DOKEZO Wizi wa kura unaua morali ya wapiga kura

DOKEZO Wizi wa kura unaua morali ya wapiga kura

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

jiwe angavu

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2015
Posts
20,419
Reaction score
39,217
Wale wezi wa kura wasioheshimu sanduku la kura,wanaishi kwa mbeleko

Msijione washindi kwa wizi wa kura kimsingi mnaua morali ya wapiga kura kushiriki katika chaguzi mbalimbali hapa nchini.

Imefikia hatua wanachi hawataki kujitokeza kwenye mikutano na wala hawataki tu kusikia habari za uchaguzi wakiwa na dhana ya hata ukipiga kura zinaibiwa kisha wanatangazana wao tu.

Mnatia aibu mnavyolazimisha mkubalike,serikali za mitaa ndio msingi wa siasa za kidemokrasi acheni wanachi wachague wanao wapenda na kuwaamini.

Hii nchi ya demokrasia na vyama vingi acheni maigizo.

Soma Pia: Asiyepiga kura, Hana HAKI ya kuhoji wizi wa kura, tujitokeze 2024&2025 kupiga kura na kuzilinda
 
Wale wezi wa kura wasioheshimu sanduku la kura,wanaishi kwa mbeleko ya vyombo vya dola.

Msijione washindi kwa wizi wa kura kimsingi mnaua morali ya wapiga kura kushiriki katika chaguzi mbalimbali hapa nchini.
Imefikia hatua wanachi hawataki kujitokeza kwenye mikutano na wala hawataki tu kusikia habari za uchaguzi wakiwa na dhana ya hata ukipiga kura zinaibiwa kisha wanatangazana wao tu.

Mnatia aibu mnavyolazimisha mkubalike,serikali za mitaa ndio msingi wa siasa za kidemokrasi acheni wanachi wachague wanao wapenda na kuwaamini.

Hii nchi ya demokrasia na vyama vingi acheni maigizo.
wahenga walisema,

awazalo mjinga ndilo litakalo matokea"

mwisho wa kunukuu 🐒
 
Wale wezi wa kura wasioheshimu sanduku la kura,wanaishi kwa mbeleko

Msijione washindi kwa wizi wa kura kimsingi mnaua morali ya wapiga kura kushiriki katika chaguzi mbalimbali hapa nchini.

Imefikia hatua wanachi hawataki kujitokeza kwenye mikutano na wala hawataki tu kusikia habari za uchaguzi wakiwa na dhana ya hata ukipiga kura zinaibiwa kisha wanatangazana wao tu.

Mnatia aibu mnavyolazimisha mkubalike,serikali za mitaa ndio msingi wa siasa za kidemokrasi acheni wanachi wachague wanao wapenda na kuwaamini.

Hii nchi ya demokrasia na vyama vingi acheni maigizo.

Soma Pia: Asiyepiga kura, Hana HAKI ya kuhoji wizi wa kura, tujitokeze 2024&2025 kupiga kura na kuzilinda
Ina rasimisha wizi nchini kwwtu

Kila mtu mwizi kuanzia kiongoz wa juu mpaka wa chini
 
Jeshi la polisi lijitafakari badala ya kulinda amani litaiingiza nchi kwenye machafuko kama ya Msumbiji.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa mara nyingi amelalamika juu ya Wizi wa kura wakati wa uchaguzi na hasa uchaguzi wa 2019, 2020, 2024. Sasa ni wakati muafaka wahusika wakatoka HADHARANI kukanusha kwa data maneno haya ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa mara nyingi amelalamika juu ya Wizi wa kura wakati wa uchaguzi na hasa uchaguzi wa 2019, 2020, 2024. Sasa ni wakati muafaka wahusika wakatoka HADHARANI kukanusha kwa data maneno haya ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA.
Zile data hazipingiki😀
 
Back
Top Bottom