Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Mtakumbuka mwaka 2019 waziri Mkuu Kasim Majaliwa aliibua wizi mkubwa wilayani Iramba mkoani Singida. Waziri Mkuu katika ziara yake aliwaambia wanainchi kuwa serikali ilitenga mabilioni ya fedha kwa ujenz wa vituo vya Afya kote nchini.
Alisema ktk wilaya ya Iramba zaidi ya Tsh million 400 zimefujwa katika ujenzi wa vituo vya Afya Ndago na Kinampanda. Aliilamu Ofisi ya DC na DED kwa wizi huo. Waziri Mkuu aliahidi hatua kuchukuliwa lakini hatua hizo hazijachukuliwa hadi leo April 2021.
Kuna tetesi kuwa Majaliwa sio mamlaka ya teuzi na tenguzi kwa viongozi hao na hakusikilizwa.
Jeje nini hatma ya fedha hizi za umma? Je, vituo vya Afya Ndago na Kinampanda vitaletewa hela nyingine?
Je, DC na DED Iramba walilindwa na nani?
Alisema ktk wilaya ya Iramba zaidi ya Tsh million 400 zimefujwa katika ujenzi wa vituo vya Afya Ndago na Kinampanda. Aliilamu Ofisi ya DC na DED kwa wizi huo. Waziri Mkuu aliahidi hatua kuchukuliwa lakini hatua hizo hazijachukuliwa hadi leo April 2021.
Kuna tetesi kuwa Majaliwa sio mamlaka ya teuzi na tenguzi kwa viongozi hao na hakusikilizwa.
Jeje nini hatma ya fedha hizi za umma? Je, vituo vya Afya Ndago na Kinampanda vitaletewa hela nyingine?
Je, DC na DED Iramba walilindwa na nani?