Wizi wa mapato ya Serikali katika Bandari ya Dar es Salaam ndiyo sababu kubwa ya DP World kukabidhiwa

Wizi wa mapato ya Serikali katika Bandari ya Dar es Salaam ndiyo sababu kubwa ya DP World kukabidhiwa

Tunawataka DP World ila sio kwa mkataba huu mbona hamsikii lakin achen kuruka ruka kama maharage jikon. Kuna maslah gan kwako kutetea wao kupewa chini ya mkataba huu.

Kiongozi Kitali! Wabunge wako kwani wewe huwaamini! Mkuu achana na ushabiki wa social media!
 
Serikali inateseka sana mpaka inachukua huu uamuzi lengo ipate mapato makubwa lakini kila inapofumua utendaji wa pale bandarini basi wanakuja wafanyakazi wengine wenye tabia hiyo ya ubadhilifu. Imani yetu kwa mali za uma imepotea kabisa, Serikali inatuogopa
Acha Unafiki Serikali Ni Nani?Na Inawaogopa Kina Nani.

Unataka Kutuaminisha Kuwa Serikali Ni Nje Ya Chama Cha Mapinduzi? Mnataka Kubinafsisha Ili Pesa Iende Kwa Kikundi Kidogo Kuliko Sasa Wanavyokula Wengi.
CCM Kwa Ujumla Ndiyo Shina La Wizi Wote wa Raslimali Za Nchi Yetu.

Kama Kweli Mnaipenda Nchi Hii Kuweni Tayari Kutunga Sheria Ambazo Zinaanza Kumbana Rais Katika Maamuzi Na Utendaji Wake.

Ondoeni Kinga Kwa Viongozi Walioshika Nyazifa Za Miimili Mikubwa Kama Bunge Na Nyinginezo. Sheria Hizo Hizo Zishuke Mpk Kwa Wafanyakazi Wote Wa Serikali.
 
Tunawataka DP World ila sio kwa mkataba huu mbona hamsikii lakin achen kuruka ruka kama maharage jikon. Kuna maslah gan kwako kutetea wao kupewa chini ya mkataba huu.
Tizama kwa kina video iliyoambatanishwa, hii ndiyo sababu kubwa ya Serikali kuchukua uamuzi huu.

Lengo sio kunyanyasa Watanzania bali ni kutaka kupata mapato sahihi ambayo yamekuwa yakidhulumiwa kwa muda mrefu
 
Acha Unafiki Serikali Ni Nani?Na Inawaogopa Kina Nani.

Unataka Kutuaminisha Kuwa Serikali Ni Nje Ya Chama Cha Mapinduzi? Mnataka Kubinafsisha Ili Pesa Iende Kwa Kikundi Kidogo Kuliko Sasa Wanavyokula Wengi.
CCM Kwa Ujumla Ndiyo Shina La Wizi Wote wa Raslimali Za Nchi Yetu.

Kama Kweli Mnaipenda Nchi Hii Kuweni Tayari Kutunga Sheria Ambazo Zinaanza Kumbana Rais Katika Maamuzi Na Utendaji Wake.

Ondoeni Kinga Kwa Viongozi Walioshika Nyazifa Za Miimili Mikubwa Kama Bunge Na Nyinginezo. Sheria Hizo Hizo Zishuke Mpk Kwa Wafanyakazi Wote Wa Serikali.
Harakati za katiba mpya ni jambo gumu sana duniani kwasababu lipo kinyume na Serikali ndio maana halifanikiwi
 
Wewe mrembo ccm imetokea wapi tena. Hapa mjadala ni wa serikali wala sio vyama dadake
CCM Ndiyo Mufilisi Ya Hili Taifa.
Hao Wezi Unaosema Wapo Bandarini Wote Ni Makada Wa CCM Na Wanalindwa na hiyo CCM.

Ukiona Chama Kinalinda Wezi . Hakifai tena kuongoza.

Yaani Serikali Inajua Wezi Ni Nani Na Walipo ni Wapi Lkn Inabaki Inalalama .

Kama Mbwa Asiyekuwa Na Meno.
 
CCM Ndiyo Mufilisi Ya Hili Taifa.
Hao Wezi Unaosema Wapo Bandarini Wote Ni Makada Wa CCM Na Wanalindwa Na Hiyo CCM.

Ukiona Chama Kinalinda Wezi .Hakifai Tena Kuongoza.
Yaani Serikali Inajua Wezi Ni Nani Na Walipo Ni Wapi Lkn Inabaki Inalalama .Kama Mbwa Asiyekuwa Na Meno.
Wezi wanapokuwa wengi sana ni vigumu kuwakabili
 
Kambiko: hii hoja yako ni nzuri sana ila sio katika kipindi hichi cha uwekezaji.

Hiyo mahala pake ni kwenye jukwaa la katiba.

Au unataka kwenye huu mkataba na DP World tuweke hilo la kutokuwa na kinga! Itakuwa kituko mkuu.
 
Unataka tuipe dpw kwa mkataba huu au nawe ni mmoja wa wanaotaka baadhi ya vipengele vibadilishwe kama wananchi wengi wanavyotaka.

JIBU KWANZA HILI. ILI TUJUE MSIMAMO WAKO NA TUJUE TUNAONGEA NA MTANZANIA WA AINA GANI?.
 
Watanzania tujiulize je tumekuwa tukipeleka mapato sahihi serikalini kama tulivyopaswa kufanya? Je hatukuwa tukidhulumu wateja wanaoagiza mizigo kupitia bandari hiyo? Le
Kama tumeshindwa kuwadhibiti tunaoongea nao lugha moja hao tunaoongea lugha tofauti tutawamudu?

Tatizo lililopo ni kuleana na kupeana kazi kiswahiba, kama kila mtu angetimiza wajibu wake vilivyo hakuna kitu kingeshindikana.

