Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Ya kweli hayo?Mb kikwazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kweli hayo?Mb kikwazo
Jamani 😃😃😃😂😂Usikute hao wezi ni member humu
🤣🤣🤣🤣Jioni wanakuja humu kusifia dipi weldiJamani 😃😃😃😂😂
Mbona dipi welidi😃😃😂😂🤣🤣🤣🤣Jioni wanakuja humu kusifia dipi weldi
Mwizi rafiki yake mwizi chalianguMbona dipi welidi😃😃😂😂
Wapatikate tu wakamatwe...msiache tu kutupa mrejeshoMwizi rafiki yake mwizi chaliangu
Kawakamate ww kama ni raha🤣🤣Wapatikate tu wakamatwe...msiache tu kutupa mrejesho
Mimi siwajui😃😃Kawakamate ww kama ni raha🤣🤣
Eti jamaniii...kuna siku asubui tuu mtu kafungua duka akatoa mitungi ya gas nje huku yuko ndani anaendelea kutoa...akapita kaka mmoja yuko vzr tuu akauchukua mtungi mdog kama wake yule dada alisikia ki kelele fulani ndo kutoka ghafla akaanza mwizi mwizi yule kaka,akautupa kumbe ulikua empty... nikashangaa how such a handsome and smart guy anaiba angeshikwa na kuuwawa je?Yaani watu wanatoka kwao wamependeza wanaenda kuiba.
Wizi hua haufanywi na mtu mmoja hua ni mnyororo wa watu, hao unaowaona kwenye camera ni wale manyokaaa wa watekelezaji tu ila pwagu na pwaguzi mchora ramani ni wafanyakazi wa hlo basi na wanajua kila kituMimi siwajui😃😃
Aisee 😃😃😃🤔Wizi hua haufanywi na mtu mmoja hua ni mnyororo wa watu, hao unaowaona kwenye camera ni wale manyokaaa wa watekelezaji tu ila pwagu na pwaguzi mchora ramani ni wafanyakazi wa hlo basi na wanajua kila kitu
Nakubali kabisaWizi hua haufanywi na mtu mmoja hua ni mnyororo wa watu, hao unaowaona kwenye camera ni wale manyokaaa wa watekelezaji tu ila pwagu na pwaguzi mchora ramani ni wafanyakazi wa hlo basi na wanajua kila kitu
Wakikamatwa na wananchi wenye hasira kali na kuwachinja kama mbuzi au kuwachoma na tairi with petrol..............Angalia video hii, kama unawatambua toa taarifa upate zawadi yako ya Tsh. laki 5.
Usikute ameamka asubuhi njaa inamuuma akiangalia gesi imeisha maskini wa Mungu 😃😃Eti jamaniii...kuna siku asubui tuu mtu kafungua duka akatoa mitungi ya gas nje huku yuko ndani anaendelea kutoa...akapita kaka mmoja yuko vzr tuu akauchukua mtungi mdog kama wake yule dada alisikia ki kelele fulani ndo kutoka ghafla akaanza mwizi mwizi yule kaka,akautupa kumbe ulikua empty... nikashangaa how such a handsome and smart guy anaiba angeshikwa na kuuwawa je?