Wizi wa Tsh milioni 400 katika ujenzi wa vituo vya Afya Ndago na Kinampanda wilayani Iramba, nini hatma ya DC na DED?

Wizi wa Tsh milioni 400 katika ujenzi wa vituo vya Afya Ndago na Kinampanda wilayani Iramba, nini hatma ya DC na DED?

Mtakumbuka mwaka 2019 waziri Mkuu Kasim Majaliwa aliibua wizi mkubwa wilayani Iramba mkoani Singida. Waziri Mkuu katika ziara yake aliwaambia wanainchi kuwa serikali ilitenga mabilioni ya fedha kwa ujenz wa vituo vya Afya kote nchini.

Alisema ktk wilaya ya Iramba zaidi ya Tsh million 400 zimefujwa katika ujenzi wa vituo vya Afya Ndago na Kinampanda. Aliilamu Ofisi ya DC na DED kwa wizi huo. Waziri Mkuu aliahidi hatua kuchukuliwa lakini hatua hizo hazijachukuliwa hadi leo April 2021.

Kuna tetesi kuwa Majaliwa sio mamlaka ya teuzi na tenguzi kwa viongozi hao na hakusikilizwa.

Jeje nini hatma ya fedha hizi za umma? Je, vituo vya Afya Ndago na Kinampanda vitaletewa hela nyingine?

Je, DC na DED Iramba walilindwa na nani?
Nchi hii ya ovyo sana,hata mama nae kaingia mkumbo huo huo,watu wamekula millioni 600kwa vikao vya bodi!harafu wanaendelea kupewa madaraka
 
Hii serikali watu wanaiba hawawajibishwi ndio maana wizi hauishi
Wanalipwa pesa nyingii lakin bado wanaiba
 
Zile hukumu tunazoziona wanapewa watuhumiwa wa biashara ya madawa ya kulevya inabidi sasa nayo wapewe hawa wanaopiga hela za serikali labda itasaidia
Kupunguza upigaji maana naona kama watu hawaogopi!
Inabidi mama SSH afanye hivyo

Ova
 
Zile hukumu tunazoziona wanapewa watuhumiwa wa biashara ya madawa ya kulevya inabidi sasa nayo wapewe hawa wanaopiga hela za serikali labda itasaidia
Kupunguza upigaji maana naona kama watu hawaogopi!
Inabidi mama SSH afanye hivyo

Ova
Itapendeza Sana, wanasiasa wameifilisi nchi hii
 
Back
Top Bottom