomba niwafahamishe ndugu zangu kuwa makini nyakati za usiku pindi unaposimama kwenye mataa hakikisha milango na vioo umefunga.

Imenitokea maeneo ya kiwanda cha bia pale mataa mida ya usiku saa sita hivi, dirisha la nyuma nilisahau kulifunga, jamaa walikuwa wawili na pikipiki walitokea nyuma yangu na mmoja aliufungua mlango ghafla akanitolea panga aliniambia eti toa simu nilichokifanya nilikanyaga mafuta kwa nguvu yule jamaa kichwa kilikuwa ndani miguu nje alichokipata huko nyuma walisimuliana
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
hivi huko hakuna serikali ya kulinda watu na mali zao?
 
Back
Top Bottom