Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
- Thread starter
- #21
Huyu anataka kuupoteza mwelekeo wa madaMbona sikuelewi inahusiana na nini kuhusu Upigaji wa Iramba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu anataka kuupoteza mwelekeo wa madaMbona sikuelewi inahusiana na nini kuhusu Upigaji wa Iramba?
Mataga wanatapatapa.Huyu anataka kuupoteza mwelekeo wa mada
Yeye mwenyewe anatakiwa kuwajibishwa kwa kulidanganya taifa.Waziri Mkuu angepaswa kuwa na mamlaka ya kuwaajibisha
SanaMataga wanatapatapa.
Huyu ashapeta, atujuze ziliko hela Kwanza, Kama kala mgao aongee ukweliYeye mwenyewe anatakiwa kuwajibishwa kwa kulidanganya taifa.
Waziri wa Fedha, iendelee kuwa maskini?Iramba itaendelea kuwa masikini sababu ya Mwigulu
Zipi hizo?Mtaponda sana kwakwel hamuoni mnatumia nguvu nyingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nchi hii ya ovyo sana,hata mama nae kaingia mkumbo huo huo,watu wamekula millioni 600kwa vikao vya bodi!harafu wanaendelea kupewa madarakaMtakumbuka mwaka 2019 waziri Mkuu Kasim Majaliwa aliibua wizi mkubwa wilayani Iramba mkoani Singida. Waziri Mkuu katika ziara yake aliwaambia wanainchi kuwa serikali ilitenga mabilioni ya fedha kwa ujenz wa vituo vya Afya kote nchini.
Alisema ktk wilaya ya Iramba zaidi ya Tsh million 400 zimefujwa katika ujenzi wa vituo vya Afya Ndago na Kinampanda. Aliilamu Ofisi ya DC na DED kwa wizi huo. Waziri Mkuu aliahidi hatua kuchukuliwa lakini hatua hizo hazijachukuliwa hadi leo April 2021.
Kuna tetesi kuwa Majaliwa sio mamlaka ya teuzi na tenguzi kwa viongozi hao na hakusikilizwa.
Jeje nini hatma ya fedha hizi za umma? Je, vituo vya Afya Ndago na Kinampanda vitaletewa hela nyingine?
Je, DC na DED Iramba walilindwa na nani?
Kwani kipindi cha JK hakuwa Waziri?Waziri wa Fedha, iendelee kuwa maskini?
Alikuwa Naibu waziriKwani kipindi cha JK hakuwa Waziri?
Na miradi inatengewa hela nyingi bado haikamiliki.Hii serikali watu wanaiba hawawajibishwi ndio maana wizi hauishi
Wanalipwa pesa nyingii lakin bado wanaiba
Alikuwa Naibu Waziri wa michezo?Alikuwa Naibu waziri
Fedha, Enzi za JkAlikuwa Naibu Waziri wa michezo?
Alafu Mama kawavuruga watu vibaya sanaMataga wanatapatapa.
Hawataki kuona Mama akirudi kwenye utawala wa Katiba ma SheriaAlafu Mama kawavuruga watu vibaya sana
Leo Job Ndugai kamsaliti Magufuli rasmi.Hawataki kuona Mama akirudi kwenye utawala wa Katiba ma Sheria
Nasubiri na zamu ya Wanyongwe nao wagundue halafu wamsaliti Shujaa uchwara waoLeo Job Ndugai kamsaliti Magufuli rasmi.
Itapendeza Sana, wanasiasa wameifilisi nchi hiiZile hukumu tunazoziona wanapewa watuhumiwa wa biashara ya madawa ya kulevya inabidi sasa nayo wapewe hawa wanaopiga hela za serikali labda itasaidia
Kupunguza upigaji maana naona kama watu hawaogopi!
Inabidi mama SSH afanye hivyo
Ova