Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongeza nyamaKwa kusali Jumamosi tofauti na Madhehebu mengine na wanawake wao kutovaa hereni na kutengeneza nywele wanajifanya ni watakatifu sana. Kumbe hawana lolote. Ona wizi wa mamilioni hapa
View attachment 3109363
imebaki mifupa tu mkuu!Ongeza nyama
ana hasira kishenziNao ni binadamu. Sidhani kama umewahi kukutana na msabato anajitapa yeye hatendi dhambi.
Kanisa linakemea dhambi nje na ndani yake. hivo kama ulikemewa ukaguswa na ukaona umeonewaKwa kusali Jumamosi tofauti na Madhehebu mengine na wanawake wao kutovaa hereni na kutengeneza nywele wanajifanya ni watakatifu sana. Kumbe hawana lolote. Ona wizi wa mamilioni hapa
View attachment 3109363
Hivi unawajua wasabato wewe ?Nao ni binadamu. Sidhani kama umewahi kukutana na msabato anajitapa yeye hatendi dhambi.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kuna demu mmoja wa kijita nilisoma nae alikuwa msabato jmos ukipanga test jmos ugomvi anakuwa mkali kuwa ni sabato. Akaja kukamatwa anabinuliwa na warden siku ya sabato[emoji38]
Brother hakuna anayekasirika, kuambiwa kwamba sio sahihi kufanya hivo haimanishi tuna chuki na wakatoliki, lahasha binafsi mimi nawapenda sana wakatoliki hawana shida yoyote, shida iko huko juu mnaongozwa na watu wanaojua ukweli na kuwaficha.Wanakasirika wanapoona Wakatoliki wanamuomba Mungu kwa kupitia Bikira Maria
Kwa taarifa yako, sala ya Jmosi imedumu kwa mrefu kuliko sala ya Jpili, sala ya JPili imeanza miaka ya around 300AD, but previously sala ilikuwa ni JmosiWapo hawa ambao wanasali Jumamosi wakati Wakristu wote wanasali Jumapili