Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani watu wanatoka kwao wamependeza wanaenda kuiba.Yani huwezi wadhania kabisa..duuh
Halafu ni wababa sio vijana😃😃Yaani watu wanatoka kwao wamependeza wanaenda kuiba.
Yaani,watu wazima hovyoo,Halafu ni wababa sio vijana[emoji2][emoji2]
Watashikwa tu lakini uzuri sura zao zinaonekana vizuriYaani,watu wazima hovyoo,
Ni kweli ni uzembe mkubwa, kuweka kitu cha thamani namna hiyo.Ni uzembe kuweka Laptop kwenye Keria,Bag la Laptop inatakiwa likae miguuni
Kwakweli huwezi kumdhaniaYani mwizi kavaa miwani, kofia ya uzalendo yenye bendera ya nchi, kavaa shati la kitenge na mkononi ana chupa ya maji.
Huwezi mdhania kabisa
Wezi wanaiba kutokana na mazingiraMwizi kavaa kiheshima huwezi kumdhania
miwani kuonekana msomi
kofia yenye bendera ya nchi kuonekana mzalendo
shati la kitenge kuonekana mtu wa maadili ya kiafrika
mkononi ana chupa ya maji kuzuga anajali afya.
AISEEE!!!
Halafu aliebiwa anampisha kabisa apite kumbe begi lake limo ndani ya begi alilobeba.
View attachment 2733646