Wizi wa mapato ya Serikali katika Bandari ya Dar es Salaam ndiyo sababu kubwa ya DP World kukabidhiwa

Wizi wa mapato ya Serikali katika Bandari ya Dar es Salaam ndiyo sababu kubwa ya DP World kukabidhiwa

TZ-1, You are brilliant and thanks for supporting DP-WORLD and Development of Tanzania.
Thanks your welcome in Tanzania but we're looking forward to change some Term and conditions of this contract according to our Citizens suggestions sorry for inconvenience .ASAP
 
Thanks your welcome in Tanzania but we're looking forward to change some Term and conditions of this contract according to our Citizens suggestions sorry for inconvenience .ASAP

Worry not as I believe this should not take long and interfered by politician's and religion leaders! Appreciated.
 
Worry not as I believe this should not take long and interfered by politician's and religion leaders! Appreciated.
Dont Lie here
DP- world have no time to answer here.
Mwizi mwingine huyu
 
Serikali inayouza mali zetu ni serikali ya CCM. Wabunge mliowahonga ni wabunge wa ccm, bunge liliopitisha MoU kati ya Tz na DP-WORLD ni bunge la CCM. Sasa unataka kui exclude vipi CCM na huu uchafu?
Thanks nimekuelewa but doesn't matter! Your the first lady for DP World in Tanzania. Hongera Sana.
 
Pamoja na wizi, kuna taasisi za kidini zinafaidika mno na mfumo wa bandari ulivyo sasa kupitia exemption, mbali na taasisi hizo, kuna wafanyabiashara huutumia mwanya huo kwa kushirikiana na taasisi hizo na wafanyakazi wa bandari kujinufaisha.

Hawa lazima waogope wageni kuja hapo bandarini, na waendelee kung'ang'ania wazawa ambao wataelewa huu utamaduni wetu.

Taasisi na madhehebu yasiofaidika na mfumo uliopo bandarini hawaonekani kupinga ujio wa hawa wageni, ila wanataka kwa dhati marekebisho yafanyike kwenye vipengele vyenye utata kwa faida ya taifa.
 
Kumekuwa na malalamiko makubwa sana kwa bandari ya Dar es Salaam kukabidhiwa kwa DP World, lakini sababu kubwa zaidi ni wizi wa ]
Kumbe ukiwa na ghara la chakula, halafu panya wakawa wanakula mazao yako.

Suluhu yake ni kuligawa kwa watu wengine watakaowakomesha hao waharibifu!

Hivi sisi waafrika nani alituroga tukawa na akili hizi mgando?
 
Kama serikali imekiri kushindwa kusimamia Bandari iliyoko pua na mdomo na Ikulu je itaweza kusimamia Mapato ya Halmashauri zaidi ya 180 nchini?
2. Itaweza kusimamia na kudhibiti uchimbaji na uuzaji wa madini?

3. Je itaweza kusimamia mbuga za wanyama?

4. Itaweza kusimamia mikoa 30.

5. Itaweza kusimamia Ikulu ya magogoni na chamwino na ikulu ndogo za mikoani?

6. Itaweza kusimamia watumishi nchi nzima na mfumo wa ajira?

7. Inaweza kusimamia majanga mfano corona na milipuko mingine?

Kwa kifupi CCM ijiandae kuondoka 2025 au kama inataka kuendelea kubaki madarakani itafute mgombea mwenye misuli ya kusimamia nchi na raslimali zake.
 
Pamoja na wizi, kuna taasisi za kidini zinafaidika mno na mfumo wa bandari ulivyo sasa kupitia exemption, mbali na taasisi hizo, kuna wafanyabiashara huutumia mwanya huo kwa kushirikiana na taasisi hizo na wafanyakazi wa bandari kujinufaisha.

Hawa lazima waogope wageni kuja hapo bandarini, na waendelee kung'ang'ania wazawa ambao wataelewa huu utamaduni wetu.

Taasisi na madhehebu yasiofaidika na mfumo uliopo bandarini hawaonekani kupinga ujio wa hawa wageni, ila wanataka kwa dhati marekebisho yafanyike kwenye vipengele vyenye utata kwa faida ya taifa.

Mahotera! This is Well scripted thanks for supporting DP-WORLD and Development of Tanzania.
 
Kama serikali imekiri kushindwa kusimamia Bandari iliyoko pua na mdomo na Ikulu je itaweza kusimamia Mapato ya Halmashauri zaidi ya 180 nchini?
2. Itaweza kusimamia na kudhibiti uchimbaji na uuzaji wa madini?
3. Je itaweza kusimamia mbuga za wanyama?
4. Itaweza kusimamia mikoa 30
5. Itaweza kusimamia Ikulu ya magogoni na chamwino na ikulu ndogo za mikoani?
6. Itaweza kusimamia watumishi nchi nzima na mfumo wa ajira?
7. Inaweza kusimamia majanga mfano corona na milipuko mingine?

Kwa kifupi CCM ijiandae kuondoka 2025 au kama inataka kuendelea kubaki madarakani itafute mgombea mwenye misuli ya kusimamia nchi na raslimali zake.
Binti Peno! Hayo maswali yako kuna wahusika watakuja kujubu. Ila hapa ni mtake msitake DP World inakuja kuboresha uendeshaji wa Bandari.
 
Binti Peno! Hayo maswali yako kuna wahusika watakuja kujubu. Ila hapa ni mtake msitake DP World inakuja kuboresha uendeshaji wa Bandari.
 

Attachments

  • 0EDEFC01-C19F-4904-8CA4-8976604D5091.jpeg
    0EDEFC01-C19F-4904-8CA4-8976604D5091.jpeg
    23.3 KB · Views: 2
Bado ATCL na mashirika mengine yasiyo na tija yatauzwa au kupewa wawekezaji. Hata kama wewe Peno una uwezo utapata. Lengo ni serikali kuongeza mapato na kujitoa kwenye biashara na kuboresha huduma za jamii
 
Mkuu naomba kuuliza unapinga uwekezaji au Namna ya uwekezaji?

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Sitakujibu moja kwa moja....ila

...Kuna tatizo la Lugha katika mijadala hii. Yaani kuna lugha za kibaguzi katika mijadala mingi Ikiwa pamoja na mada hii.

Sintomumunya. Kuna wale wenye dhana ya kuwa
Wawekezaji=Mzungu,Muhindi, Mwarabu....na mtu yeyote yule asiye kuwa na ngozi nyeusi!
Kuwa watu weusi ni wazalendo ila ni wezi,Wabadirifu n.k

......dhana hii inaleta mikongano sana hapa jamvini.

wakati huo huo, wazungu, wahindi, waarabu sio wezi au Wabadirifu na hawana Uzalendo!

Na hivyo basi, Mtu mweusi, Mtanzania, "Mzalendo" hawezi kuwa mwekezaji!
 
Back
Top Bottom