Unampa kazi swahiba akivurunda unamwonea haya kumfukuza.
 
Kambiko: hii hoja yako ni nzuri sana ila sio katika kipindi hichi cha uwekezaji. Hiyo mahala pake ni kwenye jukwaa la katiba. Au unataka kwenye huu mkataba na DP World tuweke hilo la kutokuwa na kinga! Itakuwa kituko mkuu.
Naweza kusema wewe Siyo Mzalendo.

Na ni Mbinafsi. Hivi kweli unataka kutuaminisha kuwa ni sahihi turuhusu uwekezaji kwanza then ndiyo tuje tuweke sheria zetu Sawa.

Nani ni Mjinga kiasi hicho.
Yaani aharibu alafu aje ajiukumu mwenyewe.

Ndugu Mimi Sina Shida Na Uwekezaji Wala Wawekezaji. Shida Yangu Ni Aina Ya Sheria Tunazojiwekea na Wawekezaji Wetu.

Yaani niza kipuuzi. Yote ni kukosa Uzalendo
 
Unataka tuipe dpw kwa mkataba huu au nawe ni mmoja wa wanaotaka baadhi ya vipengele vibadilishwe kama wananchi wengi wanavyotaka.
JIBU KWANZA HILI. ILI TUJUE MSIMAMO WAKO NA TUJUE TUNAONGEA NA MTANZANIA WA AINA GANI?.

Kambiko naomba nikujibu kwa umakini kama ifuatavyo nikiwa kama mdau wa maendeleo na mzalendo:

1. Kwanza tambua kuwa DP World wameshaingia Mkataba.

2. Mkataba tayari bunge limeshaupitisha kwa 100%.

3. Hivyo vipengele wewe unataka vibadilishiwe wapi! Kwani wabunge 400 hawakuviona!

4. Nakuomba wewe uainishe ni vipengele gani na unataka vifanyiwe marekebisho yapi ili mimi na wewe tuandike hoja zetu tukutane na kupeleka kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Mwisho: Mtake msitake ni lazima DP World iendeshe bandari.
 
Mbongo ukimpa kanafasi kidogo tu ni mwendo wa kuiba vibaya mno, pale bandarini kuna mianya mingi sana ya upigaji wacha wawekezaji wafanye kazi yao tuone ufanisi wao ukoje kulinganisha na hawa wabongo nafikir tutapata majibu soon watapoanza kuopareti.
 
Mbongo ukimpa kanafasi kidogo tu ni mwendo wa kuiba vibaya mno, pale bandarini kuna mianya mingi sana ya upigaji wacha wawekezaji wafanye kazi yao tuone ufanisi wao ukoje kulinganisha na hawa wabongo nafikir tutapata majibu soon watapoanza kuopareti.
Wapewe nafasi ili tujue kasoro zetu
 
Mbongo ukimpa kanafasi kidogo tu ni mwendo wa kuiba vibaya mno, pale bandarini kuna mianya mingi sana ya upigaji wacha wawekezaji wafanye kazi yao tuone ufanisi wao ukoje kulinganisha na hawa wabongo nafikir tutapata majibu soon watapoanza kuopareti.

Walikuyu! Nakushukuru ua brilliant and thanks for supporting DP-WORLD & Development of Tanzania
 
Kambiko naomba nikujibu kwa umakini kama ifuatavyo nikiwa kama mdau wa maendeleo na mzalendo:
1. Kwanza tambua kuwa DP World wameshaingia Mkataba.
.
Ndugu Nataka Useme Sasa katika Hadhira hii kuwa Mkataba Huu Hauna Shida yeyote.

Hii Itakuwa Ushahidi Wa Wazi Kwa Hadhira Hii Na Mbele Za Mwenyezi Mungu.
 
Bandari ya Dar ni ya tatu katika kuchangia mapato ya taifa. Hata kama kuna wizi basi tujitathimini kwa kutumia technolojia ya tehama na sheria zetu kudhibiti wezi. Sio kuuza kwa kampuni yenye tuuma nzito za wizi kama DP WORLD.

DP World ni chafu na imegubikwa na rushwa! Kwanza kwanini serikali haikutangaza tender makampuni yakashindana!

Kwanini Dp world? Tangu SSH aingie madarakani ameitembelea Dubai mara nyingi kuliko nchi yoyote!

Hakauki Dubai sababu kisa ni wajomba zake? Unauza bandari kwasababu za ujomba?

Pili: ni ubaya wa mkataba wenyewe ambao ni kandamizi wenye viashiria [emoji817] kuwa ukiukubari ni sawa na kuuza nchi kiuchumi na kiulinzi.

Mkataba huu hauishii bandari ya Dar tu unahusisha na kuwamilikisha SGR, na barabara (transit corridors) na bandari zoote za tanganyika! Tatizo kuu mkataba!
 
Kama huko mjengon wanamatumiz ya ovyoo huku chin watendj wengine lazm wapg

Lkn hoja hiyo ni dhaifu sana ktk dunia ya sasa , Tunawez tumia TEKNOLOJIA tukapunguz upgan kwa 75% had 90%
 
Ndugu Nataka Useme Sasa katika Hadhira Hii Kuwa Mkataba Huu Hauna Shida Yeyote .
Hii Itakuwa Ushahidi Wa Wazi Kwa Hadhira Hii Na Mbele Za Mwenyezi Mungu.

Kambiko: huu mkataba hauna Shida na hautajakuwa na shida yoyote. Na tena ni Neema kwa Watanzania wote na wenye manufaa pande zote mbili Tanzania na Dubai.

Na wewe jibu swali langu! Je wewe ni mzalendo au kibaraka wa wapinga maendeleo?
 
Back
Top Bottom