Wizi mkubwa unafanywa hivi manunuzi ya magari ya Serikali, pikipiki, ambulance nk, vifaa vya kielectronic vya umma, na manunuzi yote ya Serikali

umezungumza ukweli sana, ingawa kumsaidia Mh. rais tungeainisha njia za ku mitigate hizi challenge, ingawa kwa sasa upo mfumo wa Nest ambao nadhani utatatua baadhi ya changamoto ulizozianisha.
Huo mfumo wa nest unafanyaje kazi?
 
Kwanini tunanunua TOYOTA TZ kwa bei kubwa wakati pesa ni yetu ns tunao uwezo wa kununua popote kwa toyota kwa bei nafuu,kenya hununua toyota japan kwa bei nafuu sisu TZ tunanunua jwa dealer kwa bei ya juu maradufu.
 
Nchi hii watu wanasema ukiwa serikalini hakuna hela,ila wangejua,hela zipo na zinapigwa vibaya sana.
Mama ashauriwe awakazie wapigaji,mbona mzee alithubutu?
 
Ni kweli Kabisa.....Magufuli alikuwa anawashughulikia...Watu wakalalamika. Sasa hivi hawashughulikiwi....watu wanalalamika tena. Sasa nyinyi Wa-Tanzania mnataka nini?
yeye mwenyewe alikuwa mwizi mkubwa sana kupitia kampuni za familia na marafiki zake, na zile zingine mjinga yule akaenda kuficha china
 
Huo mfumo wa nest unafanyaje kazi?
of coz utapunguza urasimu, ucheleweshaji na baadhi ya mambo machache ambayo hayahitaji mabadiliko ya sera. lkn kwa vitu vnahitaji mabadiliko ya sera bado mianya yake ya upigaji itakuwa wazi.... hata hivyo ukiukwaji wa sheria bado ni tatizo.. matahalani miradi ya Tanroad ambayo tender zimekuwa awarded mingi nimesikia malalamiko kuwa ni Kampuni za wakubwa ndizo zimepewa kazi which is contrarily na sheria ya manunuzi inayomtaka kampuni ya mtumishi wa umma, rafiki au ndugu ambaye ana influence kutopewa zabuni ili kuepuka conflict of interest... lakini hapo utakuana na kamouni za Kina Makamba, Riz one etc zikikiwa awarded tender bila haya! ndio mambo yanapaswa kuangaliwa, kutokuwa owner wa kampuni kisheria lkn unamiliki kampuni hiyo kwa mlango wa uani ni jambo la kulitazama sana kwa sasa kwenye sheria ya manunuzi!
 
Asilimia 90 ya watumishi wa Serikali ya Tanzania kwa kada zote na ngazi zote za utumishi, viongozi wakuu wakiwemo, wote wanawaza kutajirika kwa njia yoyote ile kwa kuhujumu mali ya umma.
Tabia ya wizi ubadhirifu na ubinafsi huko Serikalini ni itikadi iliyokubuhu kiasi kwamba hata wanaojiita walokole wakiisha kuajiriwa, hubadilika kuwa mafisadi kupita maelezo.
 
Hujajibu swali langu mkuu..nimeuliza huo mfumo wa nest unafanyaje kazi?
 
Ukifanya yote haya kwa ufanisi na uaminifu mkubwa utajijengea maadui nje na ndani ya nchi....

Rejea yaliyomkuta JPM au mahojiano ya waziri Tax na BBC hivi karibuni, utaona jinsi nchi za nje zinavyo shabikia Serikali dharimu na fisadi kwa mwavuli wa utawala bora na haki za binadamu.
 
Duh!
 

Hii nchi inahitaji kuongozwa kwa mkono wa chuma, Watz hawahitaji demokrasia.
 
Mfumo wa manunuzi ukweli ni kuwa sirikali imeshindwa ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya, na hicho ni chanzo cha umaskini wetu na umaskini wa taifa letu.Yafaa tujifunze kwa wenzetu wao wameweza je na sisi tumeshindwa je🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…