Wizi mpya wa Vodacom: Waziri wa Mawasiliano ingilia kati

Wizi mpya wa Vodacom: Waziri wa Mawasiliano ingilia kati

Kama hilo nalo ni utapeli then wewe utatapeliwa na kila mtu.

Utapeli upo ila hilo la mleta mada ni negligence.
Unatakiwa ufikirie kwa mapana.Hivi unadhani kuna wazee wetu wangapi ma babu na mabibi uko vijijini wanaomiliki simu za mkonini na wanakutana na hadha za namna hii.Sio wananchi wote wana uwezo wakupambanua nakushughulikia kero kama hizi kwahiyo tunaopata nafasi yakuliongelea tunaongelea kwa mapana hili isiwe kero kwa mwananchi yoyote.Mtu mbinafsi pake yake ndiye ataona hili halimhusu uku akisahau kua ana ndugu,jamaa na marafiki wanaoweza kuathirika na huu utapeli.Na hauna jina jingine zaidi ya utapeli.Kwahiyo kama wewe ni mnufaika wa huo utapeli muache.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Acha kutetea utapeli wa kijinga unaofanywa na mitandao ya simu.Kinachofanyika ni UTAPELI kama utapeli mwingine sasa usijione uko salama kwasababu halijakuathiri ukasahau kua kesho yaweza kua zamu yako.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Huo ni uwizi, na utapeli WA kijinga

Mtu hajajiunga, wanamuunga wao kilazima, na kumkata hela na kumpa ultimatum, WTF??

Ilinitokea 2015, Vodacom wakanitumia msg ya mambo ya uchaguzi kuhusu nini ya Ma-rope,
Simu niliyopiga nafikiri hawatasahau katika record zao!
Uwepo wa dadake pale ulikuwa ukitumika ipasavyo kumpromote!
 
Huo ni wizi tu!Wameona wakitangazia watu wajiunge kwa hiari hawajiungi sasa wanalazimisha wateja.Vodacom jirekebisheni watanzania tuna mengi ya kufanya sio kusubiri meseji zenu tu!
 
Acha kutetea utapeli wa kijinga unaofanywa na mitandao ya simu.Kinachofanyika ni UTAPELI kama utapeli mwingine sasa usijione uko salama kwasababu halijakuathiri ukasahau kua kesho yaweza kua zamu yako.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Najiuliza tu, bibi yangu kijijini ambaye hjui kusoma na kuandika. Anjiondoaje
 
Unapata ujumbe huu kwamba tayari umeinganishwa na matandao wa Playinc., na unakatwa ths 200/= kwa siku.

Ujumbe uko hivi:

"VODACOMLIVE

Hongera! Umeunganishwa na Playinc, Tembelea playinc.com/tz bure siku 3 kisha utatozwa Tsh200/siku. Kujiondoa tuma neno ONDOA Playinc1 kwenda 15599"

Mtu huna interest na mziki, hujaomba kuunganishwa na tayari wamesha kutia shs 200 siku hiyo.

Vodacom ina wateja wengi, kwa hiyo kama wame target siku hiyo wateja wao milioni 5, basi aameshawaibia toka account zao wote BILIONI 1 KWA SIKU.

HUU NI WIZI WA MCHANA

TCRA na wizara ya mawasiliano naomba msilale.
Hili ni tatizo kubwa sana hata mimi lilinikuta, wanakuunga bila taarifa ukiweka hela unakutwa umekatwa
 
Hii nchi jinsi haya makampuni yanavyoibia watu utafikir hatuna serikali aisee yaan wanaaamua tu Leo tunakula hichi kesho kile
Namna serikali ilivyolala kwenye madai ya wananchi,tunaweza kukiri kuwa Vodacom wametumwa na serikali ili waje kuwa wabia wa uchaguzi 2025 bila shaka.

Ikumbukwe haya madai ya kukata watuamiaji wao bila ridhaa yao yamekuwa yakijirudia kila mara na karibia makampuni yote.
 
Lakini si Mtu umepewa option ya kujitoa kama hauko interested.

Wewe unang'aa sharubu 72hrs baada ya kupokea ujumbe halafu wakikufyeka unaita watu wezi.

Huo ujumbe upo toka 2021 tena mwanzoni huko.

BTW😛esa si zimerejea mtaani kwa sasa mzunguko uko fresh, hiyo 6000/mwezi nayo ya kulialia.
Wewe ph.imbi kwanini wawaunganishe watu kwenye promotions zao bila ya ridhaa ya muhusika? Puumbavu sana wewe.
 
Kukatwa ni uzembe wako tu.

Siku zote tatu toka upokee ujumbe unakuwa hukatwi kitu na huduma unapata,unasubiri nini kujiondoa kama hauko interested?

Hiyo ni negligence yako.
Siku nakupiga kidole cha mkund* halafu nakumbia ikiuma sema nitoe, usiposema nakididimiza chote hadi mwisho, kenge wewe
 
Pole sana . Mm kila niongeza salio kwa njia ya kawaida wananikata sasa sahv ni mwendo wa kununua kifurushi kupitoa mpesa na hiv situmii lain yao mara kwa mara naona poa tu
 
Pole sana . Mm kila niongeza salio kwa njia ya kawaida wananikata sasa sahv ni mwendo wa kununua kifurushi kupitoa mpesa na hiv situmii lain yao mara kwa mara naona poa tu
Pia mimi ndio huwa nafanya hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom